Kijana leo
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 2,861
- 808
Mie sio Mkuu plizz
teh, teh, teh, JF kila mmoja Mkuu, mimi mwenyewe nashangaa kweli. mpe jina mbadala.
Mie sio Mkuu plizz
Huamini kama maombi yanasaidia mkuu?
watu wakienda kwenye interview huwa hawatangazi.interview ni kama uchumba.unaoweza kuwashirikisha labda watu wako wa karibu sana,na wakati mwingine hushirikishi mtu,haswa pale ambapo hakuna ulazima.Na sio kuanika habari publicly.ni ushauri tu.ukitaka chukua,ukitaka uache.