AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,189
- 18,090
yaaani heshima ni kumbrashia viatu na kumvua koti?,mmepatana kweli fake people.....mie sitafanya huu ujinga hata siku moja....and no kumheshimu ni kutomtukana,kutembea nje ya ndoa na kumjibu vibaya....hayo mnayofanya sio heshima ni utumwa na mwanaume kama yuko real lazima aone anaibiwa....haingii akilini mtu sio dissable umvue koti wkati ana uwezo wa kufanya hivyo yeye mwenyewe.....:mad2::mad2::mad2::mad2:
Jestina I think hio ipo zaidi kwenye category ya kujali ama upendo... Na hio ina play part both ways... Kutegemea na mazingara. Kwamba kama umemkuta nyumbani umerudi na umechoka sioni ubaya wa yeye kukupokea na maybe kukuvua koti hasa kama kweli unaelekea kulivua - na vice versa. Take note haya matendo sio onesided kua mwanamke tu ndio afanye.... kuweza kuendeleza vitu kama hivi inabidi pande zote mbili zionesha kujali. Kuna couples mimi nawafahamu... A guy anaweza iron nguo zake na mkewe jioni for work kesho yake huku mkewe yupo na responsibilities nyingine....