Nahitaji mchumba wa kike.

ReV kaboka Mchizi.. yaani hapo ulipo hata hujielewi kuwa wewe ni Rev au ni chizi..sijui tukuweke kwenye kundi gani maana kote kote hufai.. kama wewe huhitaji.. usikoment waache wenye uhitaji wafanye wanachokitaka..hakuna mahali ambao hakuna msaada hata humu pia..maamuzi ni ya mhitaji..

hiyo dozi uliyompa ni kali, kama hatopona itabidi akalazwe hospitali ya Milembe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom