Mtumsafi
Member
- Jun 1, 2012
- 90
- 64
May 28 Serikali kupitia sekretariet ya utumishi wa umma imetoa nafasi za kazi kwa watu.ni jambo jema na la kupongeza,lakini kinachonishangaza ni suala la kutaka vyeti.kwanini nashangaa?serikali hiyo hiyo hivi karibuni ilisema imefuta kigezo za kutaka "experience"kwani kigezo hicho kimetumika mara nyingi kuwanyima kazi wahitimu wengi wa vyuo vikuu,na hivo kimefutwa ili kutoa fursa sawa kwa wote..kwanini nahusisha hiyo na vyeti?
kwa waliomaliza vyuo vikuu mwaka jana,mpaka muda huu cheti hakijatoka ila transcript tayari,sasa serikali kwanini itoe tangazo halafu idai ni lazima uambatishe vyeti ilhali inajua mfumo wa nchini kuwa baada ya mwaka ndio vyeti hutoka?je wanataka kuwapa kazi kweli wahitimu hawa ama kuna watu wanawafikiria?mnisaidie,maana watu wanaona nafasi lakini wanashindwa ku aply kutokana na icho kisehemu CHETI.
kwa waliomaliza vyuo vikuu mwaka jana,mpaka muda huu cheti hakijatoka ila transcript tayari,sasa serikali kwanini itoe tangazo halafu idai ni lazima uambatishe vyeti ilhali inajua mfumo wa nchini kuwa baada ya mwaka ndio vyeti hutoka?je wanataka kuwapa kazi kweli wahitimu hawa ama kuna watu wanawafikiria?mnisaidie,maana watu wanaona nafasi lakini wanashindwa ku aply kutokana na icho kisehemu CHETI.