Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
Kuna mzee mmoja alikuwa ameenda hospitali,baada ya kumuona daktari akaambiwa akapime malaria.Huko maabara akakutana na nurse ambae alimtoboa kidole ili kupata damu itakayotumika kwa ajili ya vipimo.Bahati mbaya damu ikawa haitoki,ikabidi yule nurse akinyonye kidole cha babu mpaka damu ikatoka.Kumbe babu wakati kidole kinanyonwa alikuwa akisikia raha,si ndo akamwita nurse.
Nurse.......Babu akaita.
Abee babu......nurse akaitika
Na mkojo hautoki.....Babu akasema
Nurse.......Babu akaita.
Abee babu......nurse akaitika
Na mkojo hautoki.....Babu akasema