Mwisho wa CCM umekaribia sana

Hata kama anachangia ila akili za kuambiwa changanya na za kwako...nawe mod uliyesticky huu uzi mungu anakuona
 
ukawa ni nembo ya muungano wala sio chama na ni ushirika uuliosaidia kuunganisha watanzania katika uchaguzi uliopita na kuongeza uwezekano mbele ya safari kuwa kitu kimoja kwa vyama vilivyoungana
Sasa hiyo ni kama nembo ya kuviunganisha vyama tena vya upinzani na CCM haikujiunga huko imehusikaje kuubomoa huo muungano wakati nyie ndio mlioungana kwa maslai yenu?
 
Kwani ule ushauri wa msigwa wa kwamba atakaemchagua Lowasa akapimwe akili ulifanyiwa kazi kwa waliyomchagua? Au ndiyo hamjapimwa na akili zinaendelea kuharibika!!

ninyi ndo mnatakiwa mpimwe akili kwa sababu msigwa alisema wakati ule nyinyi wenyewe mlisema gamba na baada ya nyie kushindwa kumpeleka mahakamani na katika kamati kuu dodoma kuwauliza nani kamtuma mtoto huyu anitukane nchi nzima na kutoa angalau kwa kidogo muhusika wa richmond ni nani ndo hapo upinzani ukajua mwizi wa richmond na sababu za ccm kumchafua. kwa kuwa upinzani waungwana sio kama ninyi wachumia tumbo wakampokea kwa kuwa amejulikana mwizi wa richmond upo mpaka hapo?
 
Sasa hiyo ni kama nembo ya kuviunganisha vyama tena vya upinzani na CCM haikujiunga huko imehusikaje kuubomoa huo muungano wakati nyie ndio mlioungana kwa maslai yenu?
ccm inahusika kwa kuwa wamejeruhiwa sana mwaka jana na ushirika huo mpaka sasa akili haijatulia ndo maana kwa mara ya kwanza tumeshuhudia kuona polisi wakifanya mazoezi mjini na barabani kuwatisha wananchi. Kubwa zaidi ni kura zilizopatikana na tofauti kati ya ukawa na ccm kwa taarifa yako hamlali kwa ajili ya lowasa na hatakufa mpaka 2020 mana mnamuogopa kama tsunami
 
Ndo shida ya upinzani kudhani kutaka kila mtu akubali pumba zenu... Hakuna jema mlilowahi kukubali kuwa jema... Tambua kuwa mpinzani si upinge hata ukweli
hatupingi ukweli ispokuwa ninyi mnaojifanya kama hamuoni wakati mnaona je kama wapinzani wana ongea pumba mbona mmechukua hoja ya elimu bure si kikwete alisema elimu bure haiwezekani na leo inmtoa jasho Rais Magufuli?
 
ccm inahusika kwa kuwa wamejeruhiwa sana mwaka jana na ushirika huo mpaka sasa akili haijatulia ndo maana kwa mara ya kwanza tumeshuhudia kuona polisi wakifanya mazoezi mjini na barabani kuwatisha wananchi. Kubwa zaidi ni kura zilizopatikana na tofauti kati ya ukawa na ccm kwa taarifa yako hamlali kwa ajili ya lowasa na hatakufa mpaka 2020 mana mnamuogopa kama tsunami
Jenga hoja ukisema CCM wamejeruhiwa mbona wewe unakuwa na hofu ya kile Lipumba anachokifanya kwa kuwasingizia CCM wakati CCM haikumweka Lipumba kuwa mgombea wake na umoja wenu mlijiunga wenyewe na Lipumba wenu au na nyie mnaogopa kujeruhiwa kwakuwa Chadema itabaki peke yake na sio kwenye mwamvuli wa UKAWA inaoipa umaruufu.
 
hatupingi ukweli ispokuwa ninyi mnaojifanya kama hamuoni wakati mnaona je kama wapinzani wana ongea pumba mbona mmechukua hoja ya elimu bure si kikwete alisema elimu bure haiwezekani na leo inmtoa jasho Rais Magufuli?
Kumbuka ni mengi chini ya kikwete yaliwezekana na pia yalioshindika yalikuwepo na sasa kwa huyu yapo yanayowezekana na yasiyowezekana acheni muda uongee.. Mlipiga kelele ATCL imekufa magu kasema atafufua mkasema haiwezekani ameleta ndege 2 mnaponda panga boy mlisema rais hana maamuzi na leo huyu anaamua mnasema dikteta. Mlisema watumishi hewa wamejaa serikalini huyu anawatoa mnalalamika. Mkasema kikwete anachekacheka huyu ananuna sasa kelele za nini? Kosoeni waliposhindwa na pongezeni walipojitahidi kwani si kila wafanyalo ni baya mkuu...
 
to be honest 2020, upinzani hautakua na lao... mimi sio mpiga ramli lakini... nionavyo mwaka 2015, ulikua mwaka wa ccm kung'oka madarakani. i think kwa sasa Dunia itasubiri sana kuona hilo likitokea...
japo siulaumu upinzani kwasababu najua africa is the same, when it comes to democracy, governance, transparency, rule of law etc...
 
Kumbuka ni mengi chini ya kikwete yaliwezekana na pia yalioshindika yalikuwepo na sasa kwa huyu yapo yanayowezekana na yasiyowezekana acheni muda uongee.. Mlipiga kelele ATCL imekufa magu kasema atafufua mkasema haiwezekani ameleta ndege 2 mnaponda panga boy mlisema rais hana maamuzi na leo huyu anaamua mnasema dikteta. Mlisema watumishi hewa wamejaa serikalini huyu anawatoa mnalalamika. Mkasema kikwete anachekacheka huyu ananuna sasa kelele za nini? Kosoeni waliposhindwa na pongezeni walipojitahidi kwani si kila wafanyalo ni baya mkuu...
na si kila wanalosema upinzani si baya siku zote upo mzee wa msabe
 
Jenga hoja ukisema CCM wamejeruhiwa mbona wewe unakuwa na hofu ya kile Lipumba anachokifanya kwa kuwasingizia CCM wakati CCM haikumweka Lipumba kuwa mgombea wake na umoja wenu mlijiunga wenyewe na Lipumba wenu au na nyie mnaogopa kujeruhiwa kwakuwa Chadema itabaki peke yake na sio kwenye mwamvuli wa UKAWA inaoipa umaruufu.
hatuwasingizii ccm ndo ukweli huyu bwana kabla ya movy kuanza alienda kwanza ikulu tukajua anaenda kumpa mkulu dondoo za uchumi baada ya kutoka akaanza kuzoa matapishi yake na kuanza kurudisha tumboni huku akisaidiwa na msajili hilo ni si vigumu kuelewa ndugu wala usipate taabu iweje mtu aliondoka kwa sababu ya mtu fulani leo anarudi wakati yule mtu hajaondoka bado
 
na si kila wanalosema upinzani si baya siku zote upo mzee wa msabe
Nashukuru kama umeelewa na ndio maana sijawahi wachukia wapinzani nchini maana najua bila wao tusingefika hapa tulipo... Ila tu kwakuwa wanayosema mengi mazuri pia na upande wa serikali mazuri yapo pia.. Tukosoe mabaya na mazuri pia tusiyasahau kupongeza
 
to be honest 2020, upinzani hautakua na lao... mimi sio mpiga ramli lakini... nionavyo mwaka 2015, ulikua mwaka wa ccm kung'oka madarakani. i think kwa sasa Dunia itasubiri sana kuona hilo likitokea...
japo siulaumu upinzani kwasababu najua africa is the same, when it comes to democracy, governance, transparency, rule of law etc...
anything can hapen any time in politics
 
hatuwasingizii ccm ndo ukweli huyu bwana kabla ya movy kuanza alienda kwanza ikulu tukajua anaenda kumpa mkulu dondoo za uchumi baada ya kutoka akaanza kuzoa matapishi yake na kuanza kurudisha tumboni huku akisaidiwa na msajili hilo ni si vigumu kuelewa ndugu wala usipate taabu iweje mtu aliondoka kwa sababu ya mtu fulani leo anarudi wakati yule mtu hajaondoka bado
Sasa nyie kama UKAWA mlichukua hatua gani?
 
Nashukuru kama umeelewa na ndio maana sijawahi wachukia wapinzani nchini maana najua bila wao tusingefika hapa tulipo... Ila tu kwakuwa wanayosema mengi mazuri pia na upande wa serikali mazuri yapo pia.. Tukosoe mabaya na mazuri pia tusiyasahau kupongeza
shida yenu mnawaona wapinzani kama watoto wa kambo hata kama wakiongea point mnabeza walisemaga vyama vya msimu mwaka mpaka mnawazuia wasifanye siasa ni aibu kubwa sana
 
Hapa umesema vema si kujipa tu matumaini kuwa lazima itakuwa...
unasikia mzee wa msabe kama ilivyotokea mwaka jana lowasa, sumaye masha kingunge na wengine unaweza kushangaa mkimudhi zaigi rais na maufisadi wenu akaanzisha chama kama bingu wa mutharika akiwa ikulu mambo yakawa mengine kabisa politics has no fomula
 
Back
Top Bottom