Makala Jr
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,395
- 1,110
Huyo mzee ni kilaza sana, mara zote akili ndogo hujadili watu badala ya kujadili masuala.Kwani Andrew Chenge,Daudi Ballali na hawa kina Lowassa Lowassa wamesomeshwa na nani kama siyo kodi zetu na kuishia kwenye kashfa za ufisadi? Sasa si bora anayetuonesha tunakwama wapi? Kwanza hajielewi, Dr.Kitima hakusomeshwa kwa fedha za CCM ila kodi za wananchi wote hivyo hakuna ulazima wa kuitumikia CCM iliyojaa ufisadi na rushwa kwa kuisifia kila mara!