Naanza kumkubali/kumpenda JK

[h=3]JK Asaidia Vijana[/h]







Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika hatua mbalimbali za kusaidia kufyatua matofali ya kisasa kwenye kambi ya mafunzo ya ujasiriamali na ujenzi kwa vijana 380 toka wilaya zote za Mkoa wa Pwani za Kibaha mjini Kibaha vijijini, Mafia, Kisarawe, Mkuranga na Rufiji.


Kambi hiyo ya mwezi mmoja iliyo katika kijiji cha Msoga, wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani, ni moja kati ya kambi kadhaa zinazoandaliwa mkoani humo, ambapo ikimalizika hii ya ujenzi mnamo february 29, itafuatia ya upandaji miti na mazingira itakayokuwa katika Chuo cha Elimu Kibaha. Baada ya Hapo itafuatiwa kambi ya ukulima wa mazao ya mbogamboga wilayani Rufiji.


Rais Kikwete ameusifu mkoa wa Pwani kwa kubuni kambi hizo na kutaka mikoa mingine iige mfano huo ili kuwapa vijana ujuzi wa kuweza kujiajiri wenyewe.


Ameahidi kuendelea kusaidi vikundi vya vijana vya aina hiyo ambavyo amevitaja kama hazina nzuri ya maendeleo na utatuzi wa vitendo wa tatizo la ajira.


Rais Kikwete ametoa mashine za kufyatulia matofali ya kisasa 76 ambapo kila moja kati ya vikundi 38 vilivyopo vitapewa mashine mbili mpya na waliyofanyia kazi wataondoka nayo na kuwa ya tatu. Pia Amewapa vijana hao mifuko 3800 ya saruji (kila kundi mifuko 100), viatu vigumu (gum boots) pamoja na mananasi toka shambani kwake.
 
HATA MIMI NIMEANZA KUMKUBALI /KUMPENDA JK KWA SABABU SASA AMEONYESHA KUIKUBALI CHADEMA KWA VITENDO. ANGALIA ALIVYOTINGA KOFIA NA KOMBATI LA CHADEMA ALILOPEWA NA DR SLAA SIKU YA MKUTANO WA CHDM NA JK IKULU. T

attachment.php
 
Pamoja na mambo haya kunivutia na kumwongezea credit mheshimiwa Rais. Bado nayaona mapungfu mengi sana katika serikali yake. Mimi nakerwa sana naposikia habari za udini katika uteuzi wa nyadhifa mbalimbali kubwa, pia taasisi nyingine. Kama ni kweli Rais anailea tabia hii tutakuwa na Tanzania ya kama nigeria kaskazini
 
pamoja na mapungufu mengi aliyonayo jk anaelekea kuibuka rais bora wa Tz kwa

1.namna anavyoichukulia hii ishu ya Katiba-JK alikubali kuyafanya mapendekezo ya CDM kuwa ndio mswaada wa serikali
hata kama wabunge wa CCM waliigomea serikali lakini JK personally ameonesha ukomavu mkubwa nampa saluti.

2.JK aliruhusu posho kuwa 200 baadae akarudisha kubaki 70 naamini JK alisoma alama za nyakati na akoweka pembeni matakwa ya wabunge wa ccm ya kutaka 200.

3.JK tumemsemea mbovu sana na magazeti chafua yeye sana, nakiri kuna vitisho kwa waandishi wa habari ila si kama kipindi cha Mkapa. Mkapa angesha muweka ndani Mr.JF na Mwanahalishi+Mwanaichi+Tanzania daima

Note: Kwa sasa JK anastahili pongezi kwa kuwa ni mtu mwenye mapungufu mengi mno ila ameweza kufanya kidogo kilicho bora
JK alikuwa na perfomance ya 20% ila kwa hizo issue hapo juu amefika walau 30%
Dr Slaa ni mtu mwenye excellent scores above 80% kwa hiyo anapofanya jambo zuri hastahili pongezi kwa kuwa huo ni uwezo wake na ikitokea akiharibu hata kidogo mno tutamlalamikia sana kwa sababu tunajua anauelewa mkubwa
fully ****.
 
