Naanza kumkubali/kumpenda JK

Marytina

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
9,285
7,143
pamoja na mapungufu mengi aliyonayo jk anaelekea kuibuka rais bora wa Tz kwa

1.namna anavyoichukulia hii ishu ya Katiba-JK alikubali kuyafanya mapendekezo ya CDM kuwa ndio mswaada wa serikali
hata kama wabunge wa CCM waliigomea serikali lakini JK personally ameonesha ukomavu mkubwa nampa saluti.

2.JK aliruhusu posho kuwa 200 baadae akarudisha kubaki 70 naamini JK alisoma alama za nyakati na akoweka pembeni matakwa ya wabunge wa ccm ya kutaka 200.

3.JK tumemsemea mbovu sana na magazeti chafua yeye sana, nakiri kuna vitisho kwa waandishi wa habari ila si kama kipindi cha Mkapa. Mkapa angesha muweka ndani Mr.JF na Mwanahalishi+Mwanaichi+Tanzania daima

Note: Kwa sasa JK anastahili pongezi kwa kuwa ni mtu mwenye mapungufu mengi mno ila ameweza kufanya kidogo kilicho bora
JK alikuwa na perfomance ya 20% ila kwa hizo issue hapo juu amefika walau 30%
Dr Slaa ni mtu mwenye excellent scores above 80% kwa hiyo anapofanya jambo zuri hastahili pongezi kwa kuwa huo ni uwezo wake na ikitokea akiharibu hata kidogo mno tutamlalamikia sana kwa sababu tunajua anauelewa mkubwa
 
kuna ukigeu geu..subiri kwanza hadi tupate katiba
ms3.jpg
 
Na 1 NA 2 simpi credit zozote, maana anaelewa impact za Peoples Power endapo asingechukua hatua!
Hana upendo wowote wa dhati na wananchi, ni katika ile hali ya mfa maji!
 
Hivi tukisema kweli wewe unaziita mbofu au ni matusi! Hivi kumwambia baba mwanaasha ni mtembezi ni mbofu! kumsema kuhusu mambo yanavyoenda ovyo ni kumtukana . Eh ! una lako jambo .
Lakini ukweli ni huu suala la Katiba Mpya mfano wake ni huu
ni kama vile amezaliwa binti au kijana atakuwa ! itawafika wakati binti ataota matiti na mvulana ataota ndefu. Vitu hivi hakuna mtu mwenye uwezo wa kuvizuia au kuvichukulia maujiko kwani ni badiliko muhimu la mwili ambalo halizuiliki.
Katiba mpya na mambo mengine kama kujenga barabara, huduma bora za Afya , elimu nk. Ni hatua muhimu za ukuaji wa taifa hivyo hata kama tusingekuwa na baba Mwanaasha au yeyote yule ni lazima tu vi face. sema tu hawa wakora wanavihujumu kwa kuchelesha lakini they can not stop it.
pamoja na mapungufu mengi aliyonayo jk anaelekea kuibuka rais bora wa Tz kwa

1.namna anavyoichukulia hii ishu ya Katiba-JK alikubali kuyafanya mapendekezo ya CDM kuwa ndio mswaada wa serikali
hata kama wabunge wa CCM waliigomea serikali lakini JK personally ameonesha ukomavu mkubwa nampa saluti.

2.JK aliruhusu posho kuwa 200 baadae akarudisha kubaki 70 naamini JK alisoma alama za nyakati na akoweka pembeni matakwa ya wabunge wa ccm ya kutaka 200.

3.JK tumemsemea mbovu sana na magazeti chafua yeye sana, nakiri kuna vitisho kwa waandishi wa habari ila si kama kipindi cha Mkapa. Mkapa angesha muweka ndani Mr.JF na Mwanahalishi+Mwanaichi+Tanzania daima

