Mwongozo wa ufugaji wa kisasa wa Mbuzi wa nyama na maziwa

Kama upo dar nenda pale mandela rd just after tazara area ,kuna wizara husika watakupa ushauri mzuri wa mbegu bora ya ng'ombe wa maziwa,na pia how to's za kufuga, ila fahamu kufugia cows in dar ni gharama sana na inachukua muda wako mkubwa, kwani majani ni ya kununua, bora ufugie mkoa wa pwani, eg Kibaha, Chalinze ,or mkuranga, siyo mbali sana na Dar and u can transport maziwa yako kila siku kuliko kufugia dar na kuwa na headache ya malisho ya hao wanyama.
 
Usisahau hawa wanyama wana gharama sana kuwatunza na kuwatibu. Hivyo, hesabu yako ya juu ni theoretical zadi.

ni sawa na mtu anapokumbia kuwa ukiwa na daladala Dar kila siku utaletewa 40,000. Ina mana kwa wiki 280,000.Kwa mwezi 1,120,000.Hiyo ni theory.

Practically ukiingia unakuta sivyo.Mwenzako yalishanikuta kwenye biashara ya Tax cab. Hivyo, piga hesabu vizuri kabla ya kuamua kuwafuga hao wanyama,
All the best.
THE SON OF AFRICA
 
Kaka maskini jeuri nakupongeza kwa mtazamo wako wa kiujasiliamali. Ni mzuri sana kuliko hata kuajiliwa,,kwa kuwa unataka kufuga kuku naomba unipe mawazo muhimu uliyoyapata kuhusu huu ufugaji, maana mimi pia nina mpango huo tangu siku nyingi na sasa nipo kenywe mchakato wa kukusanya mawazo kutoka kwa wadau mbalimbali. Ninatanguliza shukurani zangu mkuu.
 
Boss wazolako ni zuri linatakiwa kufanywa kazi lakini hapahujatoa maelezo ya kutosha kumvutia mtu tunapenda kujua mahesbu yaununuzi malsho na ukuaji mpka uanze uzalishaji kama ni maziwa ama nyama na pia hao mbuzi unapo wanunua wanakuaw tayari namimba mabakuna jama alichangia hoja katika ushauri flani alifafanua mpaka nikawa na hajayakuianya nanukuu.

Mimi ni mfugaji, nitakushauri kufuga ngombe kwa mchakato ufuatao:

Ujenzi wa banda = Ths 500,000/=
Manunuzi ya Ngombe 5 x Tsh 900,000 = Tsh 4,500,000/=
(Ngombe utawanunua wakiwa na mimba ya miezi 6)
Kuwahudumia ng'ombe kwa miezi mitatu kabla ya production = Tsh 1,500,000/=
(inahusisha mshahara kwa wafanyakazi wawil + chakula + madawa)

Jumla = Tsh 6,500,000/=

Baada ya Miezi 3;

UZALISHAJI:

Ngombe hawa watakuwa wakitoa maziwa si pungufu ya lita 5 kwa asubuhi na jioni kwa kila ng'ombe. Hivyo uzalishaji kwa siku utakuwa lita 10 kwa siku kwa ng'ombe.

MAPATO

Lita 10 x Ng'ombe 5 = lita 50 kwa siku x Tsh 1000 (bei ninayouza mimi hapa) = Tsh 50,000 kwa siku
Mapato kwa mwezi = Tsh 50,000 x 30 = 1,500,000/=

Gharama za uendeshaji kwa mwezi = Tsh 600,000/=

Faida = Tsh 900,000/= kwa mwezi

BAADA YA MIAKA 5:

Kumbuka ng'ombe huzaa kila mwaka hivyo basi baada ya miaka mitano utakuwa na ng'ombe wasiopungua 25. Kipato chako kwa mwezi unaweza kufikia si pungufu Tsh 18,000,000 endapo utakuwa na ngombe jike 20 kati ya hao 25
Asante kwa ushauri mkuu

I believe together we can go.[/QUOTE]
 
Boss wazolako ni zuri linatakiwa kufanywa kazi lakini hapahujatoa maelezo ya kutosha kumvutia mtu tunapenda kujua mahesbu yaununuzi malsho na ukuaji mpka uanze uzalishaji kama ni maziwa ama nyama na pia hao mbuzi unapo wanunua wanakuaw tayari namimba mabakuna jama alichangia hoja katika ushauri flani alifafanua mpaka nikawa na hajayakuianya nanukuu,


Mimi ni mfugaji, nitakushauri kufuga ngombe kwa mchakato ufuatao:

Ujenzi wa banda = Ths 500,000/=
Manunuzi ya Ngombe 5 x Tsh 900,000 = Tsh 4,500,000/=
(Ngombe utawanunua wakiwa na mimba ya miezi 6)
Kuwahudumia ng'ombe kwa miezi mitatu kabla ya production = Tsh 1,500,000/=
(inahusisha mshahara kwa wafanyakazi wawil + chakula + madawa)

Jumla = Tsh 6,500,000/=

Baada ya Miezi 3;

UZALISHAJI:

Ngombe hawa watakuwa wakitoa maziwa si pungufu ya lita 5 kwa asubuhi na jioni kwa kila ng'ombe. Hivyo uzalishaji kwa siku utakuwa lita 10 kwa siku kwa ng'ombe.

MAPATO

Lita 10 x Ng'ombe 5 = lita 50 kwa siku x Tsh 1000 (bei ninayouza mimi hapa) = Tsh 50,000 kwa siku
Mapato kwa mwezi = Tsh 50,000 x 30 = 1,500,000/=

Gharama za uendeshaji kwa mwezi = Tsh 600,000/=

Faida = Tsh 900,000/= kwa mwezi

BAADA YA MIAKA 5:

Kumbuka ng'ombe huzaa kila mwaka hivyo basi baada ya miaka mitano utakuwa na ng'ombe wasiopungua 25. Kipato chako kwa mwezi unaweza kufikia si pungufu Tsh 18,000,000 endapo utakuwa na ngombe jike 20 kati ya hao 25
Asante kwa ushauri mkuu

I believe together we can go.
[/QUOTE]

Hii nimeipenda sana hao ng'ombe wanapatikana wapi? tupe contact na sisi tuingie kwenye ufugaji.
Maana hiyo faida kwa mwezi inazidi mshahara wangu.
 

Hii nimeipenda sana hao ng'ombe wanapatikana wapi? tupe contact na sisi tuingie kwenye ufugaji.
Maana hiyo faida kwa mwezi inazidi mshahara wangu.[/QUOTE]

Ng`ombe wazuri wa maziwa original (friesian) wapo kitulo Makete - Njombe,wanauzwa laki sita. Wamepandishwa tayari na ni shamba la serikali la mfano kwa sasa. Tatizo ni kuwasafirisha mpaka ulipo.
 
Wakuu,

My dream ilikuwa kufuga nguruwe, lakini tangu July 2008 nilianza na kuku wa mayai 500, nikaja 1000, then nikauza wale 500 wa mwanzo, so far business yangu imerudisha capital which was arround 9m. Tangu June 2010 nimeanza kupata Project Profit. Lakini Setup nzima including fixed assets eg Maji, mabanda, solar, nyumba za shamba boys ilikuwa 18m. Kwa hiyo bado 9m ku Break even.

Kwa sasa ninao 1500, production kwa siku ni Trays 37 kwa siku ambapo sales @5,000 per Tray napata 175,000 Kwa Siku

Chakula wanakula kilo 175 - mifuko 3.5 ya Kilo 50 @ 24,000 = 84,000

Madawa , Manpower ni 250,000 kwa mwezi average.

Profit = 175,000 - 84,000 = 91,000 Kwa Siku times 30 days you get = 2,730,000 Tshs - man power & Running cost = 2,480,000/= Kwa Mwezi. (Hii ni cash in hand per month)

Expanstion by June 2011 ni 3 times of this production. and In June i will be selling those kuku mzee ones kwa 5,000/= each so nitapata 5m, which i can use this cash to re invest.