Hivi tukisema kweli wewe unaziita mbofu au ni matusi! Hivi kumwambia baba mwanaasha ni mtembezi ni mbofu! kumsema kuhusu mambo yanavyoenda ovyo ni kumtukana . Eh ! una lako jambo .
Lakini ukweli ni huu suala la Katiba Mpya mfano wake ni huu
ni kama vile amezaliwa binti au kijana atakuwa ! itawafika wakati binti ataota matiti na mvulana ataota ndefu. Vitu hivi hakuna mtu mwenye uwezo wa kuvizuia au kuvichukulia maujiko kwani ni badiliko muhimu la mwili ambalo halizuiliki.
Katiba mpya na mambo mengine kama kujenga barabara, huduma bora za Afya , elimu nk. Ni hatua muhimu za ukuaji wa taifa hivyo hata kama tusingekuwa na baba Mwanaasha au yeyote yule ni lazima tu vi face. sema tu hawa wakora wanavihujumu kwa kuchelesha lakini they can not stop it.
yote tunayoyasema kuhusu ubovu wa JK ni kweli ila angekuwa Rais mwingine asingekubali kuambiwa huu ukweli
 
Pamoja na mambo haya kunivutia na kumwongezea credit mheshimiwa Rais. Bado nayaona mapungfu mengi sana katika serikali yake. Mimi nakerwa sana naposikia habari za udini katika uteuzi wa nyadhifa mbalimbali kubwa, pia taasisi nyingine. Kama ni kweli Rais anailea tabia hii tutakuwa na Tanzania ya kama nigeria kaskazini
sawa JK kachochea udini ila kupeleka dodoma mswaada wa cdm hata kama wabunge wa ccm wameupiga chini ni jambo jema na ukizangatia uelewa mdogo wa JK kwa kweli anastahili pongezi kwa katiba saga
 
pamoja na mapungufu mengi aliyonayo jk anaelekea kuibuka rais bora wa tz kwa

1.namna anavyoichukulia hii ishu ya katiba-jk alikubali kuyafanya mapendekezo ya cdm kuwa ndio mswaada wa serikali
hata kama wabunge wa ccm waliigomea serikali lakini jk personally ameonesha ukomavu mkubwa nampa saluti.

2.jk aliruhusu posho kuwa 200 baadae akarudisha kubaki 70 naamini jk alisoma alama za nyakati na akoweka pembeni matakwa ya wabunge wa ccm ya kutaka 200.

3.jk tumemsemea mbovu sana na magazeti chafua yeye sana, nakiri kuna vitisho kwa waandishi wa habari ila si kama kipindi cha mkapa. Mkapa angesha muweka ndani mr.jf na mwanahalishi+mwanaichi+tanzania daima

note: Kwa sasa jk anastahili pongezi kwa kuwa ni mtu mwenye mapungufu mengi mno ila ameweza kufanya kidogo kilicho bora
jk alikuwa na perfomance ya 20% ila kwa hizo issue hapo juu amefika walau 30%
dr slaa ni mtu mwenye excellent scores above 80% kwa hiyo anapofanya jambo zuri hastahili pongezi kwa kuwa huo ni uwezo wake na ikitokea akiharibu hata kidogo mno tutamlalamikia sana kwa sababu tunajua anauelewa mkubwa

naiona kama ni subjective matter?

  • jk umempima na kumpa alama zake, sisemi kama anastahili au hastahili, vizuri, tena vizuri sana.
  • vipi slaa umempima kwa yapi na kumpa alama hizo alizonazo?
 
pamoja na mapungufu mengi aliyonayo jk anaelekea kuibuka rais bora wa Tz kwa

1.namna anavyoichukulia hii ishu ya Katiba-JK alikubali kuyafanya mapendekezo ya CDM kuwa ndio mswaada wa serikali
hata kama wabunge wa CCM waliigomea serikali lakini JK personally ameonesha ukomavu mkubwa nampa saluti.

