Mzanzibari aliyekamatwa na FBI kwa ugaidi arejeshwa

Nimesikitika sana, Pole Morris. I am sorry to say that Tz is interested with foregn politics na masifa yasiyo na tija kumbe ni watu wanakuweka sawa ili waje kula kwa mrija kwa visingizio vya foreign investors. Nakuambia miaka ijayo Marekani itakuja kuchimba mafuta hapa Tz na tutalipa fadhila ya mafyeza ya ukimwi, malaria, n.k. Thubutu basi kumwambia Kikwete kupitia mamlaka zake atoe statement kuhusu huyu Morris, atapiga chenga na ikilazimika atoe statement ataitoa kwa Kikwere ili Serikali ya Bush isiielewe. Huku Tanzania serikali yetu haijali wananchi wake na si ya JK tu hata zilizopita, na ndiyo maana tuewapa wahindi nafasi ya ku dominate na kutuona watz mafala tu. Wana JF tuanzie kwanza na tabaka la wahindi, tusiende mbali. Samahani siwachukii wahindi bali ni namna ambavyo wameshatudharau na kwa kuwa wamelelewa na system. Nimeshakuwa India kwa muda kiasi na sikuweza kuona namna ambavyo mtu kama tz atapewa nafasi kule India, hata kama umeoa au kuolewa kule wewe ni outcast tuu. Sasa nako huku TZ wahindi wameshatufanya outcast ndani ya nchi yetu.

FMES! Sasa niambie wahindi wanahusiana nini na kukamatwa kwa Morris? Mimi naona huu ni uchochezi wa chuki dhidi ya wenzetu wenye rangi tofauti. Kwangu mimi, huyu na yule anayewashutumu waislamu kuwa wanakumbatia magaidi hawana tofauti. Wote hawanisemei mimi na wanastahili kukemewa. Mwenzangu hili huoni ( umekuwa wa kwanza kumshukuru kwa mchango wake) maana kwako ubaguzi wa rangi ni sawa tu!

Nimetofautiana na wakina Mkandara, Chuma na wengine lakini hata siku moja sikudiriki na sitadiriki kuwaambia kuwa imani yao ina walakin. Mwenzangu, unaweza kusema hilo?

Hapana FMES mnaopandikiza chuki ni nyie na sio sisi.
 
Fundi Mchundo, FBI wana jurisdiction kwenye property yoyote ya Serikali ya Marekani kwenye nchi yoyote..
 
FMES ! You never cease to amaze me! Uamuzi wa kumtaja au kutomtaja huyo mbaya wako ni wako. Kwangu mimi lilikuwa ni ombi tu kwa vile nilidhani hapa tumesimamia uwazi. Hizi insinuations na innuendos ndizo zinazobomoa badala ya kujenga. Lakini huo ni mtizamo wangu binafsi na sitegemei kuungwa mkono na wote.

Haya, Mkuu! Hao FBI hawakujua wapi pa kuipata Quran hadi wakakutafuta wewe? Au ilihitajika Quran ya kiswahili? Nayo hao mabwana au mabibi kweli hawakuweza kuipata mpaka wakakutafuta wewe? Au kuna jambo unataka kutufahamisha? Excuse my ignorance lakini mimi nilidhani FBI mandate yao inaishia kwenye mipaka ya marekani? Nje ni CIA? Sijasikia FBI wakituhumiwa kuwa na jela au kukamata watu nje ya marekani bali CIA. Lakini, tena, lazima nikiri, huo utaalam sina maana simjui hata mmoja FBI wala CIA. Una ushahidi gani kuwa huyo unayemuita mbongo alikamatwa na serikali ya Tanzania? Halafu unanishutumu mimi kwa kuwa mchonganishi? Nijuavyo mimi wengi wa raia wa Tanzania walikamatwa nje ya Tanzania. Wale waliokuwa Tanzania taratibu zilifuatwa kwa kuomba mahakamani na kama sikosei kuna baadhi ya watuhumiwa walishinda. Mbona kuna mmarekani mweusi mmoja aliyekuwa mwanachama wa Black Panther nae alirudishwa baada ya taratibu kufuatwa? Sasa hayo ya serikali yetu kukamata wanaoshukiwa kwa ugaidi na kuwakabidhi unayasema wewe.

Mimi sichagui. Ninazungumzia dini, ukabila, imani ya uchawi, ubaguzi wa kijinsia, ubaguzi wa rangi kwa vile najua vyote hivi vina nafasi katika jamii yetu. Kuvizungumzia si kupachika mbegu za chuki bali ni kuvitoa vile vinavyozungumziwa gizani na kuvileta kwenye mwanga. Sasa kama wewe unaamini wakina fupi walifanya waliyoyafanya kwa sababu ya pesa tu, hiyo ni imani yako. Kama mambo yote ni pesa tu, huyo Osama anafanya nini huko kwenye mapango wakati anatoka katika ukoo tajiri kupindukia?

Wamarekani wenyewe wanapelekana mahakamani kupinga yale yanayotendeka Guatanamo. Ni wamarekani wenyewe walioijia juu serikali yao waliposema kuwa hakuna Habeas Corpus kwa wale wanaowaita magaidi. Ni wamarekani wenyewe wanaosema kuwa jinsi vita dhidi ya ugaidi ilivyoendeshwa awali imechangia kwa kiasi kikubwa katika kujenga chuki kati ya hizi dini mbili. Hakuna mtu anayewakatalia wamarekani kuchukua hatua dhidi ya wale wenye nia mbaya nao. Kama nilivyosema awali. Tatizo si kukamata. Tatizo ni kutowafikisha mahakamani ambapo wataweza kuhumiwa kufuatana na ushahidi utakaopelekwa.

Kwa vile wengine wakiona Fundi Mchundo mapovu yanawatoka, posting zangu zilikuwa zinaelekezwa kwa watu wenye mawazo kama ya huyu hapa chini.




Huyu mmisheni mwenzangu ndiye niliyekuwa nampinga. Haya nyinyi mashujaa wa kupinga udini mlikuwa wapi wakati anayasema yote haya? Mmemshupalia Fundi Mchundo kuwa anapandikiza chuki za udini lakini huyu mwenzenu mmemnyamazia! Nyinyi ambao marafiki zenu wengi ni waislamu!

Ignorance is never an excuse.

Nilikuwepo.

Nyie watu naona mna lenu jambo. Hivi mmekosa mada ya kuchangia na kuamua kutoleana hasira yote sababu ya pent up aggressions due to petty, old grievances that apparently both of have been nursing for a long time against each other?

Watu tambueni kuwa mmeenda nje sana ya mipaka ya mada ambayo, kwa kuwakumbusha inahusu sababu na mazingira ya kukamatwa na hatimaye kuachiwa huru kwa Mzanzibari Suleiman Abdallah Salim aka Morris (pichani chini). Ni vigumu kuelewa jinsi gani nukuu za William Bennett, vifo vya mabaharia kwenye ardhi ya Sudan, au nyie binafsi ni Waumini wa dini/dhehebu gani yanahusiana vipi na yaliyomsibu Mzanzibari Suleiman Abdallah Salim.

http://3.bp.blogspot.com/_stxylFr6jLM/SL6QnnhcKcI/AAAAAAAARrs/nM7WQOx_inY/s1600-h/DSC04229.JPG
 
Fundi Mchundo, FBI wana jurisdiction kwenye property yoyote ya Serikali ya Marekani kwenye nchi yoyote..

Naam. Lakini je wana mamlaka ya kuwakamata wanaowashukia kuwa magaidi NJE ya mipaka ya marekani? Ninavyojua mimi, extreme rendition inafanywa na CIA na sio FBI. I could be wrong.
 
Nyie watu naona mna lenu jambo. Hivi mmekosa mada ya kuchangia na kuamua kutoleana hasira yote sababu ya pent up aggressions due to petty, old grievances that apparently both of have been nursing for a long time against each other?

Watu tambueni kuwa mmeenda nje sana ya mipaka ya mada ambayo, kwa kuwakumbusha inahusu sababu na mazingira ya kukamatwa na hatimaye kuachiwa huru kwa Mzanzibari Suleiman Abdallah Salim aka Morris (pichani chini). Ni vigumu kuelewa jinsi gani nukuu za William Bennett, vifo vya mabaharia kwenye ardhi ya Sudan, au nyie binafsi ni Waumini wa dini/dhehebu fulani yanahusiana vipi na yalimsubu Mzanzibari Suleiman Abdallah Salim.

[media]http://3.bp.blogspot.com/_stxylFr6jLM/SL6QnnhcKcI/AAAAAAAARrs/nM7WQOx_inY/s1600-h/DSC04229.JPG[/media]

Samahani kama tumekukwaza. Tunabadilishana mawazo tuu.

Nadhani ungesoma posting zote za thread hii ndiyo ungeelewa tunatokea wapi!
 
Naam. Lakini je wana mamlaka ya kuwakamata wanaowashukia kuwa magaidi NJE ya mipaka ya marekani? Ninavyojua mimi, extreme rendition inafanywa na CIA na sio FBI. I could be wrong.

Ni kweli rendition inafanywa na CIA...kuhusu kukamata hiyo ni between local police na CIA na wakati mwingine FBI kama wanahusika kwenye hiyo kesi kwa mfano kesi ya Fupi ilikuwa tayari mikononi mwa FBI.

800px-ExtRenditionMap.gif

Extraordinary Renditions allegedly have been carried out from these countries
Detainees have allegedly been transported through these countries
Detainees have allegedly arrived in these countries
United States & the suspected "black sites"

Sources: Amnesty International[1], Human Rights Watch
 
FMES naona anakwenda mbaaaaaaaaaaaaaaaaaaali kweli kweli.....
 
katika mamb kama haya ndio unakuta Zanzibar inadai serikali tatu, na kudai mamlaka ya kutambulika kama serikali nje ya nchi.

hivi kweli membe anasema wizara ya mambo ya nje ya Tanzania haihusiki wakati huyo morris ni mtanzania!! ........ni aibu kweli kweli, na inaonyesha dhahiri jinsi watanzania tulivyokosa viongozi na jinsi gani viongozi wetu wanavyotudharau.
membe kama huwezi kutetea wazanzibari, unaweza kujiita waziri wa mambo ya nje wa tanganyika basi tukajua moja, kuliko kutumia jina la tanzania vibaya.

morris kujuana na wanaoshutumiwa kwa ugaidi sishangai. kwa nnavyoijua zanzibar ni ndogo sana, na hao wote wanatoka mtaa mmoja wa Malindi ambao kuuzunguka mtaa mzika hauchukui zaidi ya dakika tano.

isitoshe, watu wa malindi karibu ya wote ni wavuvi ki asili. kama hawajuani kwenye uvuvi watajuana labda msikitini pamoja, walisoma pamoja, au alisoma na ndugu zake, jirani na jamaa zake na kadhalika.

as long as amerudishwa tanzania bila ya kufunguliwa mashtaka, nafikiri hautokosea tukisema kuwa wamarekani wamemuonea kwa kumkata huyu jamaa kwa kuwa tu ni muislam na anajuana na watu 'wanaoshutumiwa' kwa ugaidi.
 
1.
FMES ! You never cease to amaze me! Uamuzi wa kumtaja au kutomtaja huyo mbaya wako ni wako. Kwangu mimi lilikuwa ni ombi tu kwa vile nilidhani hapa tumesimamia uwazi. Hizi insinuations na innuendos ndizo zinazobomoa badala ya kujenga. Lakini huo ni mtizamo wangu binafsi na sitegemei kuungwa mkono na wote.

