The Infamous
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 731
- 121
jamani kama kuna mtu anamfamu fundi mzuri wa desk top computer hapa mwanza anijulishe, nina sony computer original nilinunua japan, sasa iliharibika na nimejaribu kupeleka kwa mafundi naona wamechemka, wananiambia soft ware zake hakuna nowdays...naipenda sana na sitaki niipoteza.
hebu saidia
hebu saidia