2.JK aliruhusu posho kuwa 200 baadae akarudisha kubaki 70 naamini JK alisoma alama za nyakati na akoweka pembeni matakwa ya wabunge wa ccm ya kutaka 200.

3.JK tumemsemea mbovu sana na magazeti chafua yeye sana, nakiri kuna vitisho kwa waandishi wa habari ila si kama kipindi cha Mkapa. Mkapa angesha muweka ndani Mr.JF na Mwanahalishi+Mwanaichi+Tanzania daima

Note: Kwa sasa JK anastahili pongezi kwa kuwa ni mtu mwenye mapungufu mengi mno ila ameweza kufanya kidogo kilicho bora
JK alikuwa na perfomance ya 20% ila kwa hizo issue hapo juu amefika walau 30%
Dr Slaa ni mtu mwenye excellent scores above 80% kwa hiyo anapofanya jambo zuri hastahili pongezi kwa kuwa huo ni uwezo wake na ikitokea akiharibu hata kidogo mno tutamlalamikia sana kwa sababu tunajua anauelewa mkubwa

Hahaaaa! Malaria Sugu una ID nyingi sana aisee. Ila naona umejisahau mpaka umetumia hii id kwenye jukwaa la siasa.
 
pamoja na mapungufu mengi aliyonayo jk anaelekea kuibuka rais bora wa tz kwa

1.namna anavyoichukulia hii ishu ya katiba-jk alikubali kuyafanya mapendekezo ya cdm kuwa ndio mswaada wa serikali
hata kama wabunge wa ccm waliigomea serikali lakini jk personally ameonesha ukomavu mkubwa nampa saluti.

2.jk aliruhusu posho kuwa 200 baadae akarudisha kubaki 70 naamini jk alisoma alama za nyakati na akoweka pembeni matakwa ya wabunge wa ccm ya kutaka 200.

3.jk tumemsemea mbovu sana na magazeti chafua yeye sana, nakiri kuna vitisho kwa waandishi wa habari ila si kama kipindi cha mkapa. Mkapa angesha muweka ndani mr.jf na mwanahalishi+mwanaichi+tanzania daima

note: Kwa sasa jk anastahili pongezi kwa kuwa ni mtu mwenye mapungufu mengi mno ila ameweza kufanya kidogo kilicho bora
jk alikuwa na perfomance ya 20% ila kwa hizo issue hapo juu amefika walau 30%
dr slaa ni mtu mwenye excellent scores above 80% kwa hiyo anapofanya jambo zuri hastahili pongezi kwa kuwa huo ni uwezo wake na ikitokea akiharibu hata kidogo mno tutamlalamikia sana kwa sababu tunajua anauelewa mkubwa

werema na kombani walisema hakuna haja ya katiba mpya
 
Hahaaaa! Malaria Sugu una ID nyingi sana aisee. Ila naona umejisahau mpaka umetumia hii id kwenye jukwaa la siasa.

jadili hoja na sio kuleta unajimu wa yahaya hussein,kama ni malaria sugu ndo nini,kama huna argument za kupinga au kuunga mkono chutama ujojoe ukalale uache wenye fikra zao watoe comment zao.
Jk anamapungufu yake mengi but ishu ya Demokrasi hakuna Rais yoyote wa Tanzania alieweza kumfikia,ni mvumilivu kupita kiasi,hongera ndugu Jakaya!!
 
Hahahaha
kuongoza nchi kama Tanzania ni raha sana na rahisi mno.
Kwa fikra na vipimo hivi.
Watu wake wengi kupima mambo kwa mithiri wapo kwenye vilele vya mihemko ya hisia.
 
Slaa Raisi wa nchi ipi? unamfananisha mgombea aliyeshindwa kwa kishindo na Rais wa nchi? una matatizo kweli kweli.
 
We mtoto wa kike umesahau sifa moja kubwa iliyofanya nyie watu wa jinsia ya kike kumpa kura nyingi ambayo ni ..uhandsome wake.. Vipi kachuja au bado anaita?
 
Back
Top Bottom