Its a risk business but watch out.
 
Mlila tatizo wana JF wengi hawako serious katika kilimo na ufugaji - May be hawako familiar

sababu wamekulia mijini, sasa unapoongelea kufuga nguruwe, kilimo cha Mitiki, Kilimo cha Mpuga kwa umwagiliaji, ufugaji wa mbuzi wa maziwa & ngombe etc watu hawakuelewi kama inawezekana ukapata pesa hadi Tsh 20m kwa mwezi. Mtu yupo radhi avumile mshahara wa 2m kwa mwezi na gari moja na nyumba ya kupanga kijitonyama hadi anafikia umri wa kustaafu.

Lakini hizi forum zitawaamsha wengi, hakuna haja ya kugombana na bosi wako akupe allowances, allawances zipo shambani. Anyway wachache watakaofuata maoni yako watafaidika sana.

Kuna jamaa utawasikia - "Yaani mi Engineer, Mwansheria mzima nikafuge nguruwe / kuku !! nitake radhi", ha ha ha
 
mimi natafuta ranch kubwa hizo za selikali, nataka kufuga ng'ombe wa maziwa na nyama si chini ya mia tano kwa kuanzia. kama kuna mtu anayeweza kunisaidia namna ya kuzipata anipigie pande hapa. kwahabari ya pesa, si zaidi ya $1 million. asanteni.
Wewe ni fisadi
 
Wakuu,

My dream ilikuwa kufuga nguruwe, lakini tangu July 2008 nilianza na kuku wa mayai 500, nikaja 1000, then nikauza wale 500 wa mwanzo, so far business yangu imerudisha capital which was arround 9m. Tangu June 2010 nimeanza kupata Project Profit. Lakini Setup nzima including fixed assets eg Maji, mabanda, solar, nyumba za shamba boys ilikuwa 18m. Kwa hiyo bado 9m ku Break even.

Kwa sasa ninao 1500, production kwa siku ni Trays 37 kwa siku ambapo sales @5,000 per Tray napata 175,000 Kwa Siku

Chakula wanakula kilo 175 - mifuko 3.5 ya Kilo 50 @ 24,000 = 84,000

Madawa , Manpower ni 250,000 kwa mwezi average.

Profit = 175,000 - 84,000 = 91,000 Kwa Siku times 30 days you get = 2,730,000 Tshs - man power & Running cost = 2,480,000/= Kwa Mwezi. (Hii ni cash in hand per month)

Expanstion by June 2011 ni 3 times of this production. and In June i will be selling those kuku mzee ones kwa 5,000/= each so nitapata 5m, which i can use this cash to re invest.

Its a risk business but watch out.

Ni vema kila aanzaye biashara hii ya kuku akajua risk ziko nyingi pamoja na:
a) magonjwa ya mlipuko au ya polepole ambayo huua kuku ghafla au polepole kama vile gumboro, mdondo, typhoid, malecs nk;
b) utapeli miongoni mwa wauza madawa/chanjo - unanunua dawa feki au zilizoexpire bila wewe kujua: Matokeo yake angalia (a);
c) utapeli mkubwa wa watengenezaji wa vyakula ambao hawaweki viini vyote vitakiwavyo. Hii huathiri sana utagaji na pia afya ya kuku;
d) utapeli wa wauza vifaranga ambao mara nyingi hutaka walipwe in advance, lakini baadhi yao hawakupi hao vifaranga.
e) nk

Lengo sio kumwogofya mtu -ila kumfanya ajue hizo risk ili ajiandae vema. Kiuhalisia mahesabu huwa hayanyoki kwa urahisi kama inavyoonyeshwa hapo juu.
 
  • Thanks
Reactions: a_z
Mkuu Malila, hongera kwa kufuga. Mie nina mpango wa kwenda kufuga wilaya moja huko mkoani Tanga. karibu nawe

Mimi nitakuja tu huko Tanga,siogopi kitu ndani ya Tz,ila huko mnafuga nini? sehemu nyingine huwezi kufuga baadhi ya mifugo. Nitajie mifugo ya huko kwa ajili ya soko la ndani.
 
mimi natafuta ranch kubwa hizo za selikali, nataka kufuga ng'ombe wa maziwa na nyama si chini ya mia tano kwa kuanzia. kama kuna mtu anayeweza kunisaidia namna ya kuzipata anipigie pande hapa. kwahabari ya pesa, si zaidi ya $1 million. asanteni.

Vipi umeshapata ranch uliyokuwa unatafuta? Kuna sehemu wilaya moja ilitaka kuanzisha ranch,kwa sababu ya urasimu wilaya hiyo imeshindwa kuanzisha. Ni pazuri sana na mimi nimefika,pia hapo mahali apples za kisasa zinamea sana. Na kuna Mzungu anapafukuzia kiaina.
 
Wewe ni fisadi

Sina hakika kama tafsiri ya neno fisadi inafit hapo,kwa sababu serikali imeuza/inauza mashamba yake kwa watu binafsi na taratibu zipo wazi,kuna ubaya gani hapo mkuu? Kama angenunua/angetafuta mwenye pua ndefu ungesema haya. Mimi namuunga mkono jamaa ili atimize ndoto ya kumiliki ranch.
 
Mie ni mmoja wa wadau wenye shauku kubwa ya kuendeleza mradi wa ufugaji wa familia yetu na nnatafuta taarifa kama hizi, nashukuru ila nahitaji kujua kama ng'be hao wanastawi kattika ukanda wa hali ya hewa ya kitropiki kama maeneo ya ziwa victoria! Bila kusahau gharama za kuwasafirisha! eyeroll2:

AKHSANTE SANA!!:becky::becky:
 
Mlila tatizo wana JF wengi hawako serious katika kilimo na ufugaji - May be hawako familiar
sababu wamekulia mijini, sasa unapoongelea kufuga nguruwe, kilimo cha Mitiki, Kilimo cha Mpuga kwa umwagiliaji, ufugaji wa mbuzi wa maziwa & ngombe etc watu hawakuelewi kama inawezekana ukapata pesa hadi Tsh 20m kwa mwezi. Mtu yupo radhi avumile mshahara wa 2m kwa mwezi na gari moja na nyumba ya kupanga kijitonyama hadi anafikia umri wa kustaafu.

Lakini hizi forum zitawaamsha wengi, hakuna haja ya kugombana na bosi wako akupe allowances, allawances zipo shambani. Anyway wachache watakaofuata maoni yako watafaidika sana.

Kuna jamaa utawasikia - "Yaani mi Engineer, Mwansheria mzima nikafuge nguruwe / kuku !! nitake radhi", ha ha ha

Uvivu na ulimbukeni wao. Acha tunaoona fada zake tujitume... waache wafugaji na wakulima wa vidole wabaki hivohivo!
 
mie ni mmoja wa wadau wenye shauku kubwa ya kuendeleza mradi wa ufugaji wa familia yetu na nnatafuta taarifa kama hizi.. nashukuru... ila nahitaji kujua kama ng'be hao wanastawi kattika ukanda wa hali ya hewa ya kitropiki kama maeneo ya ziwa victoria!!Bila kusahau gharama za kuwasafirisha!!:eyeroll2:

AKHSANTE SANA!!:becky::becky:

Mpaka huku mkoa wa Pwani wanafugwa,misenyi huko Kagera walikuwa wanafugwa,Rukwa walikuwa wanafugwa,kwa hiyo ukitaka kufuga ng`ombe unaweza kufuga,unaweza kufuga crossbreed inayofit mazingira yako. Kama uko kanda ya Ziwa,Musoma kulikuwa/kun shamba la ng`ombe wa maziwa. Kazi kwako mkuu.
 
Back
Top Bottom