Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,232
- 6,479
Ameyasema hayo leo akitimiza miaka 72.
Rais mstaafu Jakaya Kikwete akihojiwa na clouds Media Group ktk kutimiza kwake miaka 72, amegusia Katiba Mpya.
Amesema ameasisi Mchakato wa Katiba Mpya kwa kuunda tume ya maoni ya Warioba na baadaye Bunge la Katiba.
Rasimu ilipatikana na ikabaki kura ya Maoni. "Kazi kwenu"
Pia ameshauri tukitaka Mchakato mpya kazi kwetu.
Rais mstaafu Jakaya Kikwete akihojiwa na clouds Media Group ktk kutimiza kwake miaka 72, amegusia Katiba Mpya.
Amesema ameasisi Mchakato wa Katiba Mpya kwa kuunda tume ya maoni ya Warioba na baadaye Bunge la Katiba.
Rasimu ilipatikana na ikabaki kura ya Maoni. "Kazi kwenu"
Pia ameshauri tukitaka Mchakato mpya kazi kwetu.