dfreym
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 342
- 87
NILIKUWA NATAKA KUUPDATE FIRMWARE KWENYE MODEM YANGU YA TIGO HUAWEI E 153u-1, THEN NIKADOWNLOAD HIYO FIRMWARE UPDATE SOFTWATE(huawei E153), NIKAFUATA PROCEDURE ZOTE ZA KUUPDATE FIRMWARE, LAKINI ILIPOFIKA KATI KATI, NIKAPATA MESSAGE, AN ERROR HAS BEEN DETECTED, THEN IKALETA OPTION SEND ERROR NA DONT SEND, MI NIKA CKICK DONT SEND, IKAKATA.
KUANZIA SAA HIYO INAGOMA KUUPDATE, NIKIJARIBU TENA INASEARCH DEVICE HALAFU INASEMA "THE DATA CARD CANT BE FOUND ERROR CODE 03 " NIKIJARIBU PORT, na COMPUTER NYINGINE INASEMA FAILURE: DIFFERENT C VERSION UPDATE IS FORBIDDEN".
NIKIJARIBU KUWEKA LINE HAISOMI, INAFUNGUA TU SOFTWARE YA TIGO, LAKINI NO NETWORK NO NINI. NISAIDIENI JAMANI NIFANYEJE?
nimejaribu kila hali imenishinda, inaonesha imefutika yote, kwani hata nikiisoma kwa qpst haikubali, inasoma ila mwisho ukitaka kuingia ndani inaonesha patupu.
au kama kuna mtu anafahamu jinsi ya kufufua modem iliyokufa (dead) anielekeze.
KUANZIA SAA HIYO INAGOMA KUUPDATE, NIKIJARIBU TENA INASEARCH DEVICE HALAFU INASEMA "THE DATA CARD CANT BE FOUND ERROR CODE 03 " NIKIJARIBU PORT, na COMPUTER NYINGINE INASEMA FAILURE: DIFFERENT C VERSION UPDATE IS FORBIDDEN".
NIKIJARIBU KUWEKA LINE HAISOMI, INAFUNGUA TU SOFTWARE YA TIGO, LAKINI NO NETWORK NO NINI. NISAIDIENI JAMANI NIFANYEJE?
nimejaribu kila hali imenishinda, inaonesha imefutika yote, kwani hata nikiisoma kwa qpst haikubali, inasoma ila mwisho ukitaka kuingia ndani inaonesha patupu.
au kama kuna mtu anafahamu jinsi ya kufufua modem iliyokufa (dead) anielekeze.