maneno kutoka mtu mlevi wa madaraka na na asiye akiliUtabiri wa Hovyo hovyo kutoka kwa mtu wa hovyo.. Kwa upinzani gani.. Wapiga dili hawa ni wapinzani hawa.. Wapinzani hawa ambao bei yao inajulikana..wangekua wanajielewa wangetafuta short cut ya Lowasa..
nadhani barua alipeleka kwa viongozi wa chama chake na sababu ya kujiuzulu ni kukubaliwa lowasa kuwa mgombea wa ukawa na akasema nafsi yake inamsuta hawezi tena akaambatana naye kwenye kampeni kwa hiyo mshangao wetu ni lowasa bado yupo na ukawa na mambo yanaenda tofauti na wakati wake tanzania bara CUF kwa sasa in wabunge wengi ambao hakuwasaidia kuwaombea kura. Itafaa nini hata kama uliunda kikosi cha jeshi vita ilipokuja ukakimbia wamerudi na ushindi hata kama ni mdogo useme mimi nilikuwa kiongozi wewe ni wa kufa tu risasi ndo dawa yake kwa kuwa alikimbia vita tungekufa wote angetapa sana nilijua leo kaja hna hata aibu nadhani umenilewaSasa ngoja nikupe mawazo yangu ninavyoona UKAWA kama ulivyosema si chama, vyama ni Chadema, Nccr, Cuf nk na hapa kila kimoja kinausajili wake kupitia mwenyekiti wake na Isitoshe leo hii yawezekana Lipumba anawaumiza wa2 akili kwa kuwa yeye ndie aliyekisajili hicho chama sasa masuala ya kujiuliza ni je Lipumba alipojiuzulu alipeleka barua au barua yake ilipelekwa kwa msajili wa vyama au iliishia kwenye UKAWA??? na je sababu za yeye kujiuzulu zilikuwa ni zipi??? Ukijiuliza maswali haya na ukiyapatia majibu nadhani tutapata mwelekeo.
Kama barua iliishia UKAWA ndio huu mnyukano wa kisiasa ambao anautumia kwayeye kusema bado ni mwenyekiti kwakuwa anayestaili kujua uwepo wake ni msajili wa vyama, sasa kama kweli itakuwa anafikiria hivi je unadhani UKAWA itakuwa na moto kama zamani au ndio kila m2 atatafuta ustaarabu wake.nadhani barua alipeleka kwa viongozi wa chama chake na sababu ya kujiuzulu ni kukubaliwa lowasa kuwa mgombea wa ukawa na akasema nafsi yake inamsuta hawezi tena akaambatana naye kwenye kampeni kwa hiyo mshangao wetu ni lowasa bado yupo na ukawa na mambo yanaenda tofauti na wakati wake tanzania bara CUF kwa sasa in wabunge wengi ambao hakuwasaidia kuwaombea kura. Itafaa nini hata kama uliunda kikosi cha jeshi vita ilipokuja ukakimbia wamerudi na ushindi hata kama ni mdogo useme mimi nilikuwa kiongozi wewe ni wa kufa tu risasi ndo dawa yake kwa kuwa alikimbia vita tungekufa wote angetapa sana nilijua leo kaja hna hata aibu nadhani umenilewa
Kwani angebaki angewaombea kura.. Kazi ya kuwaombea kura ni mgombea UraisCUF kwa sasa in wabunge wengi ambao hakuwasaidia kuwaombea kura
ukawa ni sawa na mwamvuli hata kama waliokuwa ndani ya mwamvuli wanagombana mwamvuli utakuwepo kwa kuwa yeye mwenyewe hakuwa sehemu ya mwamvuli huo lipumba ana wakati mgumu kwa sababu walioufikisha ukawa hapo hawana shida na wala hawana ugomvi ila aliyewakataa ana hasira na mafanikio yaliyopatikana na ukawa wakitulia anaondolewa kirahisi sana kwa kuwa hakushiriki mafanikio ya ukawa kushawishi watu ili wamkatae ni rahisi sana kweye kuraKama barua iliishia UKAWA ndio huu mnyukano wa kisiasa ambao anautumia kwayeye kusema bado ni mwenyekiti kwakuwa anayestaili kujua uwepo wake ni msajili wa vyama, sasa kama kweli itakuwa anafikiria hivi je unadhani UKAWA itakuwa na moto kama zamani au ndio kila m2 atatafuta ustaarabu wake.
Kama unaijuwa sera ya elimu ya 2015 nenda kasome. Kama bauijuwi basi nyamaza......kama unasema upinzani hauna hoja je hoja ya elimu bure ni ya nani kwa mara ya kwanza alileta nani? angalia sana
Kiukweli kwa haya mambo jinsi yanavyokwenda imeonekana kwamba serikali hii imeshindwa kutimiza ndoto za watanzania. Kila kona ni kilio tu, si kwa maskini wala kwa matajiri, si kwa waliopatwa na majanga kama Kagera wala si kwa walio salama, si kwa wafanyabiashara wala si kwa watumishi wa umma. Kote ni kilio tu. Hizi si dalili njema kwa ustawi wa chama tawala hata kidogo
Hahahaa Kibaya zaidi ni pale wana CCM wenzake wanapokuwa wanafiki na kushindwa kusema ukweli!Jana nilikuwa mahala napata kahawa. Kati ya wahudumu wa pale, kuna mmoja ni mnazi wa Rais Magufuli. Hata tulipojaribu kumuelewesha kwamba hali ni ngumu kwa sasa, akawa anasema ndio safi; wote tuumie. Sikumuelewa.
Wakati naondoka, akaniomba chenji maana hali ni mbaya awamu hii. Akazidi kunichanganya.
KUELEKEA UCHAGUZI WA MEYA MENGI TUTAYAONA IKIWEMO ZUIO LA UCHAGUZI KAMA ILIVYOWAHI KUTOKEAmkuu ndo maana nchi za wenzetu kumbe wakati mwingine wanafanya asssassination inauma sana mtu wa kiwango cha profesa anapoamua kuigia kingi na akaamua kuleta vurugu ili tu ukawa ufe ndo misheni yake