Samahanini wandugu,kama kuna yeyote aliyeona au anajua kuhusu nafasi za kazi zilizotolewa na NSSF last wk tafadhali naomba aniambie,na wanataka nini kiambatanishwe,na deadline ni lini?.Nitashukuru sana.
check link hapa chini na uapply fasta deadline tar.21/10 sio dhambi ukiweka vyeti vyote na hawa jamaa e-mail zao huwa haziwork so bora utume kitu bahasha yenye kila kitu ndani
Mkipata kazi tujulishane wandugu haya mashirika yamejaa ubabaishaji undugu,udini nk.nilpiga interview yao mwez june nikiwa na washkaji zangu kama kumi na tano wote atukuitwa katita second interview after doing wrting interview.ajabu kuna mtu kapewa mkataba wa ajira tareh 7.10.2011 leo karipoti mzigoni mkoa flani kuanza kazi WENGINE NDIO MNAANGAIKA NA BAHASHA ZA KAKI kabla ya deadline day.POLENI WADANGANYIKA na hapy bthday ya 50 ya TZ
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.