Natangaza nia ya kugombea Jimbo la Longido (Arusha) 2015, kupitia CHADEMA maana Mbunge aliyepo hakuna kitu anafanya si maji, shule, wala bara bara. Wadau naomba support yenu
Jipange sana tutakuchagua ila usiwe na maneno mengi cauze hata Olemilya ashatangaza nia :msela: hivyo jipange ila usije ukaja na sera za kuwafukuza wawekezaji kama mwenzako
Hongera kwa wazo lako la kumng'oa Lekule ww n nani?
Kwa tiketi ya chama kipi?
Au ule mchezo wenu wa UCCM ndani ya longido?
Tunataka mabadiliko ya kweli zaidi sana MAGAMBA sasa basi kama nawe ni gamba nakupa POLE!
SaaFi! Tunataka watu waanze kujitokeza mapema katika ngazi ya ubunge na udiwani ili washiriki kikamilifu kuandaa majimbo na kata. na tena wadau wote wapate muda wa kupima uadilifu na uwezo wao kabla ya kupewa nafasi ya kugombea. Nitafurahi saaana kama majimbo na kata zote zitakuwa zimepata wenye nia ya kugombea by 2014 ndani ya CDM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.