My hubby amekua addicted na online social networking

kastue na kitochi pale kwa mama sebereeee na wewe

hahaaaaa mwaya sijui hilo jina si la mgombani hivi ni la ki-HE au SHE?

wakwetu maana ya hilo jina muulize iribini ndio mkalimani wa kule kwetu
 
ha ha ha ha ki-bruray kazi mkeku!!

Meku kwenye he mtu anaweka she, mwisho wake concept nzima ina kaa kinyume na maadili ya kitanzania tchaaaaaaaaaa!!! my hubby....i have dated her..... (puliz)

eeewaaaa!!
na baada ya hapo, akapate kitochi alichoangiziwa na bht pale kwa Mama Josafati

hahaaa anauza iliyochanganywa na molases huyo......
 
Meku kwenye he mtu anaweka she, mwisho wake concept nzima ina kaa kinyume na maadili ya kitanzania tchaaaaaaaaaa!!! my hubby....i have dated her..... (puliz)



hahaaa anauza iliyochanganywa na molases huyo......

Biggie Is Totally Confused! Please Help! Wapi Bigirita?
 
Wadau,ebu nisaidieni
Nnae huyu hubby av dated her for sometime.Alikua hana access ya internet kwa kipindi fulani lakini hivi majuzi kaanza kupata access cha kushangaza kuanzia ajiunge na mtandao mmoja wa kusocialize amekua hasikii wala haoni.
Kila kukicha yeye anaongeza new contact,either no. ya simu ama a messenger id ama ADD AS A FRIEND!!Lol
Halafu dharau za wazi zinaanza kujitokeza mara anitusi we mse...Mara asiwe na mood,safari zimekua nyingi siku hizi tena bila kuagwa.
Ukienda kwake unamkosa ukimwuliza uko wapi atasema oooh niko Sigara nakula samaki ama ooh nimemeenda kwa shangazi na hiyo ndo isambeeeee mpk usiku.
Ilifikia kipindi nikamkataza asiiendelee kuwepo kwenye hii mitandao lakini aliziba pamba akasema kamwe hawezitoka huko.Eti liwalo na liwe yeye ataendelea kuwepo.
Juzi kanidanganya live na nikagundua lakin bado anasisitiza kua hakudanganya,
Mie nimechoka nataka kufanya maamuzi,nlimwomba rafikie aongee nae akamwambia aachane na mimi kwani yeye anajua ni kitu gani anafanya na eti mimi siwezi muingilia kwenye mambo yake.
NAHISI NINAIBIWA NA WATONGOZAJI WA MTANDAONI MAANA NAJUA WAPO WENGI,nifanyeje jamani?
Mbaya ni kua message anazotumiwa siku hizi toka marafiki hawa wa mtandaoni zinaonyesha wazi kua kunakinachoendelea.
Weekend nlitoka nae outing kufika huko mara kakutana na mtu kamkimbilia,kumwuliza huyu ni nani oooh ni rafiki yangu wa online,jamani nachoka kabisaaaaaaaaaaa

Act before is too Late!
 
Biggie Is Totally Confused! Please Help! Wapi Bigirita?

wat iz confusing you here?
tatizo la kupeleka watoto intaneshino wakati nyie wenyewe darasa la nne....

biggy huyo mleta thread kibluray chake kinaleta mkanganyiko....

hubby anapenda social networks
Iteitei dated her.........sasa whose husband is this Itei tei talking about here??
 
