Kingunge-1972 akiwa RC wa Singida kwenye marekebisho ya Katiba kuhusu wabunge wanaoteuliwa kuwa wakuu wa mikoa,kwenye caucus ya chama iliyokuwa chini ya Mwenyekiti Kawawa alipinga marekebisho ya katiba yenye lengo la kulinda maslahi ya wachache!!!
Hata kwny Jaribio la kumkata Jk 2005 huyu Kingunge na Zakia Hamdan Meghji ndio waliosimama kidete hata kufikia kumvunjia heshima Mzee mkapa na kamati kuu, huyu mzee Mgongoni kwake kuna Pricce tag huhitaji ku bargain nae