Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
Eti ni kweli kuwa dunia itafika mwisho wake kwa kupondwa pondwa na jiwe kubwa ambalo lipo huko angani.Na wanasayansi wanafanya juhudi kulizuia??? Kama kuna watu wanajua juu ya hlo atujuze please.Asanteni