Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,239
- 113,612
Hii sehemu ina totoz kali sana.
Kuanzia kule kwenye showroom hadi ile sehemu ya kulipia.
Ni totoz kali tu mwanzo mwisho hadi mteja unajiskia raha na kukufanya urudi hata kama huna cha kununua.
Nampongeza sana mmiliki wa Nabaki Afrika kwa kunifanya niwe mteja wa kudumu.
Kuanzia kule kwenye showroom hadi ile sehemu ya kulipia.
Ni totoz kali tu mwanzo mwisho hadi mteja unajiskia raha na kukufanya urudi hata kama huna cha kununua.
Nampongeza sana mmiliki wa Nabaki Afrika kwa kunifanya niwe mteja wa kudumu.