Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Sina hakika kama hapa ni mahala sahihi kwa hii post yangu,
lakini issue ni kwamba hivi karibuni nilihisi kupungukiwa pesa kwenye simu yangu, nikashangaa shangaa nikaacha kama ilivyo.
Sasa leo nimehakikisha. Nilikuwa na shs, 1028.08 kwenye simu yangu, na nikanakili mahala, hiyo ilikuwa majira ya saa tatu usiku, baadaye saa saba usiku nimengalia nikakuta nina balance ya shs 983.80 nikiwa sijaitumia simu yangu kwa sms wala kupiga, hiyo ni tofauti ya shs. 44.28.
Nashindwa kuelewa hivyo vijisenti vimekwenda wapi, naomba mawazo yenu wenzangu humu jamvini ili kama tunaibiwa tujue na wao wajue kwamba tumejua ili waache kutuibia, na je kuna yeyote kati yetu amewahi kukutana na haki kama hii.
Hebu fikiria shs 44.08 x wateja wote wa tigo ni shs ngapi kwa siku?
kesho napiga simu tigo customer care ili kuwauliza na nina ahidi kuwaletea yale yatakayojiri. Thenkyu.
lakini issue ni kwamba hivi karibuni nilihisi kupungukiwa pesa kwenye simu yangu, nikashangaa shangaa nikaacha kama ilivyo.
Sasa leo nimehakikisha. Nilikuwa na shs, 1028.08 kwenye simu yangu, na nikanakili mahala, hiyo ilikuwa majira ya saa tatu usiku, baadaye saa saba usiku nimengalia nikakuta nina balance ya shs 983.80 nikiwa sijaitumia simu yangu kwa sms wala kupiga, hiyo ni tofauti ya shs. 44.28.
Nashindwa kuelewa hivyo vijisenti vimekwenda wapi, naomba mawazo yenu wenzangu humu jamvini ili kama tunaibiwa tujue na wao wajue kwamba tumejua ili waache kutuibia, na je kuna yeyote kati yetu amewahi kukutana na haki kama hii.
Hebu fikiria shs 44.08 x wateja wote wa tigo ni shs ngapi kwa siku?
kesho napiga simu tigo customer care ili kuwauliza na nina ahidi kuwaletea yale yatakayojiri. Thenkyu.