Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
sasa haya maomba tunaandika kwa lugha ya kiswahili ama kiingereza?
sasa haya maomba tunaandika kwa lugha ya kiswahili ama kiingereza?
utaonekana wa ajabu mtu kakusalimia "mambo vipi?" ukamjibu "oohh am fine, how are you doing?"
sijakiona tangazo la kiingereza aisee, kama vipi andaa maombi kwa kiswahili. nadhani ata usahili utakua wa kiswahili.
utaonekana wa ajabu mtu kakusalimia "mambo vipi?" ukamjibu "oohh am fine, how are you doing?"
sijakiona tangazo la kiingereza aisee, kama vipi andaa maombi kwa kiswahili. nadhani ata usahili utakua wa kiswahili.