MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
Ifike mahala tupeane mchanganuo wa gharama za mbio za mwenge wa uhuru na thamani ya miradi iliyofunguliwa kwa kila wilaya. Hii itasaidia kukokotoa kufaulu au kutokufaulu kwa mbio hizo katika eneo husika.Bila kufanya hivyo, tutajikuta tunatumia Shilingi 5 kukirimu mbio za mwenge huku tukifungua miradi yenye thamani ya sh 2. EEE serikali ya Tanzania, funua fikra za viongozi hawa.