Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Last edited by a moderator:
Sawa love nimekuelewa.....!
Asante kwa pendo lako la dhati kwangu na naomba umwambie huyu kijana asipoteze muda kwako!
Don't wait for the Perfect Moment,haya sasa FP huyu hapa, nimesikia kilio cha TANMO na Erickb52
kama mnavyojua, mimi ni binti halisi wa kiafrika, sitataka kabisa kuchakachua hilo. Naendeleza zile mila zetu..... kwa vile kila kilio kimeishia kwenye kapo, nawatuma kwa shangazi zangu wakiongozwa na akina snowhite, cacico, Kongosho wao watawaambia na wengine. na wajomba zangu akina Dark City, babu Asprin wao watawaambia wazazi wangu.
msisahau kwenda na cv zenu, maana siku hizi wakaka mmekuwa matapeli msije mkaniuza kuchunwa ngozi.
nategemea majibu toka kwa akina shangazi
Jamani FP bora umekuja na nimefurahi TANMO kakuelewa na hana hiyana na sisi.....karibu kwenye himaya ya b52 uone tofauti ya love!haya sasa FP huyu hapa, nimesikia kilio cha TANMO na Erickb52
kama mnavyojua, mimi ni binti halisi wa kiafrika, sitataka kabisa kuchakachua hilo. Naendeleza zile mila zetu..... kwa vile kila kilio kimeishia kwenye kapo, nawatuma kwa shangazi zangu wakiongozwa na akina snowhite, cacico, Kongosho wao watawaambia na wengine. na wajomba zangu akina Dark City, babu Asprin wao watawaambia wazazi wangu.
msisahau kwenda na cv zenu, maana siku hizi wakaka mmekuwa matapeli msije mkaniuza kuchunwa ngozi.
nategemea majibu toka kwa akina shangazi
HahahahahahaahahahahahaaaaaaaaaaaaaHizi Bhange zinakupeleka pabaya Arifu..
Kumbe ndiyo zako hizi za kufoji aisee???
haya sasa FP huyu hapa, nimesikia kilio cha TANMO
kama unavyojua, mimi ni binti halisi wa kiafrika, sitataka kabisa kuchakachua hilo. Naendeleza zile mila zetu..... kwa vile kila kilio kimeishia kwenye kapo, nawatuma kwa shangazi zangu wakiongozwa na akina snowhite, cacico, Kongosho wao watawaambia na wengine. na wajomba zangu akina Dark City, babu Asprin wao watawaambia wazazi wangu.
msisahau kwenda na cv zenu, maana siku hizi wakaka mmekuwa matapeli msije mkaniuza kuchunwa ngozi.
nategemea majibu toka kwa akina shangazi
haya sasa FP huyu hapa, nimesikia kilio cha TANMO
kama unavyojua, mimi ni binti halisi wa kiafrika, sitataka kabisa kuchakachua hilo. Naendeleza zile mila zetu..... kwa vile kila kilio kimeishia kwenye kapo, nawatuma kwa shangazi zangu wakiongozwa na akina snowhite, cacico, Kongosho wao watawaambia na wengine. na wajomba zangu akina Dark City, babu Asprin wao watawaambia wazazi wangu.
msisahau kwenda na cv zenu, maana siku hizi wakaka mmekuwa matapeli msije mkaniuza kuchunwa ngozi.
nategemea majibu toka kwa akina shangazi
Hizi Bhange zinakupeleka pabaya Arifu..
Kumbe ndiyo zako hizi za kufoji aisee???