Kanyunyu
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 335
- 495
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, Frederick Sumaye ameshindwa kutetea kiti chake cha uenyekiti ambapo amepata kura 28 za ndio na 48 za hapana kati ya kura zote katika uchaguzi uliofanyika leo Kibaha mkoani Pwani.
Hii ndiyo inaitwa "From Hero To Zero"
Siasa za mchangani ni aibu kubwa!
Hii ndiyo inaitwa "From Hero To Zero"
Siasa za mchangani ni aibu kubwa!