Rekebisha mama kabla sijachukua RB
Uko right.Anza sasa kumshauri kuwa anatakiwa kufunga ndoa kwanza ndio atumie neno Hubby.halafu hayo ya online friends ndio yafuatie.
Shikamoo my hubby!
Huyu iteitei ongea nae kichaga atakuelewa zaidi.
Anamaanisha they have been nanihii for quite some time and she feels kwa law of the land, washakuwa sweety halfsSasa inakuwaje iteitei lya kite akamdeti husband wake for sometimes?
safari moja huanzisha nyingine.......
Anamaanisha they have been nanihii for quite some time and she feels kwa law of the land, washakuwa sweety halfs
safari moja huanzisha nyingine.......
Bado hujajibu hoja zao....Jibu then tukanyage twende...Wakati unasema Hubby ulimaanisha????Jamani si tubaki kwenye hoja mbona tunaenda Shinyanga tena?
eheeeeeee! kumbe upo? tujibu kwanza swali letu,huyu ni hubby yako kivipi?Jamani si tubaki kwenye hoja mbona tunaenda Shinyanga tena?
Jamani si tubaki kwenye hoja mbona tunaenda Shinyanga tena?
Bado hujajibu hoja zao....Jibu then tukanyage twende...Wakati unasema Hubby ulimaanisha????
he he he yani upo sawa bibie...kuna thread mojaya Nguli nilivyoisoma ikabidi nikashtue kidogo...!!lazima ulikunywa mbege asbh leo, akili si za kawaida
wewe mwenyewe unatufanya tuende huko, wewe uliolewa na huyo hubby wako? ndoa ipi hiyo maana kwenye maelezo siioni mie ujue???
lazima ulikunywa mbege asbh leo, akili si za kawaida
wakwetu acha kabisa hiyo kitu si mchezo....
wakwetu acha kabisa hiyo kitu si mchezo....
Hii kitu haina mpinzani aseee!! Nimemiss mgombani!!Ni stimulant mamito hahaaa!!!
vuta subira mamaaa! akichoka atakurudia tu! hao wa online ni part time tu!
Pape acha utani.Hapo hakuna cha kuvumilia.Kama huyio si mume wake bado bado basi bora aanze njia mapema atafute watakayeaminiana kwani inaonyesha huyo jmaa keshamchoka.vuta subira mamaaa! akichoka atakurudia tu! hao wa online ni part time tu!
hivi kiteitei ni msichana au mvulana?