Kwa bahati mbaya mkuu, mimi sina mbaya humu forum, ila nina hoja tu na huwa siogopi wala kuangalia sura, siku zote ninaheshimu sana sheria za forum maana nilikuwepo kabla hujaja hapa kwa hiyo ninajua vizuri sana namna ya kutoa hoja zangu huku nikiheshimu sheria, lakini lazima ujumbe ufike ndio maana wewe unajaribu kila njia kunizunguka na hoja lakini kwangu mimi maana yake ni moja tu kuwa ujumbe umefika, maana kati ya members karibu 8,000 wa hii forum ni wewe tu uliyeumizwa na hoja yangu ya bila kutaja jina la mtu, sasa kama ujumbe haukufika ni nini hasa?

2.
Haya, Mkuu! Hao FBI hawakujua wapi pa kuipata Quran hadi wakakutafuta wewe? Au ilihitajika Quran ya kiswahili? Nayo hao mabwana au mabibi kweli hawakuweza kuipata mpaka wakakutafuta wewe? Au kuna jambo unataka kutufahamisha?

Nafikri nilishasema kuwa nilipokuwa huko, moja ya kazi zangu za kila siku ni pamoja na ku-service Prisons system, pale Metro-Fed System nilikuwa mwenyeji siku zote, halafu haikuwa mimi tu kulikuwa na mbongo mwingine kama mimi aliyeombwa kwenda kutafsiri lugha kwa yule mbongo na wa-Marekani, sasa una maana FBI hawana watu wanaoujua kiswahili au na wewe kuna kitu unataka kusema?

3.
Excuse my ignorance lakini mimi nilidhani FBI mandate yao inaishia kwenye mipaka ya marekani? Nje ni CIA? Sijasikia FBI wakituhumiwa kuwa na jela au kukamata watu nje ya marekani bali CIA. Lakini, tena, lazima nikiri, huo utaalam sina maana simjui hata mmoja FBI wala CIA.

Mkuu mpaka NYPD siku hizi wana wawakilishi wao nje ya US, na wakikushitukia unataka kufanya uhalifu wanakushika mara moja, CIA sio peke yao wenye hiyo role tena na besides CIA ni wapelelezi tu, lakini FBI ni wapelelzi na ni wao wenyewe ndio wamaokufikisha kwenye Court zao na kuku-prosecute kwa sheria za Federal za USA, au unaweza kuwa prosecuted in absentia, toka baada ya September 11, FBI wanafanya kazi zao za nje wenyewe mkuu, infact siku hizi wana wawakilishi wao independently kwenye kila balozi za nje, yaani hata haya madogo hivi mkuu ulikuwa hujui?

4.
Una ushahidi gani kuwa huyo unayemuita mbongo alikamatwa na serikali ya Tanzania? Halafu unanishutumu mimi kwa kuwa mchonganishi? Nijuavyo mimi wengi wa raia wa Tanzania walikamatwa nje ya Tanzania. Wale waliokuwa Tanzania taratibu zilifuatwa kwa kuomba mahakamani na kama sikosei kuna baadhi ya watuhumiwa walishinda. Mbona kuna mmarekani mweusi mmoja aliyekuwa mwanachama wa Black Panther nae alirudishwa baada ya taratibu kufuatwa? Sasa hayo ya serikali yetu kukamata wanaoshukiwa kwa ugaidi na kuwakabidhi unayasema wewe.

Ushahidi ni kwamba nimemuona na kuongea naye sana na ahata kumpatia baadhi ya mahitaji yake ambayo wa-Marekani walishindwa kumpatia, lakini kisheria alitakiwa kupatiwa, infact wakati wa kesi yake Mahita (IGP), na aliyekuwa DPP ambaye sasa ni balozi wetu zimbabwe, na Mwanasheria mmoja kutoka ofisi ya AG, walikuwepo pia pale Federal Court Manhattan, mpaka yule kijana alipofungwa maisha masikini ya mungu, sasa mkuu bado unauliza ushahidi tena unafikiri nimekurukupa? Mbona nimekuambia mara nyingi sana kuwa huwa sikurupuki hata siku moja!

Ninakuita mdini na mpandaji mbegu za chuki za udini kwa sababu, hii case ya Morris, imewatokea mabaharia wengi sana, ni makosa tu ya kuwa at the wrong place at wrong time, lakini it has nothing to do na dini ya Morris, wala ya mtu yoyote yulke awe Mtanzania au mu-amerika, sasa nashangaa sana wewe na mwenzako kama kawaida yenu mnavyojaribu sana kuigeuza hii ishu kuwa na dini ndani yake, uwekili ni kwamba hakuna duini wowote, na kama kuna wa-Tanzania wanatumika na Osama, kwa jili ya mabomu tatizo ni umasikini wetu na sio dini, na hapa forum tunapswa kujua better than that!


5.
Mimi sichagui. Ninazungumzia dini, ukabila, imani ya uchawi, ubaguzi wa kijinsia, ubaguzi wa rangi kwa vile najua vyote hivi vina nafasi katika jamii yetu. Kuvizungumzia si kupachika mbegu za chuki bali ni kuvitoa vile vinavyozungumziwa gizani na kuvileta kwenye mwanga. Sasa kama wewe unaamini wakina fupi walifanya waliyoyafanya kwa sababu ya pesa tu, hiyo ni imani yako. Kama mambo yote ni pesa tu, huyo Osama anafanya nini huko kwenye mapango wakati anatoka katika ukoo tajiri kupindukia?

Point yangu ni kwamba, wewe na mwenzako so far mmeshindwa kuiunganisha hii mada na kuuwana kwa Wakristo na Wa-Isilam, either katika historia au kwa taifa la USA sasa hivi kwa sababu sio kweli kuwa USA siku hizi ukiwa Mu-Isilamu tu basi unakamatwa, na pia sio kweli kwamba ukiwa Mu-Isilam m-Tanznia huko USA basi unakamatwa, na sio kweli kwamba Morris amekamatwa kwa sababu ni Mu-Isilam M-Tanzania, ukweli ni kwamba Morris alikuwa at the wrong palce at the wrong time,

Wa-Tanzania walioshiriki kwenye kulipua mabomu ubalozi wa US DAR, walifanya vile kwa sababu tu ya pesa sio udini kama mnavyotaka tuamini, Osama yupo mapangoni kwa sababu hana utaifa, Saudia nchi yake walisha-u-revoke utaifa wake, US wanamtafuta kwa udi na uvumba sasa ataishi wapi zaidi tu ya huko mapangoni kama watu wa zamani? Ndio maana yuko huko peke yake tu lakini sio na familia yake nzima, hata mtoto wake moja sasa hivi anaishi kwenye Tump Tower, na anajitayarisha kwenda Hollywood, maana anaelewa kuwa watu wenye mapesa kama famila yake ndiko wanako-belong, sio mapangoni kukimbizana na nyoka!


6.
Wamarekani wenyewe wanapelekana mahakamani kupinga yale yanayotendeka Guatanamo. Ni wamarekani wenyewe walioijia juu serikali yao waliposema kuwa hakuna Habeas Corpus kwa wale wanaowaita magaidi. Ni wamarekani wenyewe wanaosema kuwa jinsi vita dhidi ya ugaidi ilivyoendeshwa awali imechangia kwa kiasi kikubwa katika kujenga chuki kati ya hizi dini mbili. Hakuna mtu anayewakatalia wamarekani kuchukua hatua dhidi ya wale wenye nia mbaya nao. Kama nilivyosema awali. Tatizo si kukamata. Tatizo ni kutowafikisha mahakamani ambapo wataweza kuhumiwa kufuatana na ushahidi utakaopelekwa.

Sawa sawa, lakini haya ya Guantanamo Bay Tanzania hayatuhusu baba waache Wa-Marekani ni yao hayo, mbona Keko rumande kuna wahalifu wabongo wanaishi mpaka miaka kumi bila kesi zao kutajwa, angalau huko Guantanamo ni miaka miwili tu mpaka mitano, halafu mbona huko huko Keko kwenye mahabusu husota miaka kumi kwa kesi za mauaji, kina Ditopile hawakukaa hata mwezi mmoja yaani ni afadhali hata huko Guantanamo, sasa what this za kina Ditopile, has to do na udini? Na hawa mahabusu wengine wanaosota karibu miaka kumi nao vipi ni udini kama Guantanamo,au?

7.
Kwa vile wengine wakiona Fundi Mchundo mapovu yanawatoka,

Haya ni simply matatizo ya inferiority complex, hapa JF hatuna msaaada nayo! Maana sisi huja hapa kukata ishus huwa hatujali upande wa pili kuna nani sasa hao wanaotoka mapovu, kwa ajili ya wewe uliyejiunga majuzi tu wakati sisi tupo hapa toka ezni za enzi, sijui ni kina nani hao?

8.
Huyu mmisheni mwenzangu ndiye niliyekuwa nampinga. Haya nyinyi mashujaa wa kupinga udini mlikuwa wapi wakati anayasema yote haya? Mmemshupalia Fundi Mchundo kuwa anapandikiza chuki za udini lakini huyu mwenzenu mmemnyamazia! Nyinyi ambao marafiki zenu wengi ni waislamu!
Ignorance is never an excuse. Nilikuwepo.

Nilitegemea kwamba kwa mtu kama wewe unayejaribu siku zote kuonekana kuwa una elimu na ustaarabu, utatumia nafasi hii ya maneno njiwa ya huyu mkuu kumuelimisha, lakini badala yake na wewe ukaamua kutumia ignorance yake kutema ignorance yako that was uncalled for mkuu ni lazima ukubali kwamba kwenye response yako kwa huyu jamaa umejishusha hadhi sana tofauti sana na ulivyokuwa unachukuliwa na watu muhimu sana humu ndani,

Ndio maana kabla wewe hujamrukia palikuwa kimyaa, kwa sababu watu walikuwa wameamua kumdharau, lakini ulipojitupa wewe ikawa a big shock na hasa maneno uliyoyatumia kumjibu, kwa kweli mamneno uliyoyatumia yamenisikitisha sana, tena sana Mwalimu amejitahidi sana kutuweka pamoja wananchi wadini mbali mbali, pamoja na matatizo yetu ya kisasa na uchumi wa-Tanzania huwa tunapendana mkuu ndio tabia aliyotufundisha baba yetu wa taifa Mwalimu Nyerere, sasa tuendeleze mshikamano hayo matatizo ya udini huko US na waarabu sisi hayatuhusu, tuwaachie wenyewe!

Tanzania ni ndugu moja sisi!

Ahsante Mkuu!
 
FMES. Don't flatter yourself. Mimi nilitaka kumjua tu. Haukuniumiza na wala hata kama uliyekusudia alikuwa ni mimi hautaniumiza. Mimi sipendi hypocrisy ndiyo maana nikakuuliza kama vile ulivyowahi kuniuliza. Mimi nilimtaja niliyemmaanisha lakini si lazima na wewe ufanye hivi. Ni uamuzi wako.

Sasa Mkuu nitakupingaje kama unasema hata NYPD wanaweza kumkamata mtu NJE ya mipaka ya marekani wakati wewe uliwahi kuwa na uhusiano wa karibu na Prison system ya marekani! Nitakubishiaje Mkuu wakati unasema kuwa CIA ni wapelelezi tu. Hao wanaofanya rendition na kushutumiwa kuhusika katika kuwa interrogate wanaohisiwa kuwa wahalifu pengine ni NYPD au FBI au LAPD! Naona Icadon ameteleza alipokubaliana nami kuwa CIA ndiyo wanaofanya rendition.

Asante mkuu kwa kunielimisha kuwa swala zima la vita dhidi ya ugaidi halina udini ndani yake bali ni njaa kali tu ya watu. Naona wakina Liebermann na McCain wanapotoka wanaposema adui mkubwa wa usalama duniani ni Uislamu wa itikadi kali! Naona inabidi uwape somo, Mkuu.

Hivi wapi nimesema kuwa ukiwa muislamu marekani unakamatwa? Pamoja na hilo, unataka kuniambia kuwa hakuna watu waliokamatwa kwa vile tu ni waislamu? Najua kuna raia wa ujerumani, kuna raia wa Canada ambao walikamatwa na wameishitaki serikali ya marekani. Hata Australia walimkamata mhindi muislamu mmoja. Lakini kwa nini tustuke maana hauwezi kutengeza omelette bila kuvunja mayai!

Si wote walikaa kimya pale Mwana wa Mungu alipotoa maneno ya uchochezi. Mimi niliingia baadae. Wakina Songambele,tonge nyama, Yebo yebo, gaijin, naimaomari, darwin wote walitangulia kumlaani. Au hawa wote hawana maana kwa vile FMes alikaa kimya? Au dosari iliingia pale Fundi Mchundo alipowaunga mkono?

Ni mabaharia wangapi walikamatwa na marekani au nchi nyingine ya magharibi na kushikiliwa bila kufikishwa kwenye sheria?

Asante kwa taaarifa yako kuwa watu wenye mapesa wanaishi Hollywood na ndugu yake Osama ataenda kujiunga nao hivi karibuni. Kama nimekuelewa vizuri matatizo yote ya Osama yanatokana na fedha na si hisia za dini. Wanachokitaka wakina Al Qaeda ni kuwa kama Bill Gates na si kuendesha mapambano dhidi ya wale wanaowatuhumu kuudhalilisha na kuuchukia uislamu! Shukran kwa shule, Mkuu. Sikujua yote hayo.

Hivi, Mkuu, unataka kutuambia kuwa Guatanamo ni sawa kwa sababu mbona hata kwetu kuna watu wanasota Keko? Hivi kweli haujui tofauti ya Keko na Guatanamo? Kama yanayofanyika huko Guatanamo ni clear cut kwa nini hawakuwafungia hawa jamaa kwenye jela zilizojaa kibao huko Marekani? Unadhani walishindwa kuifungua tena Alcatraz au kuwalundika pamoja na wakina Noriega?

Haya! Hivi nitajishusha hadhi mara ngapi kwa hao watu muhimu sana kwenye hii forum? Maana si mara ya kwanza kuniambia hivi. Au ni hiyo inferiority complex yangu ndiyo inayonifanya nisione pale ninaposamehewa na kuvumiliwa kwa kukosa elimu na ustaarabu? Lakini nitaachaje kuwa na inferiority complex mimi Fundi Mchundo ( sio mhandisi)mbele ya mabaharia wasomi kama ulivyo wewe? Si unaona hata hapo ninapojaribu kukupinga kwa hoja unavyonibomoa kwa logic na data zako! Shukran kwa shule uliyonipa leo na ninaamini kabisa kuwa wana Jamii forum wameelewa kwa nini wewe ni mmoja wa watu wanaoheshimiwa sana humu ndani.

Samahani sana enyi watu wote wa muhimu ambao mlikuwa mnaniheshimu lakini nime wadisappoint. Kwa vile siwezi kubadilika katika umri huu basi naona bora mngenitoa katika hiyo orodha ya watu wanaoheshimiwa sana anayoizungumzia FMes maana nitaendelea kuwadisappoint.

Amandla!
 
FEMS, samahani mkuu but i beg to differ.

moriss amekamatwa kwa sababu ni MUISLAM mtanzania. na angelikuwa SI Muislam Mtanzania na akawa Solamia basi asingelikamatwa.
hilo halina ubishi.
kwa sababu misingi ya kukamatwa watu wengi waislam huko canada, australia, uk na kwengine ni kuwa ni WAISLAM wenye msimamo mkali kwa hiyo wanafanya ugaidi kwa msaada wa Osama bin Laden.

sasa kusema alikamatwa kwa kuwa tu alikuwa at the wrong place at the wrong time sio kweli.

tunakubali kuwa alikuwa at the wrong place at the wrong time, ila na UISLAM wake ulipelekea kukamatwa kwake yeye.

nafikiri tusikwepe kiini cha kukamatwa kwake kwa sababu tu labda tunaogopa kuja kuonekana wadini au labda tatizo hilo halipo tanzania.
 
Samahani sana enyi watu wote wa muhimu ambao mlikuwa mnaniheshimu lakini nime wadisappoint. Kwa vile siwezi kubadilika katika umri huu basi naona bora mngenitoa katika hiyo orodha ya watu wanaoheshimiwa sana anayoizungumzia FMes maana nitaendelea kuwadisappoint.

Salaam zao na nimekusikia sana mkuu, tukutane tena kwenye debate nyingine!
 
1.
Quote:- gaijin

Re: Mzanzibari aliyekamatwa na FBI kwa ugaidi arejeshwa

FEMS, samahani mkuu but i beg to differ.

1. moriss amekamatwa kwa sababu ni MUISLAM mtanzania. na angelikuwa SI Muislam Mtanzania na akawa Solamia basi asingelikamatwa.
hilo halina ubishi.

2. sasa kusema alikamatwa kwa kuwa tu alikuwa at the wrong place at the wrong time sio kweli.

3. tunakubali kuwa alikuwa at the wrong place at the wrong time, ila na UISLAM wake ulipelekea kukamatwa kwake yeye.

4. nafikiri tusikwepe kiini cha kukamatwa kwake kwa sababu tu labda tunaogopa kuja kuonekana wadini au labda tatizo hilo halipo tanzania.


2.
Quote: Chuma

Akizungumza na Mwananchi nyumbani kwao maeneo ya Mombasa, Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar, huku akionekana mchovu, alisema alikamatwa na makachero wa FBI nchini Somali mwaka 2003 akiwa katika shughuli zake za kibiashara na kuingizwa katika gari bila ya kufahamu anapopelekwa.

Mkuu Gaijin,

Heshima mbele na karibu sana maana mimi na wewe hatujawahi kulumbana kwenye hili jina, karibu tena,

Naomba usome facts hapo juu kuanzia za kwako na za aliyeleta mada, nafikiri majibu yako very clear kuhusu hoja yangu kuwa huyu kijana alikamatwa akiwa kwenye the wrong place at the wrong time!

Na pia waliomkamata ni FBI sio CIA.

Ahsante Mkuu!
 
Ushauri, kwa wapenzi wa sinema tafuteni

Rendition na The Traitor zinatoa muangaza wa jinsi haya mambo yanavyofanya kazi na kuna kitabu kinaitwa Ghost Plane: The True Story of the CIA Torture Program
 
FEMS, siko kwenye nia ya kulumbana na mtu hapa.......ila nafikiri kila mmoja wetu anauhuru wa kujieleza kwa lugha nzuri kwa kadri anavyoona yeye sawa, japo kuwa pengine ni kupingana na maoni ya baadhi ya watu.

nimekubali alikamatwa kwa kuwa alikuwa at the wrong place at the wrong time, ila naendelea kutetea hoja yangu kuwa kama asingekuwa muislam basi isingekuwa wrong place wala wrog time kwa hili la ugaidi.

hapa nazungumzia kukamatwa kwa makosa ya kigaidi, maana hakukamatwa kwa kosa la kufanya biashara somalia.
ila nafikiri kukamatwa kwa shutuma zengine ambazo hazihusiani na ugaidi unaohusishwa na Al Qaeda, basi labda kutakuwa na vigezo vyengine vya kumkamatia mtu na sio dini yake.

kuhusiana na kuwa kakamatwa na FBI au CIA, nafikiri huko mie sikutoa comment yoyote na wala sijui, na kwa upande wangu naona ni irrelevent. ......muhimu ni alikamatwa na kuteswa kwa miaka mingi kwa chombo cha usalama cha Marekani, ikiwa FBI au CIA au chegine chochote nafikiri haijalishi.

samahani kwa kukukwaza .......ila sina nia ya malumbano
 
1.

Kwa bahati mbaya mkuu, mimi sina mbaya humu forum, ila nina hoja tu na huwa siogopi wala kuangalia sura, siku zote ninaheshimu sana sheria za forum maana nilikuwepo kabla hujaja hapa kwa hiyo ninajua vizuri sana namna ya kutoa hoja zangu huku nikiheshimu sheria, lakini lazima ujumbe ufike ndio maana wewe unajaribu kila njia kunizunguka na hoja lakini kwangu mimi maana yake ni moja tu kuwa ujumbe umefika, maana kati ya members karibu 8,000 wa hii forum ni wewe tu uliyeumizwa na hoja yangu ya bila kutaja jina la mtu, sasa kama ujumbe haukufika ni nini hasa?

2.

Nafikri nilishasema kuwa nilipokuwa huko, moja ya kazi zangu za kila siku ni pamoja na ku-service Prisons system, pale Metro-Fed System nilikuwa mwenyeji siku zote, halafu haikuwa mimi tu kulikuwa na mbongo mwingine kama mimi aliyeombwa kwenda kutafsiri lugha kwa yule mbongo na wa-Marekani, sasa una maana FBI hawana watu wanaoujua kiswahili au na wewe kuna kitu unataka kusema?

3.

Mkuu mpaka NYPD siku hizi wana wawakilishi wao nje ya US, na wakikushitukia unataka kufanya uhalifu wanakushika mara moja, CIA sio peke yao wenye hiyo role tena na besides CIA ni wapelelezi tu, lakini FBI ni wapelelzi na ni wao wenyewe ndio wamaokufikisha kwenye Court zao na kuku-prosecute kwa sheria za Federal za USA, au unaweza kuwa prosecuted in absentia, toka baada ya September 11, FBI wanafanya kazi zao za nje wenyewe mkuu, infact siku hizi wana wawakilishi wao independently kwenye kila balozi za nje, yaani hata haya madogo hivi mkuu ulikuwa hujui?

4.

Ushahidi ni kwamba nimemuona na kuongea naye sana na ahata kumpatia baadhi ya mahitaji yake ambayo wa-Marekani walishindwa kumpatia, lakini kisheria alitakiwa kupatiwa, infact wakati wa kesi yake Mahita (IGP), na aliyekuwa DPP ambaye sasa ni balozi wetu zimbabwe, na Mwanasheria mmoja kutoka ofisi ya AG, walikuwepo pia pale Federal Court Manhattan, mpaka yule kijana alipofungwa maisha masikini ya mungu, sasa mkuu bado unauliza ushahidi tena unafikiri nimekurukupa? Mbona nimekuambia mara nyingi sana kuwa huwa sikurupuki hata siku moja!

Ninakuita mdini na mpandaji mbegu za chuki za udini kwa sababu, hii case ya Morris, imewatokea mabaharia wengi sana, ni makosa tu ya kuwa at the wrong place at wrong time, lakini it has nothing to do na dini ya Morris, wala ya mtu yoyote yulke awe Mtanzania au mu-amerika, sasa nashangaa sana wewe na mwenzako kama kawaida yenu mnavyojaribu sana kuigeuza hii ishu kuwa na dini ndani yake, uwekili ni kwamba hakuna duini wowote, na kama kuna wa-Tanzania wanatumika na Osama, kwa jili ya mabomu tatizo ni umasikini wetu na sio dini, na hapa forum tunapswa kujua better than that!


5.

Point yangu ni kwamba, wewe na mwenzako so far mmeshindwa kuiunganisha hii mada na kuuwana kwa Wakristo na Wa-Isilam, either katika historia au kwa taifa la USA sasa hivi kwa sababu sio kweli kuwa USA siku hizi ukiwa Mu-Isilamu tu basi unakamatwa, na pia sio kweli kwamba ukiwa Mu-Isilam m-Tanznia huko USA basi unakamatwa, na sio kweli kwamba Morris amekamatwa kwa sababu ni Mu-Isilam M-Tanzania, ukweli ni kwamba Morris alikuwa at the wrong palce at the wrong time,

Wa-Tanzania walioshiriki kwenye kulipua mabomu ubalozi wa US DAR, walifanya vile kwa sababu tu ya pesa sio udini kama mnavyotaka tuamini, Osama yupo mapangoni kwa sababu hana utaifa, Saudia nchi yake walisha-u-revoke utaifa wake, US wanamtafuta kwa udi na uvumba sasa ataishi wapi zaidi tu ya huko mapangoni kama watu wa zamani? Ndio maana yuko huko peke yake tu lakini sio na familia yake nzima, hata mtoto wake moja sasa hivi anaishi kwenye Tump Tower, na anajitayarisha kwenda Hollywood, maana anaelewa kuwa watu wenye mapesa kama famila yake ndiko wanako-belong, sio mapangoni kukimbizana na nyoka!


6.

Sawa sawa, lakini haya ya Guantanamo Bay Tanzania hayatuhusu baba waache Wa-Marekani ni yao hayo, mbona Keko rumande kuna wahalifu wabongo wanaishi mpaka miaka kumi bila kesi zao kutajwa, angalau huko Guantanamo ni miaka miwili tu mpaka mitano, halafu mbona huko huko Keko kwenye mahabusu husota miaka kumi kwa kesi za mauaji, kina Ditopile hawakukaa hata mwezi mmoja yaani ni afadhali hata huko Guantanamo, sasa what this za kina Ditopile, has to do na udini? Na hawa mahabusu wengine wanaosota karibu miaka kumi nao vipi ni udini kama Guantanamo,au?

7.

Haya ni simply matatizo ya inferiority complex, hapa JF hatuna msaaada nayo! Maana sisi huja hapa kukata ishus huwa hatujali upande wa pili kuna nani sasa hao wanaotoka mapovu, kwa ajili ya wewe uliyejiunga majuzi tu wakati sisi tupo hapa toka ezni za enzi, sijui ni kina nani hao?

8.

Nilitegemea kwamba kwa mtu kama wewe unayejaribu siku zote kuonekana kuwa una elimu na ustaarabu, utatumia nafasi hii ya maneno njiwa ya huyu mkuu kumuelimisha, lakini badala yake na wewe ukaamua kutumia ignorance yake kutema ignorance yako that was uncalled for mkuu ni lazima ukubali kwamba kwenye response yako kwa huyu jamaa umejishusha hadhi sana tofauti sana na ulivyokuwa unachukuliwa na watu muhimu sana humu ndani,

Ndio maana kabla wewe hujamrukia palikuwa kimyaa, kwa sababu watu walikuwa wameamua kumdharau, lakini ulipojitupa wewe ikawa a big shock na hasa maneno uliyoyatumia kumjibu, kwa kweli mamneno uliyoyatumia yamenisikitisha sana, tena sana Mwalimu amejitahidi sana kutuweka pamoja wananchi wadini mbali mbali, pamoja na matatizo yetu ya kisasa na uchumi wa-Tanzania huwa tunapendana mkuu ndio tabia aliyotufundisha baba yetu wa taifa Mwalimu Nyerere, sasa tuendeleze mshikamano hayo matatizo ya udini huko US na waarabu sisi hayatuhusu, tuwaachie wenyewe!

Tanzania ni ndugu moja sisi!

Ahsante Mkuu!

Duuh! Mambo ya kumwaga "dataz" na ku name-drop kuonyesha nani mtemi zaidi utadhani ni school-yard contest between some grade-school kids! :D
 
Mi nasema tu POLE Morris. Tafuta haki kama ipo. Kama haipo basi anza maisha mapya.
 
Kwa tabia za wamarekani watamkamata tena kwasababu anatoa siri zao.
 
1.

Kwa bahati mbaya mkuu, mimi sina mbaya humu forum, ila nina hoja tu na huwa siogopi wala kuangalia sura, siku zote ninaheshimu sana sheria za forum maana nilikuwepo kabla hujaja hapa kwa hiyo ninajua vizuri sana namna ya kutoa hoja zangu huku nikiheshimu sheria, lakini lazima ujumbe ufike ndio maana wewe unajaribu kila njia kunizunguka na hoja lakini kwangu mimi maana yake ni moja tu kuwa ujumbe umefika, maana kati ya members karibu 8,000 wa hii forum ni wewe tu uliyeumizwa na hoja yangu ya bila kutaja jina la mtu, sasa kama ujumbe haukufika ni nini hasa?

2.

Nafikri nilishasema kuwa nilipokuwa huko, moja ya kazi zangu za kila siku ni pamoja na ku-service Prisons system, pale Metro-Fed System nilikuwa mwenyeji siku zote, halafu haikuwa mimi tu kulikuwa na mbongo mwingine kama mimi aliyeombwa kwenda kutafsiri lugha kwa yule mbongo na wa-Marekani, sasa una maana FBI hawana watu wanaoujua kiswahili au na wewe kuna kitu unataka kusema?

3.

Mkuu mpaka NYPD siku hizi wana wawakilishi wao nje ya US, na wakikushitukia unataka kufanya uhalifu wanakushika mara moja, CIA sio peke yao wenye hiyo role tena na besides CIA ni wapelelezi tu, lakini FBI ni wapelelzi na ni wao wenyewe ndio wamaokufikisha kwenye Court zao na kuku-prosecute kwa sheria za Federal za USA, au unaweza kuwa prosecuted in absentia, toka baada ya September 11, FBI wanafanya kazi zao za nje wenyewe mkuu, infact siku hizi wana wawakilishi wao independently kwenye kila balozi za nje, yaani hata haya madogo hivi mkuu ulikuwa hujui?

4.

Ushahidi ni kwamba nimemuona na kuongea naye sana na ahata kumpatia baadhi ya mahitaji yake ambayo wa-Marekani walishindwa kumpatia, lakini kisheria alitakiwa kupatiwa, infact wakati wa kesi yake Mahita (IGP), na aliyekuwa DPP ambaye sasa ni balozi wetu zimbabwe, na Mwanasheria mmoja kutoka ofisi ya AG, walikuwepo pia pale Federal Court Manhattan, mpaka yule kijana alipofungwa maisha masikini ya mungu, sasa mkuu bado unauliza ushahidi tena unafikiri nimekurukupa? Mbona nimekuambia mara nyingi sana kuwa huwa sikurupuki hata siku moja!

Ninakuita mdini na mpandaji mbegu za chuki za udini kwa sababu, hii case ya Morris, imewatokea mabaharia wengi sana, ni makosa tu ya kuwa at the wrong place at wrong time, lakini it has nothing to do na dini ya Morris, wala ya mtu yoyote yulke awe Mtanzania au mu-amerika, sasa nashangaa sana wewe na mwenzako kama kawaida yenu mnavyojaribu sana kuigeuza hii ishu kuwa na dini ndani yake, uwekili ni kwamba hakuna duini wowote, na kama kuna wa-Tanzania wanatumika na Osama, kwa jili ya mabomu tatizo ni umasikini wetu na sio dini, na hapa forum tunapswa kujua better than that!


5.

Point yangu ni kwamba, wewe na mwenzako so far mmeshindwa kuiunganisha hii mada na kuuwana kwa Wakristo na Wa-Isilam, either katika historia au kwa taifa la USA sasa hivi kwa sababu sio kweli kuwa USA siku hizi ukiwa Mu-Isilamu tu basi unakamatwa, na pia sio kweli kwamba ukiwa Mu-Isilam m-Tanznia huko USA basi unakamatwa, na sio kweli kwamba Morris amekamatwa kwa sababu ni Mu-Isilam M-Tanzania, ukweli ni kwamba Morris alikuwa at the wrong palce at the wrong time,

Wa-Tanzania walioshiriki kwenye kulipua mabomu ubalozi wa US DAR, walifanya vile kwa sababu tu ya pesa sio udini kama mnavyotaka tuamini, Osama yupo mapangoni kwa sababu hana utaifa, Saudia nchi yake walisha-u-revoke utaifa wake, US wanamtafuta kwa udi na uvumba sasa ataishi wapi zaidi tu ya huko mapangoni kama watu wa zamani? Ndio maana yuko huko peke yake tu lakini sio na familia yake nzima, hata mtoto wake moja sasa hivi anaishi kwenye Tump Tower, na anajitayarisha kwenda Hollywood, maana anaelewa kuwa watu wenye mapesa kama famila yake ndiko wanako-belong, sio mapangoni kukimbizana na nyoka!


6.

Sawa sawa, lakini haya ya Guantanamo Bay Tanzania hayatuhusu baba waache Wa-Marekani ni yao hayo, mbona Keko rumande kuna wahalifu wabongo wanaishi mpaka miaka kumi bila kesi zao kutajwa, angalau huko Guantanamo ni miaka miwili tu mpaka mitano, halafu mbona huko huko Keko kwenye mahabusu husota miaka kumi kwa kesi za mauaji, kina Ditopile hawakukaa hata mwezi mmoja yaani ni afadhali hata huko Guantanamo, sasa what this za kina Ditopile, has to do na udini? Na hawa mahabusu wengine wanaosota karibu miaka kumi nao vipi ni udini kama Guantanamo,au?

7.

Haya ni simply matatizo ya inferiority complex, hapa JF hatuna msaaada nayo! Maana sisi huja hapa kukata ishus huwa hatujali upande wa pili kuna nani sasa hao wanaotoka mapovu, kwa ajili ya wewe uliyejiunga majuzi tu wakati sisi tupo hapa toka ezni za enzi, sijui ni kina nani hao?

8.

Nilitegemea kwamba kwa mtu kama wewe unayejaribu siku zote kuonekana kuwa una elimu na ustaarabu, utatumia nafasi hii ya maneno njiwa ya huyu mkuu kumuelimisha, lakini badala yake na wewe ukaamua kutumia ignorance yake kutema ignorance yako that was uncalled for mkuu ni lazima ukubali kwamba kwenye response yako kwa huyu jamaa umejishusha hadhi sana tofauti sana na ulivyokuwa unachukuliwa na watu muhimu sana humu ndani,

Ndio maana kabla wewe hujamrukia palikuwa kimyaa, kwa sababu watu walikuwa wameamua kumdharau, lakini ulipojitupa wewe ikawa a big shock na hasa maneno uliyoyatumia kumjibu, kwa kweli mamneno uliyoyatumia yamenisikitisha sana, tena sana Mwalimu amejitahidi sana kutuweka pamoja wananchi wadini mbali mbali, pamoja na matatizo yetu ya kisasa na uchumi wa-Tanzania huwa tunapendana mkuu ndio tabia aliyotufundisha baba yetu wa taifa Mwalimu Nyerere, sasa tuendeleze mshikamano hayo matatizo ya udini huko US na waarabu sisi hayatuhusu, tuwaachie wenyewe!

Tanzania ni ndugu moja sisi!

Ahsante Mkuu!
Mkuu kwa datas nakuaminia sana. Na unaeleweka mno.:D
 
Back
Top Bottom