Note: Kwa sasa JK anastahili pongezi kwa kuwa ni mtu mwenye mapungufu mengi mno ila ameweza kufanya kidogo kilicho bora
JK alikuwa na perfomance ya 20% ila kwa hizo issue hapo juu amefika walau 30%
Dr Slaa ni mtu mwenye excellent scores above 80% kwa hiyo anapofanya jambo zuri hastahili pongezi kwa kuwa huo ni uwezo wake na ikitokea akiharibu hata kidogo mno tutamlalamikia sana kwa sababu tunajua anauelewa mkubwa
 
unavyosema bora napingana na wew labda ungetumia lugha nyingine hapo, kwenye masomo 10 hafu mawili(2) ndo ukafaulu vizuri siwezi kusema wewe ni mwanafunzi bora. ilibidi utupe analysis interms of :
1) Economical Progress.
2)Political matter
3)Social issue( huduma za afya, maji safi na salama,elimu bora, miundo mbinu, makazi bora etc)
kwa mie ungechanganua vizuri kwenye hizo terms labda ningeungana na wew ulichokisema. na swala la katiba na posho ni kwamba wapinzani wamembana tu na yeye akasoma alama za nyakati vizuri otherwise akuna kitu hapo.
 
Baba Mwanaasha jana alikuwa anabeba matofari pale Msoga kwao, kumbe afya ya jamaa imeimarika sana. Big up JK...
 
ni rais ambae analeta maajabu tanzania, kasaidia kujenga shule kuhakikisha japo watanzania wengi wanapata uform 4, ni rais anayesomesha mwanae ndani ya tz, ccm hawakuwa na mpango wa katiba mpya ila yeye akakubali, watu waliosusa hotuba yako leo unawaruhusu waje ikulu kweli jk ni muungwana wa ajabu, kwa mara ya kwanza vigogo wanafunguliwa kesi mahakamani, dito,zombe,mramba,liyumba,yona jamani bado tu. ndiye kiongozi ambaye hashambuliwi na kundi lolote ndani ya ccm. baada ya miaka ijayo watu wenye akili watakukubali kwa mabadiliko yatakayotokea. tatizo watanzania hawabebeki kawabeba kwenye mpira weeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Baba Mwanaasha jana alikuwa anabeba matofari pale Msoga kwao, kumbe afya ya jamaa imeimarika sana. Big up JK...

Mkuu ,,Ulukolokwitanga''. Kikombe cha babu wa Samunge Loliondo si mchezo bana, walioamini wamepona ambao hawakuamini ndio hivyo tena.
 
mwenyewe namkubali bwana hasa juu ya hili la katiba mpya, hakuogopa magamba alifanya aonalo yeye ni sahihi inatakiwa awe na misimamo kwenye mambo yake.
 
pamoja na mapungufu mengi aliyonayo jk anaelekea kuibuka rais bora wa Tz kwa

1.namna anavyoichukulia hii ishu ya Katiba-JK alikubali kuyafanya mapendekezo ya CDM kuwa ndio mswaada wa serikali
hata kama wabunge wa CCM waliigomea serikali lakini JK personally ameonesha ukomavu mkubwa nampa saluti.

2.JK aliruhusu posho kuwa 200 baadae akarudisha kubaki 70 naamini JK alisoma alama za nyakati na akoweka pembeni matakwa ya wabunge wa ccm ya kutaka 200.

3.JK tumemsemea mbovu sana na magazeti chafua yeye sana, nakiri kuna vitisho kwa waandishi wa habari ila si kama kipindi cha Mkapa. Mkapa angesha muweka ndani Mr.JF na Mwanahalishi+Mwanaichi+Tanzania daima

Note: Kwa sasa JK anastahili pongezi kwa kuwa ni mtu mwenye mapungufu mengi mno ila ameweza kufanya kidogo kilicho bora
JK alikuwa na perfomance ya 20% ila kwa hizo issue hapo juu amefika walau 30%
Dr Slaa ni mtu mwenye excellent scores above 80% kwa hiyo anapofanya jambo zuri hastahili pongezi kwa kuwa huo ni uwezo wake na ikitokea akiharibu hata kidogo mno tutamlalamikia sana kwa sababu tunajua anauelewa mkubwa

SEMA TU UNAANZA KUFURAHISHWA NA JK,KUHUSU JK NA NKAPA WANATOFAUIANA KWANI MMOJA NI MZURI KTK POLITICAL& SOCIAL MATTERS[JK] NA MWINGINE SOCIO-ECONOMICAL[NKAPA],HIVYO JK ana ubinadamu zaidi,na huenda madudu na ukatili unao fanyagwa na****** ukitokea anajifungiaga ndani na kujutia.
 
