Mwongozo wa ufugaji wa kisasa wa Mbuzi wa nyama na maziwa

Mpaka huku mkoa wa Pwani wanafugwa,misenyi huko Kagera walikuwa wanafugwa,Rukwa walikuwa wanafugwa,kwa hiyo ukitaka kufuga ng`ombe unaweza kufuga,unaweza kufuga crossbreed inayofit mazingira yako. Kama uko kanda ya Ziwa,Musoma kulikuwa/kun shamba la ng`ombe wa maziwa. Kazi kwako mkuu.

nayajua karibu mashamba yote ya ukanda huu wa ziwa na kati...ila nilisikia hawa wanyama wanastawi sana ktk baridi...ndo maana nikauliza!! na kumbuka mbegu bora inabidi uchanganye kidogo(kama ulivnielezea)!!
 
Boss wazolako ni zuri linatakiwa kufanywa kazi lakini hapahujatoa maelezo ya kutosha kumvutia mtu tunapenda kujua mahesbu yaununuzi malsho na ukuaji mpka uanze uzalishaji kama ni maziwa ama nyama na pia hao mbuzi unapo wanunua wanakuaw tayari namimba mabakuna jama alichangia hoja katika ushauri flani alifafanua mpaka nikawa na hajayakuianya nanukuu,


Mimi ni mfugaji, nitakushauri kufuga ngombe kwa mchakato ufuatao:

Ujenzi wa banda = Ths 500,000/=
Manunuzi ya Ngombe 5 x Tsh 900,000 = Tsh 4,500,000/=
(Ngombe utawanunua wakiwa na mimba ya miezi 6)
Kuwahudumia ng'ombe kwa miezi mitatu kabla ya production = Tsh 1,500,000/=
(inahusisha mshahara kwa wafanyakazi wawil + chakula + madawa)

Jumla = Tsh 6,500,000/=

Baada ya Miezi 3;

UZALISHAJI:

Ngombe hawa watakuwa wakitoa maziwa si pungufu ya lita 5 kwa asubuhi na jioni kwa kila ng'ombe. Hivyo uzalishaji kwa siku utakuwa lita 10 kwa siku kwa ng'ombe.

MAPATO

Lita 10 x Ng'ombe 5 = lita 50 kwa siku x Tsh 1000 (bei ninayouza mimi hapa) = Tsh 50,000 kwa siku
Mapato kwa mwezi = Tsh 50,000 x 30 = 1,500,000/=

Gharama za uendeshaji kwa mwezi = Tsh 600,000/=

Faida = Tsh 900,000/= kwa mwezi

BAADA YA MIAKA 5:

Kumbuka ng'ombe huzaa kila mwaka hivyo basi baada ya miaka mitano utakuwa na ng'ombe wasiopungua 25. Kipato chako kwa mwezi unaweza kufikia si pungufu Tsh 18,000,000 endapo utakuwa na ngombe jike 20 kati ya hao 25
Asante kwa ushauri mkuu

I believe together we can go.
[/QUOTE]
Mkuu Kasopa asante kwa huu uchanganifu! Je unaweza kutufafanulia kuhusu gharama za sh. 500,000/= kwa ujenzi wa banda. Hii ni gharama nafuu sana kwa banda la ng,ombe.

Pamoja!
 
nayajua karibu mashamba yote ya ukanda huu wa ziwa na kati, ila nilisikia hawa wanyama wanastawi sana ktk baridi...ndo maana nikauliza!! na kumbuka mbegu bora inabidi uchanganye kidogo(kama ulivnielezea)!!

Kweli,watu wengi wanaamini hivyo,mwanzoni ilisemekana huwezi kufuga ng`ombe mikoa ya kusini,siku hizi kuna ng`ombe kibao (mfano ni hawa waliotoka Ihefu mbeya,wapo Mhoro Lindi kibao na Wamasai wanauza maziwa pale Somanga/Muhoro kama kazi). Gharama za kutunza ktk ukanda wa joto ni kubwa kuliko ukanda wa baridi. Kwa hiyo wewe tafuta crossbreed na ufuge kwa kufuata maelezo ya watalaamu wetu.

Nakutakia kila lililo jema ktk azma yako hiyo.
 
Kweli,watu wengi wanaamini hivyo,mwanzoni ilisemekana huwezi kufuga ng`ombe mikoa ya kusini,siku hizi kuna ng`ombe kibao (mfano ni hawa waliotoka Ihefu mbeya,wapo Mhoro Lindi kibao na Wamasai wanauza maziwa pale Somanga/Muhoro kama kazi). Gharama za kutunza ktk ukanda wa joto ni kubwa kuliko ukanda wa baridi. Kwa hiyo wewe tafuta crossbreed na ufuge kwa kufuata maelezo ya watalaamu wetu.

Nakutakia kila lililo jema ktk azma yako hiyo.

appreciation for the knowledge!!
 
Wewe hilo neno umelisema simposimpo tu, lakini liko BOLD sana. Coment zingine haziko vizuri.

