Mbona wapo Wanaume waliopata wanawake wa peke yao hata kama kuna Usaliti sio huu wa dharauMambo ya kawaida sana hayo mzee kwa wanawake. Ukikua utaelewa. Huwezi kupata mwanamke wa peke yako ingawa wapo wenye nafuu; acha kujipa stress kupekua simu ya mkeo utakonda bure.
Ndio kajiamini maana hua anaejua kabisa Simu yake Sina muda nayo kabisa, hata hivyo najikutaga tu naigusa Tena bila yeye kutegemea Wala kujua, Nafahamu Kuwa kma angejua Kuwa nafatiliaga Simu yake angeweza hata kusave kwa Jina la kike.Mtu kaseviwa Robat.
Wote Hapo hamna akili.
Afu we bado mdogo sana unawahi wapiHapo ndo najishangaa asee ila hii ndo last time namcancel
Tafuta maisha acha ujinga at 21yrs unalilia mapenzi ? Mzee Kama nyege zimekubana tafuta alternative coz kinachokusumbua ni nyege tu.Ndio kajiamini maana hua anaejua kabisa Simu yake Sina muda nayo kabisa, hata hivyo najikutaga tu naigusa Tena bila yeye kutegemea Wala kujua, Nafahamu Kuwa kma angejua Kuwa nafatiliaga Simu yake angeweza hata kusave kwa Jina la kike.
Kwamba wanawake wote walioolewa huonjwa?Unafumania ili iweje. Kama unampenda muweke kikao aache umalaya. Kama anazingua amezidi sana piga chini chap. Halafu kingine jua kwamba mwanamke kuonjwa ipo tu haikwepeki. Acha kutengeneza mazingira ya kumfuatilia
Hawa bado ni watotomiaka 21 bado mtoto sana.
ukikua kidogo utajua hayo mambi sio ya kufatilia,ila kama yapo yatajianika yenyewe.
tulia dogo komaa na kutafuta hela.
Mbona wapo Wanaume walio pata wanawake wa peke yao hata kama kuna Usaliti sio huu wa dharau
Kwamba wanawake wote walioolewa huonjwa?
umesema ni mkeo sio demu wako. maana yake kumpiga chini ni lazima awe amevuka mipaka. kwa maelezo yako huyo hajazidi kiwango 😂😂For this, ni lazima nimpigie chini
Wanawake wapo walio tulia kwenye mahusiano/ndo zaoNashangaaga sana huu msemo wa hamna mwanamke wa peke yako, kwa kigezo cha utandawazi cjui. Wanawake wenye maadili wapo, hawajaisha
wapi nimesema ni wote,usinilishe maneno aiseeKwamba wanawake wote walioolewa huonjwa?