Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Norway aah nchi poa sana, Scandnavian wote wako poa. DENMARK, SWEDEN, NORWAY.
Hata washkaji nawashauri, ukitaka demu jaribu hizo nchi, utafurahi na nchi nyingine ni FINLAND wako poa sana.

nilikuwa najiona MBILIKIMO maana wale watu ni Warefu kwelikweli.
Tusema ni maadili yao yapo hivyo ama ni political ideology yao kwamba wanatreat binadamu wote ni sawa? Maana naskia hata ukiishi uko wanakutreat kama wao na huduma zote unapewa as long as huvunji sheria zao

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Unaposema usipoteze muda unamaanisha nini? Au kuna mwingine anakuhitaji na wewe unashindwa kuji commit sababu ulishaingia kwa huyu?

Huyo ni binadamu na huwezi kujua kimempata nini, usiumie wala usimuwazie mabaya.... Mnaweza kuwa hamjawahi kuonana ndio maana humuelewi vizuri; na unawezakuta alikua na mahusiano mengine bado anasortout mambo yake/ unaweza kuta ana shida za kisaikolojia inapokuja swala la mahusiano haswa kukutana na watu wapya/ anaweza kuwa mgonjwa na hii omicron sio mchezo/Unaweza kuta sio mtu sahihi kwenye maisha yako na Mungu ameacha iishie hapo...

Kama unaamini mahusiano yako na Mungu yatakupa mahusiano bora na mtu sahihi basi wala usiwaze, wewe endelea kujiuguza

Asante kwa ushauri mzuri na nili overthink nilikua na mixed feelings at the same time ila nashukuru amenitxt jioni hii anasema cm yake ilianguka ikapasuka screen ikajaa wino so alikua anapata notification zote ila haifunction.
 
What do u think I should do guys? Au nisubiri tu nione itakuaje?
Pole Sana kwa ajali.
Mie nachokushauri nakuomba usikamie Sana Mana waweza jinyonga na ukaona kuwa maisha hayana maana Tena ya huyo mtu.
Kama umemtumia jaribu kufanya ishu zingine ili usiwekeze maisha na akili yote kwake.
Pia uwe unakuwa tayari kukosa kitu unachoona kwako ni Cha muhimu sana maishani mwako.

Yaani nakuona una presha Sana na emotions yaani kutowasiliwana naye siku kadhaa hata wiki haijapita jamani tayari hata hauli.ukiwa ivyo mdogo wangu Kinga za mwili zitashuka,Mana chakula hakitameng'enywa.pia usiwe na presha yaani don't pressurize him and you too.
Kama mahusiano yapo na hujamkosea Mungu atafanya kazi yake upate hitaji la moyo wako.
Yaani navyokuona ukija kutokea kutendwa ama ndoa inataka kufungwa akapotea utakufa wewe.
Please for psychology reasons be ready to loose something very important in your life at anytime.
Kweli hao jamaaa ambao nao huwa wanapenda kubadili maisha wanajaribu black girls.
Mana wanajua wanaseto kwa ndoa. Ila sijui why mange pia hao jamaa divorce huwa sio ishu kwao uwe tayari.kikubwa zidisha bidii jiunge mitandao mingi Ipo mpaka ya kulipia.
Weka hela kidogo benki like laki or alfu hamsini wakikuomba credit card unawapa unajaza afu unaruhusu hela dada.
Penye Nia Pana Njia. Pia pigania ndoto zako usichoke pia usiwe mtu wa mizinga afu uwe na professional yako itakuwa rahisi kwake Mana nje life ni ghali. Kama ni nesi atakupigania unapata jobu kwao in case akikuoa.
Ama uwe tayari kujiendeleza. Jitahidi uonyeshe kuwa you're independent lady itakupa credit zaidi.
Pia iyo Western Union money transfer Ipo karibia benki nyingi. Akikutumia unaenda tu benki kuchukua fasta. Na exposure naona bado ni ndogo unayo ama hata posta unaenda unawapa details za muamala wapi imetoka Nani akatuma na wewe pale ,huwa secret swali wanakuuliza yeye takuwa amekupa jibu unawajibu wanakupa hela.

Ni hayo tu Ila nakutakia ndoto yako itimie.
Huwa naelewa Mana ya mtu kupigania ndoto yake Mana najua inagharimu maisha yake smt.
 
Scandnavian countries wamestaarabika halafu wana ka utulivu flan sio nchi mapepe km za US na zenye ubaguzi wa kishenz shenzi...huyu jamaa ni mrefu pia aliniambia ana 184cm sasa mimi am sure ntakua joti bila shaka
wakati nasoma niliokota videmu vya kizungu, sema rangi ndio unaziogopa ila Hawa akina LULU ni wakali balaa....

Vp lkn si amepatikana??
 
Ngoja akutumie nauli uende ujikute kwenye usambazaj wa sembe au madanguro

Sikutishi ila muda mwalimu mzuri sana
Mpe moyo mdogo wako bana Mana maisha ni kubeti. Kikubwa akienda huko ajue ubalozi ulipo basi.
Maisha yetu ama our future is uncertainty.
We're heading mbele Ila mbeleni ni kiza kwa kila mtu.
Kwani hujui kuwa kigeni ama kitu usichokuwa nacho huwa kina thamani Sana.
Sasa weusi wapo wengi na kila muda anao so supply Ipo ya kutosha.
Ana kimuhe muhe Mana huko supply ni ndogo
 
Pole Sana kwa ajali.
Mie nachokushauri nakuomba usikamie Sana Mana waweza jinyonga na ukaona kuwa maisha hayana maana Tena ya huyo mtu.
Kama umemtumia jaribu kufanya ishu zingine ili usiwekeze maisha na akili yote kwake.
Pia uwe unakuwa tayari kukosa kitu unachoona kwako ni Cha muhimu sana maishani mwako.

