Nahisi mke wangu anani-cheat, nifanye nini kumkamata?

Dogo priority yako Ni mapenzi au pesa...kwa umri wako zingatia hela.. ingawa ulivoandika inaonekana huyo demu anakumudu na ubavu wa kumuacha anajua huna..nawewe unajua kumuacha huwez...yaani wewe Ni wale nice guys....endekeza aje akuaibishe
 
Nitasema kitu.

- Unampenda huyo mwanamke. (Kiukweli haumpendi ila unahisi hautapata kama yeye)

- Umeanza mapenzi ukubwani na kabla haujawa experienced umemkamata kunguru na kujaribu kumfuga.

- Wachepukaji hua hatuachi.

- Unaishi wapi?
 
Dogo priority yako Ni mapenzi au pesa...kwa umri wako zingatia hela.. ingawa ulivoandika inaonekana huyo demu anakumudu na ubavu wa kumuacha anajua huna..nawewe unajua kumuacha huwez...yaani wewe Ni wale nice guys....endekeza aje akuaibishe
This is a last time bro sitoruhusu Hilo napindua meza
 
Nitasema kitu.

- Unampenda huyo mwanamke. (Kiukweli haumpendi ila unahisi hautapata kama yeye)

- Umeanza mapenzi ukubwani na kabla haujawa experienced umemkamata kunguru na kujaribu kumfuga.

- Wachepukaji hua hatuachi.

- Unaishi wapi?
1 kweli
2 kweli
3 kweli
naishi Tabata mwananchi.
 
Pole Sana rafiki, nimependa Jambo moja toka kwako la wewe kujikaza huku kwa maumivu kulingana na ulichoona. Ushauri wangu usihangaike kumtega maana hujui mtego utanasa katika mazingira gani nawe utakuwa katika mood ipi hapa huwa Kuna hatari sana ya kukupelekea wewe kukosea Sana na hata kuhatarisha safari ya maisha yako mbele kuwa jela au kufariki.

Cha kufanya omba kupata mda kwa siku nzima kuwa nae nyumbani na hakikisha siku umeindaa ya kuongea nae jiandae kimwili na kiroho kwa saikologia Safi isiyo na madhara weka kila kitu chako sawa, then mwambie ukweli wote bila kumficha kitu, subiri majibu toka kwake ikiwa ataomba msamaha na kukiri kwa mapana na kuweka wazi Basi msamehe kwa tahadhari yakuwa ikitokea basi jua haupo nami mda huo nawe kila kitu chako hakikisha kipo safe.

Ikiwa atakataa kuisema kweli na mda mwingine hata kutaka kujifanya anakuwa mkali basi piga chini bila kukupesa macho na hata kama mnapiga mgao gawaneni nenda sehemu katulie then Anza upya.


Kwa nini nimekushauri hivi! Naomba pia unisamehe Kama ushauri wangu utakukwaza, nimekushauri hivi kwa sababu moja ya sababu ya wanaume wengi kufa kabla ya mda wetu na kuchoka haraka ni mawazo yanayosababishwa na wenza wetu na hata kufikia mahali kutotimiza ndoto zetu kwa sababu ya mwanamke pasua kichwa, ninayo mifano mingi mno ukweli mwanamke Bora na mwenye kuheshimu ndoa yake na kumtunza mmewe vema umnajikuta mnazeeka vizuri na ndoto za maisha yenu kutimia vizuri mno.

Mungu akupe hekima na maarifa
 
Pole Sana rafiki, nimependa Jambo moja toka kwako la wewe kujikaza huku kwa maumivu kulingana na ulichoona. Ushauri wangu usihangaike kumtega maana hujui mtego utanasa katika mazingira gani nawe utakuwa katika mood ipi hapa huwa Kuna hatari sana ya kukupelekea wewe kukosea Sana na hata kuhatarisha safari ya maisha yako mbele kuwa jela au kufariki.

Cha kufanya omba kupata mda kwa siku nzima kuwa nae nyumbani na hakikisha siku umeindaa ya kuongea nae jiandae kimwili na kiroho kwa saikologia Safi isiyo na madhara weka kila kitu chako sawa, then mwambie ukweli wote bila kumficha kitu, subiri majibu toka kwake ikiwa ataomba msamaha na kukiri kwa mapana na kuweka wazi Basi msamehe kwa tahadhari yakuwa ikitokea basi jua haupo nami mda huo nawe kila kitu chako hakikisha kipo safe.

Ikiwa atakataa kuisema kweli na mda mwingine hata kutaka kujifanya anakuwa mkali basi piga chini bila kukupesa macho na hata kama mnapiga mgao gawaneni nenda sehemu katulie then Anza upya.


Kwa nini nimekushauri hivi! Naomba pia unisamehe Kama ushauri wangu utakukwaza, nimekushauri hivi kwa sababu moja ya sababu ya wanaume wengi kufa kabla ya mda wetu na kuchoka haraka ni mawazo yanayosababishwa na wenza wetu na hata kufikia mahali kutotimiza ndoto zetu kwa sababu ya mwanamke pasua kichwa, ninayo mifano mingi mno ukweli mwanamke Bora na mwenye kuheshimu ndoa yake na kumtunza mmewe vema umnajikuta mnazeeka vizuri na ndoto za maisha yenu kutimia vizuri mno.

Mungu akupe hekima na maarifa
Amen rafiki, One of the nice advice I n ever seen before, thank man nitafanya hivyo kwa heshima kabisa ila kwa ninavyomjua kukiri kwake itakuwa ngumu sana, Hajawahi kukiri
 
Miaka 21 bado hujakamilisha mchakato wa kukua- kibaiolojia.

Unatakiwa uwe chuo kikuu ukipigania shahada ya kwanza, chuo fulani hivi cha Diploma au unapambana kusaka pesa za kutosha....

Labda kwanza weka wazi hapa, kama huyo unayemuita mkeo, umefunga nae ndoa? Mna cheti cha ndoa?. .. kama mnacho basi fuata taratibu za kutatua mgogoro huo kama mlivyoelekezwa wakati wa kufunga ndoa.

Kama hamna cheti cha ndoa basi hayo mahusiano yanapaswa kufikia kikomo mara moja, vinginevyo utaishi kwa kujuta miaka yako yote.
 
Amen rafiki, One of the nice advice I ever seen before, thank man nitafanya hivyo kwa heshima kabisa ila kwa ninavyomjua kukiri kwake itakuwa ngumu sana, Hajawahi kukiri
Basi Kama unajua ni mgumu kukiri jiandae kisaikolojia cha kumwacha bila kugombana na Wala usijipe pressure ya kujibizana nae.
 
kuwa mwanaume, fanya maamuzi sasa. hakuma haja ya kukusanya data, ni data zipi unataka kama msg na call ushaziona sana asa unataka nini kingine!?
.
iwe kwenye sim iwe live live mwambie kuwa nimeziona tabia zako ni hizi na hizi na hizi kuanzia leo mimi sikutaki, arudi kwao den endelea na maisha mengine.
 
Njoo pm nipe namba yake..akichomoka mitego yangu basi huyo hana shida
Nitakua naku update kila hatua
 
kuwa mwanaume, fanya maamuzi sasa. hakuma haja ya kukusanya data, ni data zipi unataka kama msg na call ushaziona sana asa unataka nini kingine!?
.
iwe kwenye sim iwe live live mwambie kuwa nimeziona tabia zako ni hizi na hizi na hizi kuanzia leo mimi sikutaki, arudi kwao den endelea na maisha mengine.
Kweli
 
Back
Top Bottom