SHOOyaKIBABE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,181
- 1,707
Amemaliza kozi ya muda gani, maana pale kuna kozi za wiki kadhaa, miezi sita hadi mwaka
amesoma mwaka 2012 na amehitimu mwaka jana
Amemaliza kozi ya muda gani, maana pale kuna kozi za wiki kadhaa, miezi sita hadi mwaka
Hivi barua ya mwenyekiti wa mtaa ina ulazima wowote wakuu?
Hivi barua ya mwenyekiti wa mtaa ina ulazima wowote wakuu?
Mungu akubariki Dkt Jakaya Kikwete kwa kumwaga Ajira hapa nchini.
Hivi barua ya mwenyekiti wa mtaa ina ulazima wowote wakuu?
Kazi hizo zina wenyewe tayari
Ambao ndio sisi tunaotuma maombi sasa hivi.
naona una hasira kama mwanamke aliyejeruhika kwenye ndoa...
kutoa wazo kwamba akutafute wewe umsaidie kupata mikaratasi ya huko nae apige box vibaya?
halafu kauli zako zinadhalilisha utu wako naona umemwita mchungu mwenzio wa maisha
uhusudu kulambwa koni na hiyo mijasho ya kupiga box huko uvunguni si itakuwa balaa?
huna jipya
Ha ha ha watu mna maneno aisee...