My wife ameniruhusu kuongeza mke wa2,ushauri pls!

Sasa RR mi ninao 10 nafukuzana na Mswati kwa hiyo ushauri wangu utakuwa haufai
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: RR
Ni mtazamo wako tuu.
Sasa kama una uwezo wa kufanya hivyo na tayari umempata wa kumuoa why not?kwanini basi uamue kujiibia mwenyewe wakati unao uwezo wa kummiliki ndani na ukampata kwa muda una muitaji?

Nilikuwa sijui kama kuna watu wana mtazamo kama wako ktk dunia ya sasa!
 
Tuacheni ligi wakuu.
mpaka kufikia maamuzi hayo tayari nilishajipanga kuyakabili.So nashukuruni nyote kwa mawazo na ushauri.But pia nawashauri acheni zina!
 
nilidhani kuoa mke wa pili ni hadi mke wa kwanza awe na tatizo? au ukitamani mwanamke unamuoa? kwa hiyo ukimwona mwengine nae utamuoa?

ila hakuna kazi ngumu kama kumridhisha mwanamke, sijui kama wanaume mnalijua hilo.....
badala ya kutulia na mke unaweza jikuta unaanzisha chain ya mahusiano, wako, wa mkeo n.k n.k

ila kama mkeo karidhia go ahead........




Wakuu poleni kwa majukumu ya kupambana na maisha.
Baada ya utangulizi pls naombeni ushauri juu ya linalonisibu.
Last year june nilikutana na binti1 mrembo sana machoni mwangu,nilipomfatilia kitabia sikumuona kama anakasoro,jan mwaka huu nilibahatika kupata namba yake ya simu na kufanya nae mawasiliano,but nilipomuomba tuonane alikataa katakata.
Nilijaribu kumwambia asiwe na khofu lakini ikawa ngumu,bcoz mtoto nilisha mpenda nilianza kumfanyia surprise,hii ilinisaidia kiasi kumfahamu kitabia,mpaka sasa nimeweza kufahamiana na mamake mzazi na dadake,hii imerahisisha sana kazi maana binti amekubali tuonane mwezi wa8 but kwa masharti.
1.Ni muahidi kama ntamuoa
2.Aje na dadake kwenye kikao chetu.
Kwangu mimi hapo ni hiyo point1(kumuoa)
Sasa tayari tumeshakubaliana baadhi ya mambo ya msingi na amenipa uhakika wa 90% kwamba mm ndiye ntakua baba wa watoto wake.
Sasa ili nisimshitukize my wife nikaamua kumwambia ki utu uzima kwamba nataka kuongeza jiko la2,cha ajabu wife alifurahi sana na kuniambia kwamba alikua akiisubili kauli hii kwa muda mrefu na pia nijaribu kuchagua shamba zuri na lenye rutuba ili nipate mazao mazuri,na cha ajabu zaidi anasema angependa anisaidie juu ya mchakato mzima wa kumpata second wife.Naanza kumuonea huruma my wife bcoz tangu nimpe taarifa hizi amechange sana,anaongea nami kwa upole zaidi na kwa heshima.
Wadau naombeni msaada juu ya kumtendea uhadilifu mke wangu kipenzi maana jiko jipya linaweza nichanganya?
Binafsi nimepanga ntakaa kwa bi mdogo for 3months tangu siku niliyomuoa then ndio ntaweka ratiba wazi,kama ni wiki wiki or???


 
kweli tunatofautiana wengine tunalalamika ugumu wa maisha,wengine wanaongeza matumizi kwa kuoa wake wawili.Kazi kwako baba ili mradi usije ukasababisha wake kuishi kwa shida
 
Ahsante sana mkuu,yani ktk jf members waliouchangia uzi huu mpaka sasa wewe ndiye mwenye akili zaidi,yes binafsi napenda kudeka so nikiwa na wawili ntaenjoy sana,thanks a lot mkuu kwa ushauri.
When it is the right time ntakutafuta uje ushuhudie jinsi nntakovyoongeza jiko la2.
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu.QUOTE)

AMA KWELI KICHAA MUONYESHE JALALA ATAFURAHI KWELI KWELI HAHAHA
nivea na nguo atasaula abaki uchi kabisaaaaaa!
 
Last edited by a moderator:
Ebu weka hiyo picha pls,pengine naweza piga 2 kwa mpigo ili niwe nao wa3 lol.
nimewakabidhi kwa MUUMBA JUU watapata mume bora mwenye kupenda mke mmoja na kumheshimu huyo tu! MUNGU wa mbinguni awaepushe watoto wangu, NA watoto woteeee wa JEI EFU na MABAZAZI KAMA WEWE! AMEN!
 
huyo unayetaka kuoa sasa umeshamwambia kuwa unae mke wa kwanza mnaishi wote?

amekubali kuwa mke mdogo?
 
ni vzuri pia kaka yangu wa moyoni.

