CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Wakuu poleni kwa majukumu ya kupambana na maisha.
Baada ya utangulizi pls naombeni ushauri juu ya linalonisibu.
Last year june nilikutana na binti1 mrembo sana machoni mwangu,nilipomfatilia kitabia sikumuona kama anakasoro,jan mwaka huu nilibahatika kupata namba yake ya simu na kufanya nae mawasiliano,but nilipomuomba tuonane alikataa katakata.
Nilijaribu kumwambia asiwe na khofu lakini ikawa ngumu,bcoz mtoto nilisha mpenda nilianza kumfanyia surprise,hii ilinisaidia kiasi kumfahamu kitabia,mpaka sasa nimeweza kufahamiana na mamake mzazi na dadake,hii imerahisisha sana kazi maana binti amekubali tuonane mwezi wa8 but kwa masharti.
1.Ni muahidi kama ntamuoa
2.Aje na dadake kwenye kikao chetu.
Kwangu mimi hapo ni hiyo point1(kumuoa)
Sasa tayari tumeshakubaliana baadhi ya mambo ya msingi na amenipa uhakika wa 90% kwamba mm ndiye ntakua baba wa watoto wake.
Sasa ili nisimshitukize my wife nikaamua kumwambia ki utu uzima kwamba nataka kuongeza jiko la2,cha ajabu wife alifurahi sana na kuniambia kwamba alikua akiisubili kauli hii kwa muda mrefu na pia nijaribu kuchagua shamba zuri na lenye rutuba ili nipate mazao mazuri,na cha ajabu zaidi anasema angependa anisaidie juu ya mchakato mzima wa kumpata second wife.Naanza kumuonea huruma my wife bcoz tangu nimpe taarifa hizi amechange sana,anaongea nami kwa upole zaidi na kwa heshima.
Wadau naombeni msaada juu ya kumtendea uhadilifu mke wangu kipenzi maana jiko jipya linaweza nichanganya?
Binafsi nimepanga ntakaa kwa bi mdogo for 3months tangu siku niliyomuoa then ndio ntaweka ratiba wazi,kama ni wiki wiki or???
Baada ya utangulizi pls naombeni ushauri juu ya linalonisibu.
Last year june nilikutana na binti1 mrembo sana machoni mwangu,nilipomfatilia kitabia sikumuona kama anakasoro,jan mwaka huu nilibahatika kupata namba yake ya simu na kufanya nae mawasiliano,but nilipomuomba tuonane alikataa katakata.
Nilijaribu kumwambia asiwe na khofu lakini ikawa ngumu,bcoz mtoto nilisha mpenda nilianza kumfanyia surprise,hii ilinisaidia kiasi kumfahamu kitabia,mpaka sasa nimeweza kufahamiana na mamake mzazi na dadake,hii imerahisisha sana kazi maana binti amekubali tuonane mwezi wa8 but kwa masharti.
1.Ni muahidi kama ntamuoa
2.Aje na dadake kwenye kikao chetu.
Kwangu mimi hapo ni hiyo point1(kumuoa)
Sasa tayari tumeshakubaliana baadhi ya mambo ya msingi na amenipa uhakika wa 90% kwamba mm ndiye ntakua baba wa watoto wake.
Sasa ili nisimshitukize my wife nikaamua kumwambia ki utu uzima kwamba nataka kuongeza jiko la2,cha ajabu wife alifurahi sana na kuniambia kwamba alikua akiisubili kauli hii kwa muda mrefu na pia nijaribu kuchagua shamba zuri na lenye rutuba ili nipate mazao mazuri,na cha ajabu zaidi anasema angependa anisaidie juu ya mchakato mzima wa kumpata second wife.Naanza kumuonea huruma my wife bcoz tangu nimpe taarifa hizi amechange sana,anaongea nami kwa upole zaidi na kwa heshima.
Wadau naombeni msaada juu ya kumtendea uhadilifu mke wangu kipenzi maana jiko jipya linaweza nichanganya?
Binafsi nimepanga ntakaa kwa bi mdogo for 3months tangu siku niliyomuoa then ndio ntaweka ratiba wazi,kama ni wiki wiki or???