pebo da great
Member
- Nov 17, 2011
- 20
- 1
nyati stop having a negatie mind am real positive ni kwamba hata kama wamepeleka vimemo nfasi yangu iko pale pale trust me and am gonna get this job.
wewe mkubwa ndo mana wamekata umri..unafkr mwnye 22 na over 30 wako sawa kupiga ktk kazi? wanataka changesmbona wameweka limitation ya miaka tena?mi mwenye 33 sina sina uwezo wa ku- apply?
mbona iki click inakwambia access denied?
hapo kwenye italics,you have made me to lough.kumbe na ww ulipita pale?Na uwe umemaliza kuanzia 2010!!uwe na upper second!I wonder kama vyeti ndo vinafanya kazi or not?/hizi wamezitenga maalum kwa watoto wao waliomaliza Tumaini University with first class na upper za bureee...Mlimani hzo upper second utazisikia tuuuuuuu..
Na uwe umemaliza kuanzia 2010!!uwe na upper second!I wonder kama vyeti ndo vinafanya kazi or not?/hizi wamezitenga maalum kwa watoto wao waliomaliza Tumaini University with first class na upper za bureee...Mlimani hzo upper second utazisikia tuuuuuuu..
wewe mkubwa ndo mana wamekata umri..unafkr mwnye 22 na over 30 wako sawa kupiga ktk kazi? wanataka changes
Mhhhhh! hili nalo ni tatizo, umri, mwaka uliomaliza, GPA, kwa wenzangu na mimi tuendelee kumwomba Mungu labda za kwetu wa lower second zitatajwa siku za karibuni, dah! umri nao na mwaka uliomaliza college sijui kama tutanusurika, jamani tunaenda wapi na tutafika lini?Na uwe umemaliza kuanzia 2010!!uwe na upper second!I wonder kama vyeti ndo vinafanya kazi or not?/hizi wamezitenga maalum kwa watoto wao waliomaliza Tumaini University with first class na upper za bureee...Mlimani hzo upper second utazisikia tuuuuuuu..
Na uwe umemaliza kuanzia 2010!!uwe na upper second!I wonder kama vyeti ndo vinafanya kazi or not?/hizi wamezitenga maalum kwa watoto wao waliomaliza Tumaini University with first class na upper za bureee...Mlimani hzo upper second utazisikia tuuuuuuu..
SIYO KWANZIA 2010 NI BAADA YA 2010, wanamaanisha 2011 and 2012, au miye ndo sijaelewa kingereza mkuu
nisaidieneli starting salary ya mtu mwenye bachelor tra jamani
yani wewe ni typical *****..mtu kaomba asaidiwe unaleta kiherehere tu..we unajua kwanini nimeuliza? kama huna cha kujibu si ungeendelea na mambo yako? we unadhani kila mtu anapenda kufanya mambo blindly tu kipimbi kama wewe? umeishi wapi wewe? ni lazima ujue approximate salary yako kabla!unasurvey kwanza..***** mkubwa unakera kenge weweacha ujinga! Yaani ndo kwanza tangazo limetoka deadline haijaisha unaulizia mshahara?
Hivi wanajamvi kwa nini watu tumekuwa na umimi sana?
Hivi ikatokea watu hawalipwi mshahara kuna wengi humu ndani hawatafanya kazi.
Mnaboa sana, tangazo ndo kwanza limetoka unauliza mshahara! Why dont you ask resposibility instead of asking salary?
yani wewe ni typical *****..mtu kaomba asaidiwe unaleta kiherehere tu..we unajua kwanini nimeuliza? kama huna cha kujibu si ungeendelea na mambo yako? we unadhani kila mtu anapenda kufanya mambo blindly tu kipimbi kama wewe? umeishi wapi wewe? ni lazima ujue approximate salary yako kabla!unasurvey kwanza..***** mkubwa unakera kenge wewe
kwa nini usiandike kinachoeleweka, kwa nini unakuwa mwepesi wa kutoa lugha chafu(kama sio lugha chafu dhubuti kuandika ulibhoficha katika hizo nyota?)
unapoambiwa ukweli bwana mdogo elewa ukweli na sio kuanza kutoa lugha chafu kama hapo juu.
Pia kwa uzi wako nimeweza kutambua wewe ni mtu wa namna gani, hakika hayo maneno uliyoandika yanaakisi wewe ni msomi mpumbavu(mpumbavu= mjinga asiyetaka kukubali ujinga wake ili arebkebishwe)
hii pia inaakisi kuwa wewe ni mtu anayehisi yupo sawa wakati wote ilihali anakosea.
Ungekuwa wewe si mpumbavu ungetaka kujua ujinga wako uko wapi na sio kuanza kutoa maneno ya aina uliyoandika.
Nasikitika kusema kama wewe ndiye mwenye hicho unachoita shahada "una elimu na si maarifa"