Unajua nilikuwa siamini kama kuna wanawake wanaojielewa kiasi chako.Daah umenitamanisha sana na coment yako hapo juu aisee huwa nafuatiliaga coments zako zinanifanya nikuvutie picha upoje aisee we hufai kuolewa na wanaume wa kiafrika coz wanaume wa kiafrika wanaendesha familia zao kimbogo na ubabe alafu wewe una facts mengi ambayo yangekufanya mmeo akuone kiburi na mjuaji daaaaa....nimeandika huku hisia zangu kwako zipo juu ile mbaya ngoja niweke nukta ila UNATISHA DADA YANGU.
 
Tuacheni ligi wakuu.
mpaka kufikia maamuzi hayo tayari nilishajipanga kuyakabili.So nashukuruni nyote kwa mawazo na ushauri.But pia nawashauri acheni zina!

Spika angalia usije ukazeeka kwa speed si unajua siku hiz kila kitu kimepanda bei.
 
Unajua nilikuwa siamini kama kuna wanawake wanaojielewa kiasi chako.Daah umenitamanisha sana na coment yako hapo juu aisee huwa nafuatiliaga coments zako zinanifanya nikuvutie picha upoje aisee we hufai kuolewa na wanaume wa kiafrika coz wanaume wa kiafrika wanaendesha familia zao kimbogo na ubabe alafu wewe una facts mengi ambayo yangekufanya mmeo akuone kiburi na mjuaji daaaaa....nimeandika huku hisia zangu kwako zipo juu ile mbaya ngoja niweke nukta ila UNATISHA DADA YANGU.
Billie asante but i dont think that i deserve what you have said towards me. Pia hata hapa Tz kuna wanaume wanajua na kuheshimu utu wa mtu. Hivi nilivyo naweza sema ni % kubwa inapewa sapoti na mume wangu. so nafikir Mungu alinipa mume rafiki na namshukuru kwa hiilo.

pia mimi ni mtu wa kawaida sana tena nafikir atakaye bahatika kuonana na mimi atashangaa sana siko kama ambavyo wengi wanweza kuwaza kuwa niko hivyo. maisha yangu ni ya mboga na nyanya gengeni kama majority tu.
 
Last edited by a moderator:
Billie asante but i dont think that i deserve what you have said towards me. Pia hata hapa Tz kuna wanaume wanajua na kuheshimu utu wa mtu. Hivi nilivyo naweza sema ni % kubwa inapewa sapoti na mume wangu. so nafikir Mungu alinipa mume rafiki na namshukuru kwa hiilo.

pia mimi ni mtu wa kawaida sana tena nafikir atakaye bahatika kuonana na mimi atashangaa sana siko kama ambavyo wengi wanweza kuwaza kuwa niko hivyo. maisha yangu ni ya mboga na nyanya gengeni kama majority tu.

Daa basi ubarikiwe zaidi sina la kuongeza upo unique sana kwenye hoja na coments zako.
 
Last edited by a moderator:
unalo, na yeye ana kidumu chake, alikuwa anasubiri tu upate sehemu nyingine umpunguzie kero za kumbana kila dakika,

unadhani wawake tu ndo wameumbwa kumpenda mtu mmoja? hata sie huwa huwa tunawapenda na wengie tofauti na nyie wenzi wetu
 
Ahsante sana mkuu,yani ktk jf members waliouchangia uzi huu mpaka sasa wewe ndiye mwenye akili zaidi,yes binafsi napenda kudeka so nikiwa na wawili ntaenjoy sana,thanks a lot mkuu kwa ushauri.
When it is the right time ntakutafuta uje ushuhudie jinsi nntakovyoongeza jiko la2.
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu.

Aisee....kazi unayo
 
Ahsante sana mkuu,yani ktk jf members waliouchangia uzi huu mpaka sasa wewe ndiye mwenye akili zaidi,yes binafsi napenda kudeka so nikiwa na wawili ntaenjoy sana,thanks a lot mkuu kwa ushauri.
When it is the right time ntakutafuta uje ushuhudie jinsi nntakovyoongeza jiko la2.
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu.
kwa hiyo ulikuwa unataka ushauri wakati tayari unalako moyoni hivyo ulikuwa unataka sapoti tu;
kwa jinsi ulivyoeleza inaonekana mkeo, ana kidume ambacho kinamfurahisha kupita wewe na anakosa muda wa kuwa nacho hivyo amekubali kiulaini utakapo kuwa unaenda kwa bi mdogo nae awe anajivinjari na kidume chake.
kuwa makini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom