Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,939
- 6,849
Unajua Mods na Invisible,
Mfike mahali muwe serious, maana huyu mtu mmoja mwisho ataishia kuiua hii forum, tunajaribu kumheshimu lakini naona anafikiri na sisi wote humu forum ni kama kamati za UV-CCM na Nchimbi,
Wewe mkuu unayeleta maneno ya udini, unajifanya kutukana wa-Islam wakati wewe mwenyewe ni Mu-Islam, tena una maneno mengi sana machafu against wa-Kristo kule kwenye section ya dini, nakuomba uelewe kuwa unafahamika sana, inaonekana nia yako ni kuhakikisha either umekuwa kinara wa hii forum, au unaivuruga, na tayari umepata wafuasi flani ambao hawakuelewi vizuri, I know you now stop this nonesense!
FMES. Kukata mzizi wa fitina naona umtaje tu huyu jamaa. Ninavyokumbuka mimi, mantra ya humu ni; haogopwi mtu humu!