FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
- Thread starter
- #81
Hivi wale wazee walikua wanashangilia nini?
mie hata sielewi vichwani mwao vitu gani vilikuwa vinawafanya washangilie
Hivi wale wazee walikua wanashangilia nini?
hukuwa na sababu ya kutukana,hoja ijibu hoja
tupo sana mama mia,ndo mpango mzima
noted
Hivini kweli kuwa hiyo hotuba aliandikiwa na mtoto wake makamba na kumuwekea hiyo hadithi ya mbayuwayu!!!!!!
Ni kweli, Makamba mzee alishawahi kutupa huu mfano alipokuwa mkuu wa mkoa wa Morogoro na wanafunzi wa IDM Mzumbe walitaka kugoma akaja kutupiga porojo zake.
nilikuona upo benet na Mshiki. Afu umepotea kama nini cku hizi.Kweli umefungwa pingu kisawasawa.
mie hata sielewi vichwani mwao vitu gani vilikuwa vinawafanya washangilie
We hukuona cha kushangilia pale?
Hivi ni lini itafikia kipindi tuukubali ukweli na hali halisi?we uliona? ulipewa shati na kanga ya kijani labda? au buku 10?
Hivi ni lini itafikia kipindi tuukubali ukweli na hali halisi?
Kwamba serikali yetu ni changa na uwezo wake ni mdogo kiasi kwamba kulipa kima cha chini 315,000 ni sawa na kumwambia xpin aache kunywa bia!ipi hiyo?
lakini za kufuja kwenye mabo ya hovyo hovyo zipo.......!!!Kwamba serikali yetu ni changa na uwezo wake ni mdogo kiasi kwamba kulipa kima cha chini 315,000 ni sawa na kumwambia xpin aache kunywa bia!
lakini za kufuja kwenye mabo ya hovyo hovyo zipo.......!!!
We hukuona cha kushangilia pale?
Chrispin kama sikosei ulikuwa na valuu kichwa wakati unashangilia
Mambo ya hovyo hovyo kama yapi?
Nimeamua kuchukua kadi ya CCM.
Nimeamua kuchukua kadi ya CCM.
Ahsanteni sana wanaTUCTA. Tulishirikiana vema lakini sina jinsi...ooooooh!!! nimeelewa!! asante kwa kunipa break!!
Atajirekebisha kiongozi. Usisahau kumpa kura yako ifikapo Oktoba. Tumpe muda jamani.Yaani kama pepa JK ana 15% bse kati ya issue 3 za TUCTA amedeal na moja tuu ya ongezeko la mshahara akakomaa nayo mpaka mwisho na mipasho yake ya apa na pale