Unazani ccm kuna wenye chama, walikuwa wanajifanya ndo mungu ndani ya ccm ndo wamenunua saccoss yenu,pole sana wazee wa kununuliwaWenye chama wamejitoa, yamebaki 'makapi' tu ccm
Mzee anayekijua chama kuliko wote nchi hii
Hotuba ya kujitoa CCM inarudiwa.
Fuatilia..
hivi wewe hujui kuwa hata leo hii lowassa akiamua kulala nyumbani asipige kampeni atashinda tuu?tulishamuelewa hata akiongea dk.mbili zatosha hata asipoongea kabisaNdo maana Leo arusha mumemgeuza mgombea wenu maana akipewa nafasi ya kueleza Sera, mwaka huu mtaelewa tu,
Mzee anayekijua chama kuliko wote nchi hii
Kadi #7 mi nikajua ana fuata baada ya Jk Nyerere na Karume. Kumbe 7. Enzi hizo kulikuwa na akina Kambona ambaye Ali enda na Nyerere 1961 kwenda kuomba uhuru UK na bado aka ondoka CCM na CCM ikabaki. Na Kambona ni kadi [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=4]#4 [/URL] sasa wewe #7 una mtingisha nani.
Kwakuwa sisi wapiga mandondocha wahivi wewe hujui kuwa hata leo hii lowassa akiamua kulala nyumbani asipige kampeni atashinda tuu?tulishamuelewa hata akiongea dk.mbili zatosha hata asipoongea kabisa
Kifungu gani cha katiba ya CHADEMA kilivunjwa?