Mtu anatangaza ana dola milioni moja hapa jukwaani - mimi nadhani huo ni utani, ndio maana nikamtania kwamba ni fisadi. Nikiwa na fedha kiasi hicho kweli sitakitaja hadharani.
 
Mtu anatangaza ana dola milioni moja hapa jukwaani - mimi nadhani huo ni utani, ndio maana nikamtania kwamba ni fisadi. Nikiwa na fedha kiasi hicho kweli sitakitaja hadharani.
Kumbe ulikuwa unatania. This is a business forum! Anatafuta runch, wewe unadhan atapata vp bila kuwatangazia wadau? sioni ubaya wa kuweka bei yake ya mwisho! kwani bilioni ni mafisadi tu ndy wanakuwa nazo? inategemea na ukubwa wa mradi, hiyo ni 10% tu ya gharama nzima ya mradi! Mali utaipata shambani baba! Kuna wamasai manamiliki ng'ombe 20,000.
 
Kumbe ulikuwa unatania. This is a business forum! Anatafuta runch, wewe unadhan atapata vp bila kuwatangazia wadau? sioni ubaya wa kuweka bei yake ya mwisho! kwani bilioni ni mafisadi tu ndy wanakuwa nazo? inategemea na ukubwa wa mradi, hiyo ni 10% tu ya gharama nzima ya mradi. Mali utaipata shambani baba! Kuna wamasai manamiliki ng'ombe 20,000.

Hapo peusi pa kwanza ilikuwa jibu tosha. Lakini hayo mekundu.
 
Mimi ni mfugaji wa ng'ombe wa Maziwa, kwa sasa ninao ng'ombe 5 wa maziwa. Mpango wangu ni kuwa na shamba lenye ng'ombe wasiopungua 100. Katika kufikia lengo hili napata wazo la kutafuta mkopo na kwa kuanzia nafikiria mkopo wa Millioni 10. Kwa sasa banker wangu ni Backlay's, lakini kwa muda mrefu wamesimamisha mikopo binafsi yenye mashariti nafuu.

Hivyo kama kuna mwanajamii mwenye idea ya wapi (Taasis) naweza kupata mkopo huu. Benki nyingi wana ahadi, lakini utekelezeja wake bado nahisi ni mgumu.
 
Mimi ni mfugaji wa ng'ombe wa Maziwa, kwa sasa ninao ng'ombe 5 wa maziwa. Mpango wangu ni kuwa na shamba lenye ng'ombe wasiopungua 100. Katika kufikia lengo hili napata wazo la kutafuta mkopo na kwa kuanzia nafikiria mkopo wa Millioni 10. Kwa sasa banker wangu ni Backlay's, lakini kwa muda mrefu wamesimamisha mikopo binafsi yenye mashariti nafuu. Hivyo kama kuna mwanajamii mwenye idea ya wapi (Taasis) naweza kupata mkopo huu. Benki nyingi wana ahadi, lakini utekelezeja wake bado nahisi ni mgumu.

Kwanza, ningekushauri kuwa na mchanganuo wa kazi hii ya ufugaji, kwa sababu kama target ni kuwa na ng`ombe zaidi ya 100,unastahili kusajili shamba lako ili upate mikopo ya kuliwezesha kuwa na uzalishaji wenye faida. Na milioni kumi si kidogo kwa kuanzia ila kwa shamba zuri ni kidogo. Jaribu Twiga bancorp. benki hii bado ni mali ya serikali.

Zaidi sana big up mkuu.
 
Kwanza,ningekushauri kuwa na mchanganuo wa kazi hii ya ufugaji,kwa sababu kama target ni kuwa na ng`ombe zaidi ya 100,unastahili kusajili shamba lako ili upate mikopo ya kuliwezesha kuwa na uzalishaji wenye faida. Na milioni kumi si kidogo kwa kuanzia ila kwa shamba zuri ni kidogo. Jaribu Twiga bancorp. benki hii bado ni mali ya serikali.

Zaidi sana big up mkuu.

Nimefanikiwa kusajili shamba (EBENEZER DAIRY FARM) tokea nilipoanza 2008, sasa huu mkopo ninaotafuta ni pamoja na kuweza kununua shamba na kuongeza ng'ombe. Kwani kwa sasa ninafanya ZERO Grazing, lakini idadi ya ng'ombe itakapofikia 10 nitahitaji kuhamia shambani. Kwa sasa nipo Zanzibar na TWIGA BANCORP hawajafungua tawi. Kuhusu mchanganuo wa mradi, hili nitahitaji mtaalamu.
 
Nimefanikiwa kusajili shamba (EBENEZER DAIRY FARM) tokea nilipoanza 2008, sasa huu mkopo ninaotafuta ni pamoja na kuweza kununua shamba na kuongeza ng'ombe. Kwani kwa sasa ninafanya ZERO Grazing, lakini idadi ya ng'ombe itakapofikia 10 nitahitaji kuhamia shambani. Kwa sasa nipo Zanzibar na TWIGA BANCORP hawajafungua tawi. Kuhusu mchanganuo wa mradi, hili nitahitaji mtaalamu.