Yaani nakuona una presha Sana na emotions yaani kutowasiliwana naye siku kadhaa hata wiki haijapita jamani tayari hata hauli.ukiwa ivyo mdogo wangu Kinga za mwili zitashuka,Mana chakula hakitameng'enywa.pia usiwe na presha yaani don't pressurize him and you too.
Kama mahusiano yapo na hujamkosea Mungu atafanya kazi yake upate hitaji la moyo wako.
Yaani navyokuona ukija kutokea kutendwa ama ndoa inataka kufungwa akapotea utakufa wewe.
Please for psychology reasons be ready to loose something very important in your life at anytime.
Kweli hao jamaaa ambao nao huwa wanapenda kubadili maisha wanajaribu black girls.
Mana wanajua wanaseto kwa ndoa. Ila sijui why mange pia hao jamaa divorce huwa sio ishu kwao uwe tayari.kikubwa zidisha bidii jiunge mitandao mingi Ipo mpaka ya kulipia.
Weka hela kidogo benki like laki or alfu hamsini wakikuomba credit card unawapa unajaza afu unaruhusu hela dada.
Penye Nia Pana Njia. Pia pigania ndoto zako usichoke pia usiwe mtu wa mizinga afu uwe na professional yako itakuwa rahisi kwake Mana nje life ni ghali. Kama ni nesi atakupigania unapata jobu kwao in case akikuoa.
Ama uwe tayari kujiendeleza. Jitahidi uonyeshe kuwa you're independent lady itakupa credit zaidi.
Pia iyo Western Union money transfer Ipo karibia benki nyingi. Akikutumia unaenda tu benki kuchukua fasta. Na exposure naona bado ni ndogo unayo ama hata posta unaenda unawapa details za muamala wapi imetoka Nani akatuma na wewe pale ,huwa secret swali wanakuuliza yeye takuwa amekupa jibu unawajibu wanakupa hela.

Ni hayo tu Ila nakutakia ndoto yako itimie.
Huwa naelewa Mana ya mtu kupigania ndoto yake Mana najua inagharimu maisha yake smt.

Asante kwa ushauri mzuri nimekuelewa sana tena mno kuhusu proffesional mimi ni degree holder wa finance and investiment n development planning..kuhusu exposure ya watu wa nje kweli sikua nayo kiivyo ila naimani Mungu ni mwema I will learn with time..asante kwa muda wako.
 
Tulia ni kawaida tu hiyo ila akitaka kukutumia hela mara ya pili kataa
Ukikataa itaongeza thamani yako zaidi na atakuheshimu zaidi ya hapo alaf zitakuja hela nyingi zaidi, ila ukileta papara na pesa atakuacha kweli
 
Asante kwa ushauri mzuri na nili overthink nilikua na mixed feelings at the same time ila nashukuru amenitxt jioni hii anasema cm yake ilianguka ikapasuka screen ikajaa wino so alikua anapata notification zote ila haifunction.

Kila la heri mdogo wangu

Jitahidi kuwa mtulivu pale unapokua huyajui mambo kiundani haswa kwa issue ya mahusiano. Hawa wanaume Mungu aliowaumba kwaajili yetu hawawezagi kutuelewa na kutuvumilia tunapowachanganya kwa hisia zetu negative.
 
Tulia ni kawaida tu hiyo ila akitaka kukutumia hela mara ya pili kataa
Ukikataa itaongeza thamani yako zaidi na atakuheshimu zaidi ya hapo alaf zitakuja hela nyingi zaidi, ila ukileta papara na pesa atakuacha kweli

Asante kwa ushauri mkuu.
 
Kila la heri mdogo wangu

Jitahidi kuwa mtulivu pale unapokua huyajui mambo kiundani haswa kwa issue ya mahusiano. Hawa wanaume Mungu aliowaumba kwaajili yetu hawawezagi kutuelewa na kutuvumilia tunapowachanganya kwa hisia zetu negative.

Sawa my sister asante kwa ushauri wako mzuri
 
Binafsi nafahamu sisi black girls we are so cute! He admitted that to me too! Nawapenda tu kwa sababu flan flan ila kwa urembo waafrica we are the best.

Kweli mmeumbika
Naishi na weupe huku lakini nawapenda weusi zaidi
Vipi umepona vidole lakini? Pole

Sipo kwenye mitandao labda ningekuona (just joking )
Vuta subra wakati huu ni baridi sana na barafu inamwagika sana huenda yuko ski na wapambe kakuweka pause kwa mda
 
Long distance relationship inaweza kumletea mtu ugonjwa wa moyo na sonona. Ingekuwa jamaa yupo "buguruni gana" chap ungepanda boda ukamfata ghetto kujua shida iko wapi, sasa mtu yuko Norway huko unakufa na pressure kumbe it's just a minor thing.

Mi nakuambia, pamoja na kuwa nae...usiache kabisa kuwa na mtu wa kutuliza hizo stress, trust me hutapata shida sana, pale utakapoona the man is serious, very serious with you...ndio uachane na huyu rafiki wa Das'lam!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom