Mwitikio wa Baraza, wale waliotemwa na Mengineyo

Mawaziri waliotemwa,kwenda kukaa beki bencha bungeni hawa....

Prof.Juma Kapuye
Prof.David Mwakyusa
Prof.Peter Msolla
Mh.Chiligati
Mh.Summari
Mh.Seif Khatibu
Mh.J.Wanjancha
Mh.H Chibulunje.....

Kama kuna aliyesaulika ongezea....
Hapo kwenye red mhusika hakufanikiwa kuingia kwenye kinyang'anyilo, baada ya kupigwa chini wakati wa mchakato kwa kura za maoni kulelekea uchaguzi mkuu.
 
Mawaziri 29 na manaibu 21. Tisa kujumlisha moja ni kumi, unaandika sifuri unakwenda na moja. Mbili kuongeza mbili, nne na ile moja tano. Hivyo, 29+21 =50.

Njoo tuisheni mdogo wangu.

Hapo utakuwa hujamsaidia sana: ungemwambia kwanza kwanini mawaziri ni 29 na sio 26 kama anavyofikiri: Kwenye list ya wizara iliyotolewa na Directorate of Presidential communication inaonesha Serial Na. ya wizara/ofisi kuwa ni 26 lakini kwenye list hiyo hiyo chini ya column ya waziri utaona kwenye ofisi ya rais , ofisi ya makamu wa rais, na ofisi ya waziri mkuu kuna mawaziri wawili wawili chini ya serial na. 1, 3 and 4 respectively. Hii inamaanisha wakati list ya ofisi/wizara inahesabu 3 ...mawaziri wako 6 - hivyo kusababisha tofauti ya mawaziri 3 ambao ndio mnabishana.

Kwa kifupi rais kachakachua list ili kuwadanganya wabongo kama vile mawaziri ni 26 wakati wako 29.
 
Kwani kulikuwa na makubaliano ya kupunguza baraza? Mbona mnataka kuingilia kazi ya Rais? Ni uamuzi wake na chama chake kupanga safu kwa jinsi wanavyoona ni bora na kwa manufaa ya nchi.

Hii ni Serikali yake, Anatekeleza ilani ya chama chake, hamwezi ku-influence chochote katika uundwaji wake.

Tulio wengi tumeridhika sana na hili baraza. Ni kazi nzuri.

Oooh pliiiz, uamuzi wake? regardless of the outcome?
 
najaribu kujiuliza ni kitu gani kilichokuwa kigumu katika hili baraza jipya hadi likamchukuwa JK pamoja na wasaidizi wake wote zaidi ya wiki mbili kuliunda? Kama imemchukua muda mrefu namna hii kuunda baraza la mawaziri je watendaji wake wakichelewa kutekeleza majukumu yake watalaumiwa?


Unadhani kulikuwa na uchakachuaji unaendelea? Unawashauri nini waliokuwa mawaziri baraza lililopita ambao hawamo katika baraza jipya? Wasilitambue?
 
hivi huyu ole medeye si anhusika na kashfa kugaiwa viwanja kule arusha.UADILIFU UKO WAPI SASA
 
mie nahisi Nyalandu kapewa unaibu waziri kumnyamazisha pale suala la mahakama ya kadhi litakapopelekwa Bungeni tena! ni mawazi yangu tu...
 
sasa unashangaa hili!!! angalia la Uganda!!! na fananisha na ukubwa wa nchi! kabla hujatoa hoya fanya utafiti kwanza ndugu!!!!

New Cabinet Chart. 16-Feb-2009

PRESIDENT: Yoweri Museveni

Vice President: Prof. Gilbert Bukenya Balibaseka

1. Prime Minister: Prof. Apollo Nsibambi
2. First DPM and Minister in Charge of EA Affairs: Eriya Kategaya
3. Second DPM and Minister of Public of Service: Henry Kajura
4. Third DPM and Minister of Information and National Guidance: Kirunda Kivejinja
5. Minister for Security: Amama Mbabazi
6. Presidency: Beatrice Wabudeya
7. General Duties (OPM): New Mukwaya Janat Old Adolf Mwesige
8. Agriculture, Animal Industry and Fisheries:New Mwesigye Hope Old Hillary Onek
9. Defence: Dr Crispus Kiyonga
10. Relief and Disaster Preparedness: Tarsis Kabwegyere
11. Education and Sports: Namirembe Bitamazire
12. Energy and Minerals: New Onek Hillary Old Daudi Migereko
13. Internal Affairs: New Kirunda Kivejinja Old Ruhakana Rugunda
14. Finance: New Bbumba Syda Old Dr Ezra Suruma
15. Transport & Works: John Nasasira
16. Justice, Constitutional Affairs and AG: Dr Khiddu Makubuya
17. Gender, Labour and Social Affairs: New Opio Gabriel Old Syda Bumba
18. New Kahinda Otafiire Old Trade and Industry: Janat Mukwaya
19. Water and Environment: Maria Mutagamba
20. Lands, Housing and Urban Development: Omara Atubo
21. Health: Dr Steven Mallinga
22. Foreign Affairs: Sam Kutesa
23. Minister of communication and information communication technology (ICT): New Aggrey Awori Old Hamu Muliira
24. Local Government: New Mwesigye Adolf Old Maj. General Kahinda Otafiire
25. Without Portfolio: Dorothy Hyuha
26. Chief Whip: New Migereko Daudi Old Kabakumba Masiko


Ministers of State:

1. Agriculture: Bagiire A Henry
2. Fisheries: Fred Mukisa
3. Animal Industry: Maj. Bright Rwamirama
4. Higher Education: Old Gabriel Opio New Mwesigwa Rukutana
5. Primary Education: Old Peter Lokeris New Bantarigaya Kamanda
6. Sports: Charles Bakabulindi
7. Energy: Simon D'Ujanga
8. Minerals: Old Kamanda Bataringaya New Peter Lokeris
9. Finance (General Duties): Fred Omach
10. Planning: New Kamuntu Ephram Old Omwony Ojwok
11.
Microfinance: Old: Salim Saleh New Ruth Nankabirwa
12. Investment:Old Prof. Ssemakula Kiwanuka New Kajara Aston
13. Privatisation: Chekamondo Rukia
14. Foreign Afairs (International Affairs): Okello Oryem
15. Regional Affairs: Isaac Musumba
16. Gender & Culture Rukia Isanga
17. Youth & Children Affairs: Old James Kinobe New Alupo Jessica
18. Labour: Old Mwesigwa Rukutana New Otala Emmanuel
19. Disabilities and Elderly: Sulaiman Madada
20. Health (General): Richard Nduhura
21. Primary Health Care: Old Dr Otaala Emmanuel New Kakooza Emmanuel
22. Housing: Werikhe Kafabusa
23. Urban Development: Urban Tibamanya
24. Lands: Old Atwoki Kasirivu New Kiyinj Asuman
25. Economic Monitoring): Old Kagimu Kiwanuka New Kisira Mbeiza
26. OVP (Ethics): Nsaba Buturo
27. Office of PM (Relief and Disaster preparedness): Musa Ecweru
28. Northern Uganda: David Wakikona
29. Karamoja: Old Tom Butime New Janet Kataaha Museveni

30. OPM (Luwero Triangle): Nyombi Thembo
31. Trade, Tourism, Wildlife and Antiquities: Wambuzi Gagawala
32. Industry:Old Ephraim Kamuntu New Rev.Fr.Lokodo Simon
33. Tourism: Serapio Rukundo
34. Water: Jenipher Namuyangu
35.Environment: Jessica Eriyo
36. Transport: Simon Ejua
37. Works: John Byabagambi
38. Defence: Old Ruth Nankabirwa New Odongo Jeje
39. VP Office: James Baba
40. Internal Affairs: Matia Kasaija
41. Justice: Fred Ruhindi
42. ICT: Nsambu Balintuma
43. Local Government: Old Hope Mwesigye New Ahabwe Perez
44. Public Service: Sezi Mbaguta
 
Prof Msolla anavyopenda Ukuu na Uboss nadhani ameumia sana kukosekana kwenye baraza!
 
Source: Parliament of Uganda Website :: - CABINET

President of Uganda/Commander in Chief of the UPDF - H.E. PRESIDENT YOWERI KAGUTA MUSEVENI

Vice President of Uganda - H.E. PROF. GILBERT BALIBASEKA BUKENYA
CABINET MINISTERS
Prime Minister and Leader of Government Business RT. HON. PROF. APOLLO NSIBAMBI First Deputy Prime Minister & Minister for East Africa HON. ERIYA KATEGAYA Second Deputy Prime Minister & Minister of Public Service HON. HENRY KAJURA Third Deputy Prime Minister & Minister of Internal Affairs HON. KIRUNDA KIVEJINJA Minister for Security HON. AMAMA MBABAZI Minister of Presidency
HON. BEATRICE WABUDEYA Minister of General Duties (Office of the Prime Minister) HON. MUKWAYA JANAT
Minister of Gender, Labour and Social Affairs HON. OPIO GABRIEL
Minister of Trade and Industry
HON. KAHINDA OTAFIRE
Minister of Water and Environment HON. MARIA MUTAGAMBA Minister of Agriculture, Animal Industry and Fisheries HON. HOPE MWESIGYE Minister of Defence
HON. CRISPUS KIYONGA Minister of Relief and Disaster Preparedness HON. PROF. TARSIS KABWEGYERE Minister of Lands, Housing and urban Development HON. OMARA ATUBO Minister of Health HON. STEPHEN MALINGA Minister of Foreign Affairs HON. SAM KUTEESA Minister of Education and Sports HON. GERALDINE BITAMAZIRE Minister of Energy and Minerals HON. HILLARY ONEK
Minister of Communication & Information Communication Technology HON. AGGREY AWORI
Minister of Information & National Guidance HON. KABAKUMBA L. MATSIKO
Minister of Local Government HON. MWESIGYE ADOLF
Minister Without Portfolio HON. DOROTHY HYUHA Minister of Finance, Planning and Economic Development
HON. SYDDA BBUMBA
Minister of Works HON. JOHN NASASIRA Minister of Justice, Constitutional Affairs & Attoney General HON. KHIDDU MAKUBUYA Government Chief Whip HON. DAUDI MIGEREKO
STATE MINISTERS
Minister of State for Agriculture HON. BAGIIRE A. HENRY
Minister of State for Fisheries HON. FRED MUKISA Minister of State for Animal Industry HON. BRIGHT RWAMIRAMA Minister of State for Higher Education HON. MWESIGWA RUKUTANA
Minister of State for Primary Education HON. BATARINGAYA KAMANDA
Minister of State for Sports HON. CHARLES BAKKABULINDI Minister of State for Energy HON. SIMON D'UJANGA Minister of State for Minerals HON. PETER LOKERIS
Minister of State for Finance (General Duties) HON. FRED OMACH Minister of State for Planning HON. KAMUNTU EPHRAHIM
Minister of State for Microfinance HON. RUTH NANKABIRWA
Minister of State for Investment HON. KAJARA ASTON
Minister of State for Privatization HON. RUKIA CHEKAMONDO Minister of State for International Affairs HON. OKELLO ORYEM Minister of State for Regional Affairs HON. ISAAC MUSUMBA Minister of State for Gender and Culture
HON. RUKIA ISANGA Minister of State for Youth and Children Affairs
HON. ALUPO JESSICA
Minister of State for Labour, Employment and Industrial Relations HON. OTALA EMMANUEL
Minister of state for Disabilities HON. SULAIMAN MADADA Minister of State for Health (General) HON. RICHARD NDUHURA Minister of State for Primary Health Care HON. KAKOOZA JAMES
Minister of State for Housing HON. WERIKHE KAFABUSA
Minister of State for Urban Development HON. URBAN TIBAMANYA Minister of State for Lands HON. ASUMANI KIYINGI
Minister of State for Economic Monitoring (Office of the President)
HON. VICENT NYANZI
Minister of State for Ethics and Integrity (Office of the President) HON. NSABA BUTURO Minister of State for Relief, Disaster Preparedness (Prime Minister's Office) HON. MUSA ECWERU Minister of State for Nothern Uganda (Prime Minister's Office) HON. DAVID WAKIKONA Minister of State for Karamoja (Prime Minister's Office) HON. MUSEVENI JANAT KATAAHA Minister of State for Luweero Triangle (Prime Minister's Office) HON. NYOMBI THEMBO Minister of State for Trade, Tourism, Wildlife & Antiquities HON. NELSON GAGAWALA Minister of State for Industry HON.REV. FR. LOKODO SIMON
Minister of State for Tourism HON. SERAPIO RUKUNDO Minister of State for Water HON. JENNIFER NAMUYANGU Minister of State for Environment HON. JESSICA ERIYO Minister of State for Transport HON. SIMON EJUA Minister of State for Works HON. JOHN BYABAGAMBI Minister of State for Defence HON. GEN. JEJE ODONGO
Minister of State for Vice-Presidents Office
HON. JAMES BABA Minister of State for Internal Affairs
HON. MATIA KASAIJA Minister of State for Justice and Constitutional Affairs
HON. FRED RUHINDI Minister of State for Communication and ICT HON. ALINTUMA NSAMBU Minister of State for Local Government HON. AHABWE PEREZ
Minister of State for Public Service
HON. SEZI MBAGUTA
 
Hili baraza ingawa kweli lina wachapakazi lakini ni kubwa sana.
KWA MFANO hakuna umuhimu wa kuwa na wizara mbili zinazoshughulikia usafirishaji. Rais amevunja ile wizara ya maendeleo ya miundombinu (Infrastructure devpt) na kutengeneza mbili: Wizara ya Ujenzi (Works) na Wizara ya Mawasiliano na uchukuzi (transport). Haiingii akilini anawaza nini hapa. Tunahitaji wizara moja itakayounganisha vyombo vyote vya usafiri kwani vinategemeana. Hapa ndio anatengeneza barriers kwa watendaji wake. Kwa mfano uakiangalia sera ya usafiri wa tanzania (Transport Policy) inahusu nyanja zote za usafiri. Ntaendelea kuwalaumu washauri wake kwani wanamshauri Rais vibaya. Tunahitaji wizara moja tu ya usafirishaji tena iongozwe na Magufuli. Labda angeweka manaibu wawili ningemwelewa kidogo. Lakini aaaagr, kuna tatizo hapo. Jamani sio kila mtu awe waziri.....na hawezi kumfurahisha kila mbunge kwa kumzawadia uwaziri.
 
Mawaziri 29 na manaibu 21. Tisa kujumlisha moja ni kumi, unaandika sifuri unakwenda na moja. Mbili kuongeza mbili, nne na ile moja tano. Hivyo, 29+21 =50.

Njoo tuisheni mdogo wangu.

hahahahahhahahahahahahahahaha nimecheka sana kwakweli na hili darasa lako,weli na mimi ngoja nikufunze kdg ukimjumlisha na PM baraza linakua na watu 51:rofl::rofl:
 
attachment.php





Katika Muundo wa Serikali hakuna mabadiliko makubwa isipokuwa yafuatayo:
  1. Idara ya Umwagiliaji tumeiunganisha na Kilimo ambako ndipo ilipokuwa zamani.
    1. Imeonekana upangaji wa maendeleo ya kilimo unakuwa hauna hakika bila ya umwagiliaji kuwa sehemu ya kilimo. Tuliihamishia maji kurahisisha pia upangaji na hasa kwa vile maji ndiyo wanaotoa haki ya matumizi ya maji.
    2. Kwa kuwa tatizo la uhaba wa maji ya binadamu ni kubwa sana na tunataka tuongeze kasi ya kukabiliana na tatizo hilo tumeona tuiondolee wizara hii mzigo wa umwagiliaji ili ibaki na kazi moja tu ya kuhakikisha kuwa watu wanapata maji safi na salama mita 400 kutoka wanapoishi.
  2. Idara ya Vijana tumeihamisha kutoka Wizara ya Kazi na kuihamishia Wizara ya Habari kwa sababu kuu 2.
    1. Kwanza inashabihiana na michezo na utamaduni.
    2. Tunataka Wizara ya Kazi ipate muda wa kutosha wa kushughulikia masuala ya ajira na wafanyakazi ambayo sasa yamepanuka.
  3. Shughuli za Uwezeshaji wa Wananchi zilizokuwa Wizara ya Fedha na Wizara ya Kazi zitahamishiwa Ofisi ya Waziri Mkuu.
  4. Marekebisho mengine ni madogo:
    1. Katika Ofisi ya Rais tunairudisha shughuli ya mahusiano na jamii hivyo tunaongeza Waziri wa Nchi ambaye pia atashughulikia shughuli zilizopanuka za Tume ya Mipango, MKURABITA na TASAF.
    2. Katika Ofisi ya Waziri Mkuu tutakuwa na Waziri wa Nchi wa kushughulikia Uwekezaji na Uwezeshaji wa Wananchi.
    3. Katika Ofisi ya Waziri Mkuu Wizara ya TAMISEMI tumeongeza Naibu Waziri wa kushughulikia masuala ya Elimu.
Baada ya kusema hayo nitangaze orodha yetu:


1. Ofisi ya Rais (Utawala Bora) Mathias Chikawe

2. Ofisi ya Rais – Mahusiano na Uratibu: Stephen Wassira

3.Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma Hawa Ghasia

4. Ofisi ya Makamu wa Rais – ( Muungano): Samia Suluhu

5. . Ofisi ya Makamu wa Rais – (Mazingira) Dr. Terezya Luoga Hovisa

6. Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge): William Lukuvi

7. Uwekezaji na Uwezeshaji Dr. Mary Nagu

8. Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) George Huruma Mkuchika
Naibu: Aggrey Mwanri
Naibu: Kassim Majaliwa

9. Wizara ya Fedha Mustapha Mkulo
Naibu: Gregory Teu
Naibu: Pereira Ame Silima

10. Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Shamsi Vuai Nahodha
Naibu: Balozi Khamis Suedi Kagasheki

11. Wizara ya Katiba na Sheria Celina Kombani

12. Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard K. Membe
Naibu: Mahadhi Juma Mahadhi

13 . Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi

14. Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dr. Mathayo David Mathayo
Naibu: Benedict Ole Nangoro


15. Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mnyaa Mbarawa
Naibu: Charles Kitwanga

16. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna Tibaijuka
Naibu: Goodluck Ole Madeye

17. Wizara ya Maliasili na Utalii Ezekiel Maige

18. Wizara ya Nishati na Madini William Mganga Ngeleja
Naibu: Adam Kigoma Malima

19. Wizara ya Ujenzi Dr. John Pombe Magufuli
Naibu: Dr. Harrison Mwakyembe

20. Wizara ya Uchukuzi Omari Nundu
Naibu: Athumani Mfutakamba

21. Wizara ya Viwanda na Biashara Dr. Cyril Chami
Naibu: Lazaro Nyalandu

22. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dr. Shukuru Kawambwa
Naibu: Philipo Mulugo

23. Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dr. Haji Hussein Mpanda
Naibu: Dr. Lucy Nkya

24. Wizara ya Kazi na Ajira Gaudensia Kabaka
Naibu: Makongoro Mahanga

25. Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Sophia Simba
Naibu: Umi Ali Mwalimu

26. Wizara ya Habari, Vijana na Michezo Emmanuel John Nchimbi
Naibu:Dr. Fenella Mukangara

27. Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Samuel John Sitta
Naibu Dr. Abdallah Juma Abdallah

28. Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Prof. Jumanne Maghembe
Naibu: Christopher Chiza

29. Wizara ya Maji: Prof. Mark James Mwandosya
Naibu: Eng. Gerson Lwinge

Nitawaapisha Jumamosi tarehe 27 Novemba, 2010 saa 05:00 asubuhi
Source: Nipashe
 

Attachments

  • Kikwete(24).jpg
    Kikwete(24).jpg
    17.3 KB · Views: 241
Hili baraza ingawa kweli lina wachapakazi lakini ni kubwa sana.
KWA MFANO hakuna umuhimu wa kuwa na wizara mbili zinazoshughulikia usafirishaji. Rais amevunja ile wizara ya maendeleo ya miundombinu (Infrastructure devpt) na kutengeneza mbili: Wizara ya Ujenzi (Works) na Wizara ya Mawasiliano na uchukuzi (transport). Haiingii akilini anawaza nini hapa. Tunahitaji wizara moja itakayounganisha vyombo vyote vya usafiri kwani vinategemeana. Hapa ndio anatengeneza barriers kwa watendaji wake. Kwa mfano uakiangalia sera ya usafiri wa tanzania (Transport Policy) inahusu nyanja zote za usafiri. Ntaendelea kuwalaumu washauri wake kwani wanamshauri Rais vibaya. Tunahitaji wizara moja tu ya usafirishaji tena iongozwe na Magufuli. Labda angeweka manaibu wawili ningemwelewa kidogo. Lakini aaaagr, kuna tatizo hapo. Jamani sio kila mtu awe waziri.....na hawezi kumfurahisha kila mbunge kwa kumzawadia uwaziri.
Usishangae ndugu. Hesabu ya Mkwere inamaanisha kuwa kazi aliyokuwa naifanya Shukuru Kawamba ni sawa na Mawaziri wawili na Naibu wawili?!!!!!!!!!!!!!!!!! Ahahahahahahahaha Hesabu ya Mkwere hiyo.
 
HILI BARAZA KULINGANA NA HOTUBA YA BUNGENI MBONA KUBWA SANA INA MAANA HALINA TOFAUTI NA LA MWAKA 2005, KAMA MAWAZIRI 29 NAIBU 29 INAMAANA TOTAL 58, Je wale 60 KUNA TOFAUTI KWELI, HII TANZANIA KWELI. HAWA WOTE GARI MPYA, NYUMBA, BUDGET ZAO TU, UJE MAKATIBU WA WIZARA 29 ZINGINE NI MPYA HII YA UJENZI HAIKUWEPO.

KWELIIIIIIIIIIIIIIIIII, TZ TUTAUMIA SANA.

kaka wako 51 check attachment
 

Attachments

  • BARAZA LA MAWAZIRI JIPYA NOVEMBA 2010.doc
    95.5 KB · Views: 35
Msola hana ishu SUA palimshinda ataweza wizara.
Kapuya abaki kuendesha bendi yake ya AKUDO
tu uongozi wake wa jaziba na amemuingiza JK kwenye matatizo kumbuka ishu ya mgomo wa wafanyakazi.
Meghji ni haki yake yeye ni mama wa mipasho tu bungeni uongozi labda aende bendi ya taarabu awe rais wao.

Ina maana kwa miaka mitano yote tulikuwa na mizigo na hakuna mtu aligundua? Kaazi kweli kweli
 
    1. Idara ya Umwagiliaji tumeiunganisha na Kilimo ambako ndipo ilipokuwa zamani.
      1. Imeonekana upangaji wa maendeleo ya kilimo unakuwa hauna hakika bila ya umwagiliaji kuwa sehemu ya kilimo. Tuliihamishia maji kurahisisha pia upangaji na hasa kwa vile maji ndiyo wanaotoa haki ya matumizi ya maji.
      2. Kwa kuwa tatizo la uhaba wa maji ya binadamu ni kubwa sana na tunataka tuongeze kasi ya kukabiliana na tatizo hilo tumeona tuiondolee wizara hii mzigo wa umwagiliaji ili ibaki na kazi moja tu ya kuhakikisha kuwa watu wanapata maji safi na salama mita 400 kutoka wanapoishi.
Nadhani hapa JK amefanya restructuring nzuri. Hongera.
 
Back
Top Bottom