Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
Mwana wa Mungu fungua mawazo yako na jaribu kuvaa viatu vya jamaa labda unaweza pata elimu mpya. Mateso ni mateso na yameshatokea na jamaa ameumizwa wakati akiwa hana hatia, haijalishi ana dini gani na dini ya mtu isiwekigezo cha kumdhulumu au kumtesa mtu.
Wamerakani wamekosa wanatakiwa kuwajibika kwa makosa na ukatili wanao wafanyia binadamu, wanaendele kuua na kutesa watu wasio na hatia. Ni wakati muafaka sasa kwa dunia kuamka na kuwachukulia hatua. Bush anatakiwa afikishwe The Hegue haraka iwezekanavyo, na mahakama hii isiwe kwa waafrika na wanyonge tu!
Wamerakani wamekosa wanatakiwa kuwajibika kwa makosa na ukatili wanao wafanyia binadamu, wanaendele kuua na kutesa watu wasio na hatia. Ni wakati muafaka sasa kwa dunia kuamka na kuwachukulia hatua. Bush anatakiwa afikishwe The Hegue haraka iwezekanavyo, na mahakama hii isiwe kwa waafrika na wanyonge tu!