Nadharia ya mahusiano

WoS,

Yes feminism ni movement ambayo ipo katika jamii na lazima kuna explanations zake. Kule juu nimeandika kuwa wanaume ndo wako responsible na kuweka familia (wanajenga territories), wameweka mila na desturi (overwhelming majority ya mila zina-bend kuwalinda wanaume) na vile vile wameweka dini (dini karibu zote zina mafundisho yanayo-bend kuwalinda wanaume). Falme karibu zote zilianzishwa na wanaume, na wafalme wote wanajulikana kwa jinsi walivyokuwa wakitumia falme zao kujipatia wake wengi na kuzaa nao. Kinachosababisha feminism kuwepo na kusiwe na similar movement kwa upande wa wanaume ndo hicho nilichoeleza. Jaribu kufanya observations!
 
Asante kwa kuweka nadharia hii hapa tena kwa lugha nyepesi maana waliochanganua hii nadharia akina Darwin kwenye miaka ile ya 1880's na nadharia ya sexual selection na evolution walifafanua vizuri tu ila ndio hivyo siyo wengi wameipitia na kuidadavua kuiweka katika lugha nyepesi. Kwa kifupi ulichosema ndicho kinachopelekea utata mwingi kwenye mahusiano na hata behaviours za wanawake na wanaume. Umeniacha hoi ulipooanisha na Feminism. Hapo sijui kama nakuunga mkono lakini ni jaribio zuri.

hahaha WoS hapo nilijua lazima ungecomment tu.,.....
 
hahaha WoS hapo nilijua lazima ungecomment tu.,.....

Nimeshindwa kuikubali hoja yake moja kwa moja kwa sababu some of the feminists ni wanawake au wasichana ambao wako kwenye mahusiano mazuri tu na wanaume. Angesema "radical feminists" labda kungekuwa na kaukweli maana wao huona kuwa tatizo liko katika kuhusiana na wanaume hivyo the way out ni kuwatenga/kuwakataa wanaume na kujifanyia mambo yao wenyewe bila kuwepo na msaada au uhusiano na wanaume - kwa kifupi.
 
Back
Top Bottom