Nafasi za Kazi JWTZ

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Sep 2, 2011
4,873
1,216
wengi wenu mumesikia kuwa Jwtz wametoa nafasi kwa wale wenye vipaji vya.....

kucheza ngoma za asili.
Kupiga ngoma za asili
Kupiga gitaa
Kupiga kinanda
Kupiga Drums

Kila kihusianacho na music,kwa taarifa zaidi nenda ofisi za washauri wa mgambo ofisi za wakuu wa mikoa mtapata taarifa zaidi.

Mafanikio Mema
 
wengi wenu mumesikia kuwa Jwtz wametoa nafasi kwa wale wenye vipaji vya.....

kucheza ngoma za asili.
Kupiga ngoma za asili
Kupiga gitaa
Kupiga kinanda
Kupiga Drums

Kila kihusianacho na music,kwa taarifa zaidi nenda ofisi za washauri wa mgambo ofisi za wakuu wa mikoa mtapata taarifa zaidi.

Mafanikio Mema

Kwa hiyo bibie ina maana ambao hawana kipaji japo wamehitimu form 4 na std 7 hawatakiwi?!
 
please komba get back to job, quit politics, sasa jeshi linakosa waimbaji
 
wengi wenu mumesikia kuwa Jwtz wametoa nafasi kwa wale wenye vipaji vya.....

kucheza ngoma za asili.
Kupiga ngoma za asili
Kupiga gitaa
Kupiga kinanda
Kupiga Drums

Kila kihusianacho na music,kwa taarifa zaidi nenda ofisi za washauri wa mgambo ofisi za wakuu wa mikoa mtapata taarifa zaidi.

Mafanikio Mema

Hivi watafundishwa na kutumia silaha? Kwani kazi ya jeshi ni vita na sio kutumbuiza. Kama uwanja wa vita ni kumtumbuiza adui basi na iwe hivyo? Al-shabaab akisikia hili basi atateka meli mpaka hapo Magogoni!!
 
Hivi watafundishwa na kutumia silaha? Kwani kazi ya jeshi ni vita na sio kutumbuiza. Kama uwanja wa vita ni kumtumbuiza adui basi na iwe hivyo? Al-shabaab akisikia hili basi atateka meli mpaka hapo Magogoni!!
wanachukua mwisho miaka23
 
wengi wenu mumesikia kuwa Jwtz wametoa nafasi kwa wale wenye vipaji vya.....

kucheza ngoma za asili.
Kupiga ngoma za asili
Kupiga gitaa
Kupiga kinanda
Kupiga Drums

Kila kihusianacho na music,kwa taarifa zaidi nenda ofisi za washauri wa mgambo ofisi za wakuu wa mikoa mtapata taarifa zaidi.

Mafanikio Mema

naona jeshi wameanza kutafta vipaji vya kuanzisha bendi za mchiriku, siku hizi sina imani na jeshi hata kidogo
 
hizo nafasi zina wenyewe.

Hapo naona wameamua kuziua bendi za miziki ya wazee wa masauti,wazee wa mayeno maana ndio wenye sifa hizo. naona wanajeshi wameamua waanzishe bendi za miziki ili kujiongezea kipato.
 
Wdau embu nifaamisheni vzuri jesh linataka kuongeza bendi nini? Sasa nahao wanao jiita top bend na machozi bendi si watakosa ajkira?
 
Jeshi huwa halifanyi biashara mkuu, hiyo hata ulaya jeshi lina vikundi vyake vya burudani, hapo wanataka kuongeza nguvu zile blassband na dance band pia na siyo kuunda bend mpya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom