Nahitaji mpenzi serious hili tuje kuoana

kumbe kweli watu wafupi mna matatizooo, 😆😆😆😆 una watoto wa 2 wewe hata mwenye mmoja humtakii??? wanaume tunakwama wapiii?
 
Duuh yani wanaume ndo tulupofikia huku asee?? Aya jamaa angu all the best ila icho kigezo cha mtoto rekebisha mkuu unless unatafuta msichana wakulea wanao
 
Nahitaji mpenzi hili tukikubaliana tuoane.
Sifa zangu
1.Mim ni mfupi , mnene na rangi yangu mweusi.
2.miaka yangu ni 39
3. Ni muajiriwa sekta binafsi
4.Nina watoto wawili midume
5.Naishi mwanza

Sifa za mwanamke
1.awe na umri 21-30
2. Awe mweupe au chotara
3. Asiwe na mtoto
4.awe mwembamba
5. Asiwe anakunywa pombe

Ukiwa seriou nicheki kwenye mramali.2011@gmail.com
Wewe noma unawatoto wawili ila mwanamke asiwe na mtoto duuu hiyo nayo kali japo haileweshi haya ngoja waje.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom