mwegamahagu
Member
- Dec 10, 2014
- 5
- 0
Unapoteza muda wako bure kujadiliana na hawa HIZBU, sio wastaarabu kabisa. Huwezi amini mtu aliyeporomosha matusi kama hayo huwa anaingia kwenye nyumba ya ibada na huwa anaweka mwili wake safi kabla ya kuingia lakini kumbe ni najisi mkubwa
Yote haya yameletelezwa na CCM kutulazimisha muungano kwa maslahi binafsi ya watu wachache. Matatizo ya kiusalama yaliyopelekea muungano yameisha sasa muungano wa nini tena??
Haya mnayoyaandika humu naona mnapoteza muda wenu. Si wa Zanzibari wala WaTanganyika sote tumo kwenye mkumbo huo huo. Kama ni najisi wote ni najisi na Kama CCm ndo imewalazimisha basi Wazanzibari wamekazimishwa na unawaatihiri zaidi. Tuzeni akili zenu wacheni upambavu wenu. Andikeni mambo ya maana yatakayowasaidia Watanzania kuondokana na jinamizi linalotiusumbua lisijegeuka Popo Bawa Tukaangamia sote.