Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,646
Ni kweli kabisa mimi nilikuwa na upper second class na niliomba kwa hao jamaa kama mara tatu hivi bila hata kuitwa kwenye usaili lakini wenzangu waliokuwa na lower class walipata ajira.Mimi mtoto wa mkulima nikaamua kufanya kazi katika makampuni ya private ambayo hayana urasimu lakini amini hadi sasa my salary ni zaidi ya mara nne ya huo mnaokimbilia TRA ndani ya miaka yangu mitano tangu nilipograduate.Hivyo hata mtakaopigwa chini msikate tamaa maana hao jamaa kwa urasimu wa kubebana hasa wachaga na wahaya hawajambo.
Wazushi na siombi tena kupoteza muda wangu