irumba1
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 882
- 322
same problem to me
we are suffer from the same line,let us wait and see
same problem to me
we are suffer from the same line,let us wait and see
Nisaidieni jamani kwani kama chuo kimepeleka majina nacte kwamba nataka idadi ya wanafunzi kadhaa hio not confirmed inatoka wapi? Inamana nacte hawana mawasiliano na vyuo? Wananiweka roho juu kweli
Pia nawait confirmation leo tar 2 october...teh teh hv mtu unajipangaje jaman
mi mwenywe na status ya hvyo lakin tokea jana nimepata chuo xo tafuta direct kwenye web ya icho chuo ambacho uko selected sawa.
yaani..kuna watu mpaka leo..mnaangalia profile zenu?duu..mie nishasahau.na nishachukua adm letter
kwahiyo unatucheka,unatukejeli au unatudhihaki?