Na hili nalo Nape atiririke...

Jacobus

JF-Expert Member
Mar 29, 2011
4,684
1,699
Baada tu ya uchaguzi wa Marekani kuisha na Barak Obama kuibuka mshindi kwa awamu yake ya mwisho mheshimiwa Nape Nnauye ali TIRIRIKA kwa mbwembwe nyingi sana akifananisha mambo mengi ambayo kimsingi ni tofauti sana na nchi yetu.

1. Nchi yetu TANGANYIKA inapata UHURU mwaka 1961 ilikuwa na majimbo MANANE wakati USA ikiwa na states kama HAMSINI, lakini leo wenzetu hawajaongeza STATE nyingine sisi tuna mikoa zaidi ya ishirini.
2. Barak Obama ni raisi wa USA wa 44 sie Jakaya Mrisho Kikwete ni wa 4 tu.
3. USA ni kubwa mno kuliko TANGANYIKA achilia mbali URT, uchaguzi hufanyika mchana na matokeo siku hiyohiyo wakati hapa petu ni mpaka siku TATU kama si WIKI na kadhalika.

Sasa MAOFISA wawili huko huko USA wamejiuzuru kwa KASHFA za MAPENZI tuu na raisi kakubali, NAMUOMBA HAPA NAPE ATIRIRIKE basi kuhusiana na hili.
 
Baada tu ya uchaguzi wa Marekani kuisha na Barak Obama kuibuka mshindi kwa awamu yake ya mwisho mheshimiwa Nape Nnauye ali TIRIRIKA kwa mbwembwe nyingi sana akifananisha mambo mengi ambayo kimsingi ni tofauti sana na nchi yetu.
1. Nchi yetu TANGANYIKA inapata UHURU mwaka 1961 ilikuwa na majimbo MANANE wakati USA ikiwa na states kama HAMSINI, lakini leo wenzetu hawajaongeza STATE nyingine sisi tuna mikoa zaidi ya ishirini.
2. Barak Obama ni raisi wa USA wa 44 sie Jakaya Mrisho Kikwete ni wa 4 tu.
3. USA ni kubwa mno kuliko TANGANYIKA achilia mbali URT, uchaguzi hufanyika mchana na matokeo siku hiyohiyo wakati hapa petu ni mpaka siku TATU kama si WIKI na kadhalika.
Sasa MAOFISA wawili huko huko USA wamejiuzuru kwa KASHFA za MAPENZI tuu na raisi kakubali, NAMUOMBA HAPA NAPE ATIRIRIKE basi kuhusiana na hili.
ila hapo kwenye majimbo umnikumbusha mbali kulee cdm!
je hii hoja bado ipo ya kulirudisha taifa kwenye majimbo ya utawala na cdm wanaipigania iingie kwenye katiba mpya au wameshaipotezea?
 
Marekani walianza kupiga kura toka mwezi sept. na sio siku moja kama mleta uzi aliainisha lakini pia tulimpinga hapa Nape kwa kulinganisha USA na BONGO na wewe wataka kurudia kile kile alichofanya Nape?
 
Sawa mzee lakini jamii inafahamu kuwa siku ya mwisho ndio ya kufunga kupiga kura na matokeo hutoka siku hiyohiyo tofauti na hapa kuwa leo mnamaliza upigaji kura na kusubiri matokeo kwa zaidi ya siku tatu na zaidi!
Marekani walianza kupiga kura toka mwezi sept. na sio siku moja kama mleta uzi aliainisha lakini pia tulimpinga hapa Nape kwa kulinganisha USA na BONGO na wewe wataka kurudia kile kile alichofanya Nape?
 
Baada tu ya uchaguzi wa Marekani kuisha na Barak Obama kuibuka mshindi kwa awamu yake ya mwisho mheshimiwa Nape Nnauye ali TIRIRIKA kwa mbwembwe nyingi sana akifananisha mambo mengi ambayo kimsingi ni tofauti sana na nchi yetu.
1. Nchi yetu TANGANYIKA inapata UHURU mwaka 1961 ilikuwa na majimbo MANANE wakati USA ikiwa na states kama HAMSINI, lakini leo wenzetu hawajaongeza STATE nyingine sisi tuna mikoa zaidi ya ishirini.
2. Barak Obama ni raisi wa USA wa 44 sie Jakaya Mrisho Kikwete ni wa 4 tu.
3. USA ni kubwa mno kuliko TANGANYIKA achilia mbali URT, uchaguzi hufanyika mchana na matokeo siku hiyohiyo wakati hapa petu ni mpaka siku TATU kama si WIKI na kadhalika.
Sasa MAOFISA wawili huko huko USA wamejiuzuru kwa KASHFA za MAPENZI tuu na raisi kakubali, NAMUOMBA HAPA NAPE ATIRIRIKE basi kuhusiana na hili.
Nimeshindwa kuendelea kusoma baada ya kukutana na kituko. eti Nape nae ni muheshimiwa, hee!
 
Utapoteza muda kumfuatilia nape, anabwabwaja tu hana jipya. Utafananishaje US na TZ ziko sawa kweli huyo?
 
Waliojiuzuru sio tu maafisa kama watendaji wa kawaida ni maafisa wa CIA watu ambao wameshiriki kwa kiwango kukubwa kuilinda Marekani wakati wote Obama akiwa katika kampeni.wamejiuzulu na vitu too personal sio wizi wa mafuta wa Gas.demokrasia si kiu cha mzaha, maana ndani yake kuna kitu kinaitwa accountability kitu ambacho kwetu ni zero.You can imagine spika mama wa njombe aliahirisha hoja ya zoto kwa madai muda uliobaki ni mfupi hawawezi kuijadili. nilishangaa na nazidi kushangaa sana wameshindwa kuongeza siku 2 kukamilisha jambo hili kana kwamba wakitoka hapo wanakwenda kufanya mitihani.Hii ni hatari sana kwa nchi yetu.
 
Tatizo letu nashindwa kulifahamu zaidi ni nini, mtu ukimtajia JIMBO anachukia mno na kukuambia kile alicholishwa eti MAJIMBO ni UKABILA wakati HAONI hii MIKOA inavoundwa ni KIKABILA ZAIDI.
ila hapo kwenye majimbo umnikumbusha mbali kulee cdm!
je hii hoja bado ipo ya kulirudisha taifa kwenye majimbo ya utawala na cdm wanaipigania iingie kwenye katiba mpya au wameshaipotezea?
 
Back
Top Bottom