Laurence
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 3,104
- 420
tulikuwa tunakula vyakula nachurale....sio hivi vyenu vyenye madawa lukuki.....sato walikuwa wanavuliwa na nyavu....sio hawa wenu mpaka wavuliwe na baruti...sijui sumu.....ukimkuta sato pale chakula barafu ni mkubwa anakulingana.......
Da kweli mamam mkubwa maana cku hizi hii milo ya kisasa inahribu kila kitu,any way Mungu mwema ntafika tu huko na hii miaka yangu ya sasa