Vizuri sana mkuu, nimekiona kibao kinachoelekeza kwenye shamba lako. Juzi nilikuwa katika pitapita zangu za kutafuta mashamba. Nakushauri uwaaproach CRDB au NMB nadhani wanasaidia. Najua CRDB wamewasaidia wengi sana kwenye sekta ya ufugaji (Mkuza Chicks ni mmoja wa watu walioinuliwa sana na CRDB).

Kila la kheri
 
Nimefanikiwa kusajili shamba (EBENEZER DAIRY FARM) tokea nilipoanza 2008, sasa huu mkopo ninaotafuta ni pamoja na kuweza kununua shamba na kuongeza ng'ombe. Kwani kwa sasa ninafanya ZERO Grazing, lakini idadi ya ng'ombe itakapofikia 10 nitahitaji kuhamia shambani. Kwa sasa nipo Zanzibar na TWIGA BANCORP hawajafungua tawi. Kuhusu mchanganuo wa mradi, hili nitahitaji mtaalamu.

Mkuu komaa mpaka ufanikiwe kupata mkopo, jifanye hujali, hata hizi benki ndogo pitia,unaweza kukutana na meneja mzuri akakutoa.
 
Mimi ni mfugaji wa ng'ombe wa Maziwa, kwa sasa ninao ng'ombe 5 wa maziwa. Mpango wangu ni kuwa na shamba lenye ng'ombe wasiopungua 100. Katika kufikia lengo hili napata wazo la kutafuta mkopo na kwa kuanzia nafikiria mkopo wa Millioni 10. Kwa sasa banker wangu ni Backlay's, lakini kwa muda mrefu wamesimamisha mikopo binafsi yenye mashariti nafuu. Hivyo kama kuna mwanajamii mwenye idea ya wapi (Taasis) naweza kupata mkopo huu. Benki nyingi wana ahadi, lakini utekelezeja wake bado nahisi ni mgumu.

Jaribu stanbic pia nimesikia wameanza kutoa personal loans kwa wafanyakazi, kila laheri mkuu
 
Ninao usghauri mzuri kwako mkuu,unaweza kupata mkopo nafuu kwa riba nafuu kwa kutumia SACCOS. Ingawa saccos nyingi haziaminiki. Ungekuwa hapa Dar es salaam. Ningependekeza baadhi ya Saccos unazoweza kujiunga nazo. Hasa ukizingatia unahitaji shilingi milioni 10 hizi ni fedha ambazo unaweza kupata kwa kutumia SACCOS.Hata hivyo benki pia ni mahala muafaka.USIKATE TAMAA MPAKA KIELEWEKE.
 
Ninao usghauri mzuri kwako mkuu,unaweza kupata mkopo nafuu kwa riba nafuu kwa kutumia SACCOS.Ingawa saccos nyingi haziaminiki. Ungekuwa hapa Dar es salaam. Ningependekeza baadhi ya Saccos unazoweza kujiunga nazo.Hasa ukizingatia unahitaji shilingi milioni 10 hizi ni fedha ambazo unaweza kupata kwa kutumia SACCOS. Hata hivyo benki pia ni mahala muafaka.USIKATE TAMAA MPAKA KIELEWEKE.
Nashukuru Mkuu kwa Ushauri wako, unaweza kupendekeza trusted SACCOS zilizopo DAR ili niweze kuwasiliana nao na kuona uwezekano wa kujiunga.
 
Kwanza,ningekushauri kuwa na mchanganuo wa kazi hii ya ufugaji,kwa sababu kama target ni kuwa na ng`ombe zaidi ya 100,unastahili kusajili shamba lako ili upate mikopo ya kuliwezesha kuwa na uzalishaji wenye faida. Na milioni kumi si kidogo kwa kuanzia ila kwa shamba zuri ni kidogo. Jaribu Twiga bancorp. benki hii bado ni mali ya serikali.

Zaidi sana big up mkuu.

WANA-JF, kwa yeyote aliye na Sample ya Mchanganuo wa Biashara naomba anitumie.
 
Vizuri sana mkuu, nimekiona kibao kinachoelekeza kwenye shamba lako. Juzi nilikuwa katika pitapita zangu za kutafuta mashamba. Nakushauri uwaaproach CRDB au NMB nadhani wanasaidia. Najua CRDB wamewasaidia wengi sana kwenye sekta ya ufugaji (Mkuza Chicks ni mmoja wa watu walioinuliwa sana na CRDB).

Kila la kheri

Mimi bado sijafanikiwa kununua Shamba huenda umeona Shamba ambalo limesajiliwa kwa jina hilo, lakini Mimi usajili wangu nimefanyia hapa Zanzibar. Katika Mkopo ninao tafuta ni pamoja na kuniwezesha kununua Shamba.
 
Back
Top Bottom