Wadau,ebu nisaidieni
Nnae huyu hubby av dated her for sometime.Alikua hana access ya internet kwa kipindi fulani lakini hivi majuzi kaanza kupata access cha kushangaza kuanzia ajiunge na mtandao mmoja wa kusocialize amekua hasikii wala haoni.
Kila kukicha yeye anaongeza new contact,either no. ya simu ama a messenger id ama ADD AS A FRIEND!!Lol
Halafu dharau za wazi zinaanza kujitokeza mara anitusi we mse...Mara asiwe na mood,safari zimekua nyingi siku hizi tena bila kuagwa.
Ukienda kwake unamkosa ukimwuliza uko wapi atasema oooh niko Sigara nakula samaki ama ooh nimemeenda kwa shangazi na hiyo ndo isambeeeee mpk usiku.
Ilifikia kipindi nikamkataza asiiendelee kuwepo kwenye hii mitandao lakini aliziba pamba akasema kamwe hawezitoka huko.Eti liwalo na liwe yeye ataendelea kuwepo.
Juzi kanidanganya live na nikagundua lakin bado anasisitiza kua hakudanganya,
Mie nimechoka nataka kufanya maamuzi,nlimwomba rafikie aongee nae akamwambia aachane na mimi kwani yeye anajua ni kitu gani anafanya na eti mimi siwezi muingilia kwenye mambo yake.
NAHISI NINAIBIWA NA WATONGOZAJI WA MTANDAONI MAANA NAJUA WAPO WENGI,nifanyeje jamani?
Mbaya ni kua message anazotumiwa siku hizi toka marafiki hawa wa mtandaoni zinaonyesha wazi kua kunakinachoendelea.
Weekend nlitoka nae outing kufika huko mara kakutana na mtu kamkimbilia,kumwuliza huyu ni nani oooh ni rafiki yangu wa online,jamani nachoka kabisaaaaaaaaaaa
mi bado nimepata kizunguzungu na hiki kisa,usikute mwenye mada anamaanisha vitu vingiine kabisa vya kuji-express
 

Attachments

  • Tigo.JPG
    Tigo.JPG
    5.3 KB · Views: 29
Wadau,ebu nisaidieni
Nnae huyu hubby av dated her for sometime
NAHISI NINAIBIWA NA WATONGOZAJI WA MTANDAONI MAANA NAJUA WAPO WENGI,nifanyeje jamani?

Weekend nlitoka nae outing kufika huko mara kakutana na mtu kamkimbilia,kumwuliza huyu ni nani oooh ni rafiki yangu wa online,jamani nachoka kabisaaaaaaaaaaa

Nime-run confirmatory test hapa, naona inaleta jina la 70% DUME.
 
Me is very very as well!
infakti, iteitei lya kite must be a biological error, kama wataalamu wanashindwa kumtambua!
haaaaa jamani unaniua B, plz spare my kidogo left energy fo the day......
 
Mamushka hebu edit hilo jina.

Bigirita please do the needful! Tunashindwa kuchangia hii sredi.

ha ha ha haaaa, hili jina la Brigitta, bibi yangu hawezi kulitamka mpaka leo...analitamka BIRINGITA.
Please Briggita, help us in this kindumbwendumbwe...lakini hebu nijaribu hivi kweli sio MAHABUBA kwa kiswahili?
 
wat iz confusing you here?
tatizo la kupeleka watoto intaneshino wakati nyie wenyewe darasa la nne....

biggy huyo mleta thread kibluray chake kinaleta mkanganyiko....
ST government
hubby anapenda social networks
Iteitei dated her.........sasa whose husband is this Itei tei talking about here??[/QUOTE]
Wewe sasa unasoma katikati ya sentensi, lakini wakati mwingine unasoma kuanzia kushoto kama kiarabu. tehtehetehe!

Kimsingi, you are right......
 
ha ha ha haaaa, hili jina la Brigitta, bibi yangu hawezi kulitamka mpaka leo...analitamka BIRINGITA.
Please Briggita, help us in this kindumbwendumbwe...lakini hebu nijaribu hivi kweli sio MAHABUBA kwa kiswahili?
Leo Comrade umeamuliwa......
 
wat iz confusing you here?
tatizo la kupeleka watoto intaneshino wakati nyie wenyewe darasa la nne....

biggy huyo mleta thread kibluray chake kinaleta mkanganyiko....
ST government
hubby anapenda social networks
Iteitei dated her.........sasa whose husband is this Itei tei talking about here??[/QUOTE]
Wewe sasa unasoma katikati ya sentensi, lakini wakati mwingine unasoma kuanzia kushoto kama kiarabu. tehtehetehe!

Kimsingi, you are right......

naomaba usome PM sasa hivi mi nimechoka kucheka ujue B!!!
 
Me is very very as well!
infakti, iteitei lya kite must be a biological error, kama wataalamu wanashindwa kumtambua!
Bigi man! Please spare my ribs!

wat iz confusing you here?
tatizo la kupeleka watoto intaneshino wakati nyie wenyewe darasa la nne....

biggy huyo mleta thread kibluray chake kinaleta mkanganyiko....

hubby anapenda social networks
Iteitei dated her.........sasa whose husband is this Itei tei talking about here??
Biggie is Totally immersed in confusion!

haaaaa jamani unaniua B, plz spare my kidogo left energy fo the day......
Bigirita ameamua kunivunjia mbavu zangu mamushka!
 
Back
Top Bottom