Mi bado simkubali kwani wezi wa EPA, Dowans na walioruhusu hayo amejifanya hawajui na sasa watanzania tunaishi maisha magumu tofauti na alivyoahidi. Gharama za maisha ziko juu na watanzania wengi wameshindwa kusomesha hasa vijijini na wamebaki kuulaani uongozi uliopo madarakani. Hayo unayosema dada Maryatina hata hivyo bado hayajakamilika na una uhakika gani kama yatatekelezwa kwa % ngapi. Unakumbuka aliwahi kusema sukari isiuzwe zaidi sh.1700/= lakini imetekelezwa? Kijijini kwangu bei waliipandisha zaidi na hakuna hatua zilizochukuliwa dhidi wahusika.
 
pamoja na mapungufu mengi aliyonayo jk anaelekea kuibuka rais bora wa Tz kwa

1.namna anavyoichukulia hii ishu ya Katiba-JK alikubali kuyafanya mapendekezo ya CDM kuwa ndio mswaada wa serikali
hata kama wabunge wa CCM waliigomea serikali lakini JK personally ameonesha ukomavu mkubwa nampa saluti.

2.JK aliruhusu posho kuwa 200 baadae akarudisha kubaki 70 naamini JK alisoma alama za nyakati na akoweka pembeni matakwa ya wabunge wa ccm ya kutaka 200.

3.JK tumemsemea mbovu sana na magazeti chafua yeye sana, nakiri kuna vitisho kwa waandishi wa habari ila si kama kipindi cha Mkapa. Mkapa angesha muweka ndani Mr.JF na Mwanahalishi+Mwanaichi+Tanzania daima

Note: Kwa sasa JK anastahili pongezi kwa kuwa ni mtu mwenye mapungufu mengi mno ila ameweza kufanya kidogo kilicho bora
JK alikuwa na perfomance ya 20% ila kwa hizo issue hapo juu amefika walau 30%
Dr Slaa ni mtu mwenye excellent scores above 80% kwa hiyo anapofanya jambo zuri hastahili pongezi kwa kuwa huo ni uwezo wake na ikitokea akiharibu hata kidogo mno tutamlalamikia sana kwa sababu tunajua anauelewa mkubwa

Tunamngojea Mmasai na timu yake wakiingia 2015 wamweke kizuizini huyu jamaa kwa kucheza dana dana na Taifa letu tukufu
 
pamoja na mapungufu mengi aliyonayo jk anaelekea kuibuka rais bora wa Tz kwa

1.namna anavyoichukulia hii ishu ya Katiba-JK alikubali kuyafanya mapendekezo ya CDM kuwa ndio mswaada wa serikali
hata kama wabunge wa CCM waliigomea serikali lakini JK personally ameonesha ukomavu mkubwa nampa saluti.

2.JK aliruhusu posho kuwa 200 baadae akarudisha kubaki 70 naamini JK alisoma alama za nyakati na akoweka pembeni matakwa ya wabunge wa ccm ya kutaka 200.

3.JK tumemsemea mbovu sana na magazeti chafua yeye sana, nakiri kuna vitisho kwa waandishi wa habari ila si kama kipindi cha Mkapa. Mkapa angesha muweka ndani Mr.JF na Mwanahalishi+Mwanaichi+Tanzania daima

Note: Kwa sasa JK anastahili pongezi kwa kuwa ni mtu mwenye mapungufu mengi mno ila ameweza kufanya kidogo kilicho bora
JK alikuwa na perfomance ya 20% ila kwa hizo issue hapo juu amefika walau 30%
Dr Slaa ni mtu mwenye excellent scores above 80% kwa hiyo anapofanya jambo zuri hastahili pongezi kwa kuwa huo ni uwezo wake na ikitokea akiharibu hata kidogo mno tutamlalamikia sana kwa sababu tunajua anauelewa mkubwa

kanywe nae chai
 
Hapo kwenye suala la posho ungewatoa Zitto na Makamba tu, wabunge waliobaki wote waliitaka hiyo laki 2.
 
Back
Top Bottom