Mmbea mkubwa wewe, kwanza mwenyewe unaonekana hujitambui vizuri.Sina nia ya kumchafua mwl huyu mwenye asili ya Burundi anaitwa Prudence, ushahidi ninao. Anafundisha PHYSICS na CHEMISTRY form 5 & 6 pale SHINYANGA SEC kwa miaka mingi amekuwa akifelisha maskini wa kitanzania. Jina lake maarufu ni mzee wa USHIRIKIANO. Makosa yake ni:
1. Haingii darasani mpaka mchange pesa
2. Ana tabia ya makusudi ya kuzira darasa mkimshitaki au msipompa pesa a.k.a ushirikiano
3. Practical za form 6 anaharibu mtu huwezi pata data. Watu wake anawapa data
mi ni muhanga wa hili, tufanye nini kuokoa watoto na wadogo zetu? Nawasilisha