Ndugu zangu,baada ya Mzee mwinyi kukamata nondo watu wanasema sana, lakini tuwe waungwana mzee huyu na JK kwa kuongoza tu taifa wanastahili kutunikiwa degree hizo. Hiyo ni kutokana na majukumu yao na challenge walizopata katika uongozi,hiyo ni halali yao watu wasibeze eti za kupewa ipi sio ya kupewa.